Hiyo ni mpya mtumba kwa 350000 unaweza pata tu bila wasiwasiMpya si ndio na mtumba je
Kwa laki 3 hutapata simu nzuri toka Oppo, ila wana Sub brand yao inaitwa Realme unaweza kupata Realme C21Y kwa hio budget.300000
Katafute infinix kwa bei hiyo..oppo huiwezi300000
Simu kukaa na Chaji si Brand bali specification husika. Zipo oppo zinakaa na Chaji na zisizokaa na Chaji. Na ukubwa wa Battery ni kigezo ila haimaanishi battery likiwa kubwa basi automatic na simu inakaa na chaji. Kuna simu zina hizo mah za kutosha na hazikai na chaji kama zenye Mah ndogo.Vp kwa upande wa chaj inakaa sana kama oppo?
Oppo will never resemble to ios.Kwa android oppo ndio brand yangu
Nimetumia oppo nyingi ila kwa nilizo zi admire na kwa unazotafuta hizi zitakufaa
A92 hii nilinunua ilipotoka tu ilikua na 720k lakini kwa sasa nahisi imeshuka
A52 hii ilikua na 530k itakua imepungua pia
Reno 2 ilikua na 900k
Ila nimeiona Reno 5 ni bomge ya sim najivuta nichukue Reno 5
Kinachonifurahisha kwa Oppo ni brand ya tofauti na android zingine it somehow resemble to ios
mzee niko na note 9 samsung nataka kushift kwengine kulingana na vipengele hpo chiniSimu kukaa na Chaji si Brand bali specification husika. Zipo oppo zinakaa na Chaji na zisizokaa na Chaji. Na ukubwa wa Battery ni kigezo ila haimaanishi battery likiwa kubwa basi automatic na simu inakaa na chaji. Kuna simu zina hizo mah za kutosha na hazikai na chaji kama zenye Mah ndogo.
Memory card support itakulimit choice nyingi, ukitoa hicho kipengele oneplus 8 inakufaa, sometime mpya unapata kwa hio Budget, ikiwa kwenye sale ($250).mzee niko na note 9 samsung nataka kushift kwengine kulingana na vipengele hpo chini
1. camera ya maana
2. battery ya kukaa na charge vyakutosha
3. kioo cha super amoled/oled 90hz/120hz
4. memory card slot support
5.network technology nzuri
6. perfomance nzuri
bugdet yangu ni 700000tsh
simu iwe used ama mpya
so hzo zote ni bora kuliko hii note 9 karibu angle zote sio??Memory card support itakulimit choice nyingi, ukitoa hicho kipengele oneplus 8 inakufaa, sometime mpya unapata kwa hio Budget, ikiwa kwenye sale ($250).
Pia kuna simu za snapdragon 778G, hizi simu ni midrange camera nzuri ila sio flagship level, perfomance nzuri kushinda note 9, ukaaji wa chaji mkubwa sana, amoled 120hz, baadhi zina sd card.
Utazipata kenya ama Aliexpress.
-Samsung M52 kwa 756,000
-Realme GT master kwa 716,00
-xiaomi 11 lite 5G ne kwa 675000
Na kama unaweza kuongeza kidogo mpaka laki 8 hivi unapata Samdung A52s ambayo ina features zaidi kama Water proof.
M52 ni A52s iliotolewa features ili kupunguza bei.so hzo zote ni bora kuliko hii note 9 karibu angle zote sio??
pia nimecheki hyo samsung m52 haina feature ya OIS upande wa camera
itafaa kweli kwnye video recording??
daaaah yaani mimi kuishi bila sd card ni ngumu sanaM52 ni A52s iliotolewa features ili kupunguza bei.
Note 9 display yake ni kali Amoled 1440p sema haina high refresh rate, hizo simu za juu amoled yake ni 1080p tu ila zima high refresh rate. Unapata picha hapo.
Perfomance zote hapo juu zipo vizuri kuliko note 9.
Na camera kwa ois A52s inayo.
Pia mkuu ifikirie tena oneplus 8 ni simu ambayo ipo vizuri kuliko zote huko juu karibia kila idara kasoro sd card, na storage yake ndogo kabisa ni 128GB.
Chukua hata 256GB version hio op8.daaaah yaani mimi kuishi bila sd card ni ngumu sana
ngoja niwaze tena
hii lg8x iko same class na hzo m52 na a52s?Chukua hata 256GB version hio op8.
Alternative ipo LG V60 ina sd card sema hii simu band zake sijazielewa kabisa, sijaifanyia utafiti zaidi kama unaweza kuzi unlock.
Lg g8x ipo fresh sana ni nzuri kuliko note 9, sema budget yako ni kubwa, unless unataka kusave zaidi.
Lg g8x ni flagship ya zamani kama Note 9, hivyo ina vitu ipo juu ipo vizuri na vitu inapitwa.hii lg8x iko same class na hzo m52 na a52s?