Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,315
- 10,017
Mwanza Redmi, Oppo na Huawei zinapatikana Ila ni zile Used kutoka KenyaDuuh mimi niko mwanza
Mwanza Redmi, Oppo na Huawei zinapatikana Ila ni zile Used kutoka KenyaDuuh mimi niko mwanza
Redme 10 inamaana haziuzwi bongoKenya hii unapata.
Zipo pesa yko tu sheikhe gb 64 inauzwa laki tano na hamsini elfu(550,000).Redme 10 inamaana haziuzwi bongo
Nitazijuaje hiz hypes level ??.Kwa mnaosifia oppo na ndugu yake Vivo sifa zao ni hizi
1. WanaTangaza simu nzuri yenye specs kali kwenye media then wanazo hype zijulikane
2. Simu kali zinakuwa na availability ndogo na ngumu kupatikana
3. Then wanatengeneza simu mbovu nyingi za mediatek za ovyo kama p22 wanazijaza kibao mitaaani.
4. Wajinga waliwao, kwa kutumia hypes za point ya kwanza wa nanunua simu za point ya 3.
Usinunue simu kwa kuangalia brand tu bila kujiridhisha specs zake. Nenda China Plazza zimejaa kibao oppo na Vivo Ila 90% ni vimeo ukijichanganya tu una p22 kwa laki 4 ama 5.
Una Google specs kabla hujanunua, kama huelewi anzisha uzi omba msaada humu jukwaani wa simu husika ama budget husika.Nitazijuaje hiz hypes level ??.
shukran chiefUna Google specs kabla hujanunua, kama huelewi anzisha uzi omba msaada humu jukwaani wa simu husika ama budget husika.