Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,704
- 39,783
Mbingu na Ardhi mkuu.Asante sana, naomba kujua kuhus Samsung A12, compared na hii Redmi?
Hawa Samsung baada ya Huawei kutoweka wamepunguza specs low end zote, kifupi A12 imepitwa Nguvu hadi na galaxy A10.
Redmi note 9s ina nguvu kama mara 3 ya A12, mwenzake 9s ni Hii galaxy mpya inayokuja ya A52.