Matindi94
Member
- Oct 12, 2016
- 47
- 50
Habari wanajamvi hivi kwenye kampuni ya oppo simu toleo gani zuri ambalo lina vigezo hivi
4ram
64gb
Inayotunza sana chaji angalau yanye 5000mah
Kamera nzuri
Ambayo pia ni slim(yaani sio nene sana)
NB; NIMEULIZA KWASABAB NAJUA KUNA WATUMIAJ HUMU WANAZIJUA VZR NATAK ILI NINAPOENDA DUKAN NIWE NA WAZO LA AINA MOJA TU LA SIMU YENYE VIGEZO HVYO
4ram
64gb
Inayotunza sana chaji angalau yanye 5000mah
Kamera nzuri
Ambayo pia ni slim(yaani sio nene sana)
NB; NIMEULIZA KWASABAB NAJUA KUNA WATUMIAJ HUMU WANAZIJUA VZR NATAK ILI NINAPOENDA DUKAN NIWE NA WAZO LA AINA MOJA TU LA SIMU YENYE VIGEZO HVYO