Kiberenge
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 1,102
- 1,034
Mjomba una madini sana aiseee.... Appreciate commentLg g8x ni flagship ya zamani kama Note 9, hivyo ina vitu ipo juu ipo vizuri na vitu inapitwa.
Mfano kioo chake ni oled ila sio 120hz ni 60hz. Perfomance ni zaidi ya note 9, sina uhakika camera ila probably ni tier moja. Unique features za LG ni Audio, ina 3.5mm jack, quad Dac kwa ajili ya Earphone premium, stereo speaker juu na Chini, na pia ina sd card slot.
Wekaness kubwa ya lg g8x ni fast charge inatumia takriban saa 1 na dk 40 kuwa full charge, simu nyingi za kisasa ni dk 30 mpaka saa 1.
🤏