Ipi simu nzuri ya OPPO

Ipi simu nzuri ya OPPO

Utaratibu wa kuipata huko kenya ukoje?
Avechi wanatuma, sema kila siku wanabadilika hawa jamaa. Kuna kipindi walikuwa wanatuma unapokea Ubungo, then wakasitisha, then kipindi fulani wakawa wanatuma tena ila Gharama around 50,000 kwa sasa sifahamu gharama zipoje.

Alternative muagizie mtu ambaye yupo kule, itakuwa bei rahisi, kuna mdau anaagizishia humu Sam pizzo
 
Pia nimewacheki Tigo redmi note 11 ni Ghali sababu wana version ile kubwa kabisa ya 128GB kwa 6GB, hawana 64GB kwa 4GB.

Redmi 10C ipo kwa 350,000 hii ina same soc kama note 11 ila wame downgrade Display, fast charging, camera etc.
Ivi mkuu value for money kati ya Redmi 10c na Note 11 ipi ya kuchukua Kwa kuzingatia iyo factor?!

Nataka kuorder Ila zote zinatumia 600series soc
 
Ivi mkuu value for money kati ya Redmi 10c na Note 11 ipi ya kuchukua Kwa kuzingatia iyo factor?!

Nataka kuorder Ila zote zinatumia 600series soc
Redmi 10C ipo Tigo kwa 350,000 na unapata GB zako za mwaka. kama unaangalia pure perfomance point of view basi redmi 10C ni nzuri zaidi.

Ila overall redmi note 11 ni nzuri maana ina quality of life kubwa kama display ya Amoled full hd, fast charging, speaker nzuri etc.
 
Shukrani Mkuu, I will consider this.
Redmi 10C ipo Tigo kwa 350,000 na unapata GB zako za mwaka. kama unaangalia pure perfomance point of view basi redmi 10C ni nzuri zaidi.

Ila overall redmi note 11 ni nzuri maana ina quality of life kubwa kama display ya Amoled full hd, fast charging, speaker nzuri etc.
 
kuna simu inayokuja ikiwa mpya na imefungashwa kwenye box lake bila earphones kweli? inakuwaje?
Zipo nying tu hawaweki hasa za gharama ya juu kdg na Kuna baazi za gharama za juu Sana hawaweki hya chaja Mana wanaamin Kam unaweza kununua simu ya million na Zaid huwez kushindwa kununua chaja ya 45k, Kwahy ni kawaida Sana ckuhz na pia ni kutanua wigo mpana wa biashara kwao
 
Redmi 10C ipo Tigo kwa 350,000 na unapata GB zako za mwaka. kama unaangalia pure perfomance point of view basi redmi 10C ni nzuri zaidi.

Ila overall redmi note 11 ni nzuri maana ina quality of life kubwa kama display ya Amoled full hd, fast charging, speaker nzuri etc.
Kamera bora,
Kutunza chaji vzur,
Kioo kizur,
Ubora kwa ujumla,
Memory hta 4/64 tu inanitosha.

Mkuu hvo ndo vipaumbele vyangu vp oppo a55 inaweza kunifaa ??

Nb: nmeichagua hyo kwakuwa naweza kupata kwa urahisi na unafuu wa bei pia kulingana na bajet yang
 
Zipo nying tu hawaweki hasa za gharama ya juu kdg na Kuna baazi za gharama za juu Sana hawaweki hya chaja Mana wanaamin Kam unaweza kununua simu ya million na Zaid huwez kushindwa kununua chaja ya 45k, Kwahy ni kawaida Sana ckuhz na pia ni kutanua wigo mpana wa biashara kwao
Issue ni kwamba simu ya Milioni chaja yake ngumu kuipata Bei rahisi, Nyingi ni laki kupanda.
 
Kamera bora,
Kutunza chaji vzur,
Kioo kizur,
Ubora kwa ujumla,
Memory hta 4/64 tu inanitosha.

Mkuu hvo ndo vipaumbele vyangu vp oppo a55 inaweza kunifaa ??

Nb: nmeichagua hyo kwakuwa naweza kupata kwa urahisi na unafuu wa bei pia kulingana na bajet yang
Haikufai mkuu, Kioo chake ni 720p, perfomance si nzuri na Helio G35,

Chaji inakaa na Camera itakuwa nzuri kwa Class yake.

Budget kiasi Gani?
 
Duuuh bajet yangu haizid 500k mkuu Kwahy ipi itanifaa
Simu ambayo utaipata kirahisi ni redmi note 11, battery nzuri, kioo cha Amoled, perfomance si kubwa sana ila ni nzuri, na camera ukiweka Gcam ni nzuri. Sababu budget ni kubwa utapata version ya 128GB.

Kama unaagizishia online tafuta simu zenye Snapdragon 695, nyingi ni around hio laki 5, kuna Iqoo U5, Motorola G71, Vivo T1 etc
 
Simu ambayo utaipata kirahisi ni redmi note 11, battery nzuri, kioo cha Amoled, perfomance si kubwa sana ila ni nzuri, na camera ukiweka Gcam ni nzuri. Sababu budget ni kubwa utapata version ya 128GB.

Kama unaagizishia online tafuta simu zenye Snapdragon 695, nyingi ni around hio laki 5, kuna Iqoo U5, Motorola G71, Vivo T1 etc
Inauzwaje redm note 11 yenye memory ndogo man memory sio kipaumbele changu kwasasa
 
Hivi [mention]Chief mkwawa [/mention] kama unauza simu kwa nini usitoe location au uwe unatuagizia basi maana wengine hatuelewi
 
Inauzwaje redm note 11 yenye memory ndogo man memory sio kipaumbele changu kwasasa
Kenya around 380,000 kwa 64GB, hapa Tz sijajua Tigo kama wamei restock, maana walikuwa na Version ya 128GB 6GB ram tu. Unaweza pitia Tigoshop yoyote kuulizia.
 
Back
Top Bottom