IPI simu yenye camera nzuri kuliko zote?

IPI simu yenye camera nzuri kuliko zote?

IMG_20190106_152852.jpg
IMG_20190106_152857.jpg
 
Naona nilivyoitaja tu tecno watu wamekula Kona hata Chief-Mkwawa kajificha nyuma ya keyboard kuuhofia mziki wa Tecno walidhani Ni Pic za Samsung
 
Wachina ni watu hataree sana kwa sasa huawei mate 20 pro ndo kinara wa camera bora
 
Makampuni ya simu yanashindana kwa kubuni camera zenye uwezo mkubwa kila siku, lakini wakati mwingine kila simu ina uzuri na ubaya kwa namna yake,
Kwa wajuzi wabobezi wa mambo ya simu, mje na majibu ni simu ipi kwa sasa sokoni inaongiza kwa camera kali za mbele na nyuma, angalau 3 za juu.

kamera nzuri we kanunue kamera zenyewe tu.
simu siku zote sio maalumu kwa kamera japo ni kwa matumizi.
 
Ningesema ni picha Toka Samsung ungeona hapa wamejitokeza kuzisifia but nilivyoitaja tecno Kimya afu mpuuzi mmoja anadai eti tecno siyo simu

Siku hizi wamejua ugonjwa wa wateja wao,ni camera.

Wanatoa simu zina camera nzuri tu.
 
Naona nilivyoitaja tu tecno watu wamekula Kona hata Chief-Mkwawa kajificha nyuma ya keyboard kuuhofia mziki wa Tecno walidhani Ni Pic za Samsung
Hapana sijawahi kimbia mjadala humu hata siku moja, na hizo picha mbona ni za kawaida sana? Ukizoom kidogo ni blur?

Nipo busy kidogo ila ningepiga picha hapo hapo kama ulivyopiga wewe nikakuwekea na Nokia 808 uone utofauti. Tena simu ya 2012. Best camera phone to date.
 
Njoo tukuunge na huduma za menu ya chuo kwa VODACOM na TIGO
 
Hapana sijawahi kimbia mjadala humu hata siku moja, na hizo picha mbona ni za kawaida sana? Ukizoom kidogo ni blur?

Nipo busy kidogo ila ningepiga picha hapo hapo kama ulivyopiga wewe nikakuwekea na Nokia 808 uone utofauti. Tena simu ya 2012. Best camera phone to date.
Kumbe za kawaida Isee!!
Kwa taarifa yako Hizo picha nimezichukua na one plus 2 ambayo mnaisifiaga ni Bora Kuliko tecno
 
Hahaha we jamaa unanichekesha unavokomaa
Watumiaji wa tecno wanaonewa sana boss picha hiyo nimechukua na one plus 2 then nikasema nimetumia tecno ili nione watasemaje?
Jibu limetoka kwamba ni picha yakawaida wakati kuna watu walidai humu one plus 2 inatumia camera Kali za Sony
 
Makampuni ya simu yanashindana kwa kubuni camera zenye uwezo mkubwa kila siku, lakini wakati mwingine kila simu ina uzuri na ubaya kwa namna yake,
Kwa wajuzi wabobezi wa mambo ya simu, mje na majibu ni simu ipi kwa sasa sokoni inaongiza kwa camera kali za mbele na nyuma, angalau 3 za juu.
1: Google Pixel 3
2: iPhone X
3: Samsung Galaxy S9 plus pia Huawei P20

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom