Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,063
- 43,492
Siuzi simuHivi [mention]Chief mkwawa [/mention] kama unauza simu kwa nini usitoe location au uwe unatuagizia basi maana wengine hatuelewi
Siuzi simuHivi [mention]Chief mkwawa [/mention] kama unauza simu kwa nini usitoe location au uwe unatuagizia basi maana wengine hatuelewi
Shukran kakKenya around 380,000 kwa 64GB, hapa Tz sijajua Tigo kama wamei restock, maana walikuwa na Version ya 128GB 6GB ram tu. Unaweza pitia Tigoshop yoyote kuulizia.
Ahsante mkuuAvechi wanatuma, sema kila siku wanabadilika hawa jamaa. Kuna kipindi walikuwa wanatuma unapokea Ubungo, then wakasitisha, then kipindi fulani wakawa wanatuma tena ila Gharama around 50,000 kwa sasa sifahamu gharama zipoje.
Alternative muagizie mtu ambaye yupo kule, itakuwa bei rahisi, kuna mdau anaagizishia humu Sam pizzo
Kaka nicheki nipo Nairobi kama unahitaji hiyo simuUtaratibu wa kuipata huko kenya ukoje?
Redm note 11 (4/64)Kenya around 380,000 kwa 64GB, hapa Tz sijajua Tigo kama wamei restock, maana walikuwa na Version ya 128GB 6GB ram tu. Unaweza pitia Tigoshop yoyote kuulizia.
Ni kweli kabisa..chaja za S22 ultra zinagonga mpk 150kIssue ni kwamba simu ya Milioni chaja yake ngumu kuipata Bei rahisi, Nyingi ni laki kupanda.
Hata Oneplus Latest warp charger ni $35 huko kwao, Madukani hapa ni 150k, na Haikubali fast charging ya kampuni nyengine tofauti na za BBK.Ni kweli kabisa..chaja za S22 ultra zinagonga mpk 150k
Kenya 380k, hio ni Bei ya Tigo?Redm note 11 (4/64)
Naambiwa bei yake 490k, vp ni kawaid kwa hyo bei au ipo juu kdg