Ipi nzuri kati ya Infinix na Oppo ya Mchina?

Simu ambazo wanateknolojia hata apple kwenye simu zake zimepitwa ni OPPO kuanzia security yake.uwezi kutoa passcode ukisahau au umeokota hiyo simu labda huwe OPPO authentication ndio itakutambua au uwe mkali wa chip programming.
Hawa jamaa kwenye teknolojia ya hardware wamejikita vizuri na material ambayo unaweza kumudu
Simu ambayo kwa sasa hata kampuni zengine zimesanda ni hii
IMG_4013.jpg

IMG_4014.jpg
 
Kwa mnaosifia oppo na ndugu yake Vivo sifa zao ni hizi

1. WanaTangaza simu nzuri yenye specs kali kwenye media then wanazo hype zijulikane
2. Simu kali zinakuwa na availability ndogo na ngumu kupatikana
3. Then wanatengeneza simu mbovu nyingi za mediatek za ovyo kama p22 wanazijaza kibao mitaaani.
4. Wajinga waliwao, kwa kutumia hypes za point ya kwanza wa nanunua simu za point ya 3.

Usinunue simu kwa kuangalia brand tu bila kujiridhisha specs zake. Nenda China Plazza zimejaa kibao oppo na Vivo Ila 90% ni vimeo ukijichanganya tu una p22 kwa laki 4 ama 5.
 
China plazza na wewe umeona umemaliza.mitaji ya simu usichukulie poa alafu kama unauza simu ambayo sio toleo la pili,model kwa ajili watu washike simu mfano kama samsung A series,chip isiyo na garama .

Simu inayotumia chip kama qualcomm,snapdragon,intel,hisilicon
Bei yake kidogo imechangamka sana ukilinganisha MTK
 
Hawa jamaa wa infiniix, tecno, itel, kgtel, X-Tigi & co. Sijui tuwaambie vipi watuelewe
Philipo D. Ruzige sasa inategemea unahitaji simu ya level gani. Hizi simu ni entry level, siyo mid range au higher level phones. Kwa intended level inafaa sana.
some comments from one certain user of which I concur!

Infinix Smart 4 is a very good phone in its class; Entry-level. I don't understand why are people in here complaining! But I noticed that it's because most of them are dealing with the phone as if it was a mid-range phone or higher! Guys, it's an entry-level phone for God's sake. It has 1GB of ram and a very decent CPU. And above that, it features Android 9 Go Edition, which is the most strict Android version in RAM management ever. Meaning, you can't multi-task or even have more than 2 or 3 apps in the background. This is not the phone's fault, it's the OS's.

This phone is designed for simple work: Taking calls, listening to Music and local broadcast, reading the news, setting up alarms, a bit of social media, a bit of YouTube and some lite casual gaming (like bursting balls and card games). That's it. I previously had a powerful phone. I gave it to my son and purchased this because I realized that I'm too old to play heavy games or take advantage of a powerful phone. It's like a waste. I have been using this phone for a month and it's doing very well with no issues at all. The display is very good. The signal is very good. Speakers? good? Wi-fi reception? Good. GPS Navigation? Good. What more do I want from it?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom