korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,032
- 1,175
Sababu nilipigiwa simu na mtu wa fedex akaniambia kuna gharama kma 200000 hvi, so nimtoe hyo 1laki amalize kila kitu, sasa sababu nilishakata tamaa sikutaka kufikiria mara 2 maana nilishapanga niiache kabla haijatumwa bongo
Uliowaonesha invoice ulionunulia?