Ni oppo ipi kakaNatumia OPPO lakini sijawahi kujuta kwa ubora wa camera, ubora wa chaji kujaza fasta, kukaa na chaji muda mrefu, kasi ya internet na hata uimara wa material kioo kutopasuka hovyo kikiwa na display laini inayoonesha vizuri na wepesi wa kuibeba.
Simu nzuri UI mbovu, ladha mbovu kwa mtumiaji,hakuna spare na ngumu kuuza so mi nahamia oppoXiaomi ndio nzuri
Case closed
MIUI sio mbovu. MIUI ni nzuri lakini jua tu MIUI sio kwa kila mtu, na ColorOS nayo sio kwa kila mtu.Simu nzuri UI mbovu, ladha mbovu kwa mtumiaji,hakuna spare na ngumu kuuza so mi nahamia oppo
Lakini uzuri sio brand ndugu mchangiaji.Zote mbaya.
Samsung/apple ndo brand za kijanja hawana kazi mbovu
Kuna model za Xiaomi Zinamkalisha iphone&SamsungZote mbaya.
Samsung/apple ndo brand za kijanja hawana kazi mbovu
Broo nikusahihishe sio inakuja ishakua juu leo zaidi ya mwaka wa nne top 3 inakuepo kaka ni laana na nusu nazipenda xiaom tena nina hamu sana na hii Os yao mpya ijayo tune feature matata zaidi na zaidiKuna model za Xiaomi Zinamkalisha iphone&Samsung
Kuna model za Samsung Zinamkalisha iphone
Kuna model za iphone Zinamkalisha Xiaomi
Kila simu Zina ubora wake kulingana na model Zake Xiaomi ni brand inakuja Juu sana ukiachana na iphone Samsung,Google pixel
Huuni uongo labda ulikutana na copy huu ni uongo narudia ni uongoXiaomi nunua ikiwa mpya lakini usijiroge ukafanya system update au update ya kwenda android inayofuata utatamani uhamie Infinix tu.
Mbona Mimi nimefanya system Apdate na bado Inachapa mwendo kama Kawa, Tena ni Xiaomi ya kawaida sana, ila naogopa kuiroot ili kupata Toleo jipya, yaani kwa hapa kwa KUWA watumiaji ni wengi naomba kujua waliojaribu kuroot bado inakuwa katika ubora wake?Xiaomi nunua ikiwa mpya lakini usijiroge ukafanya system update au update ya kwenda android inayofuata utatamani uhamie Infinix tu.