Mimi binafsi nilianza kumiliki Siemens C25View attachment 2239341
Nokia 5800, hata mimi nilitumia hii, niliweka na custom firmware ya Symbian Anna.Simu yangu ya kwanza motorola
Smartphone yangu ya kwanza kutumia niliipenda kuliko demu wangu iliitwa NOKIA SYMBIAN mwaka 2010View attachment 2239342
Hii nilinunua 2011 mpaka leo ipo fresh kabisaNokia Asha 200View attachment 2239369
Nokia Asha 200View attachment 2239369
Simu zilijua kutunyanyasa jamaniNokia Asha 200View attachment 2239369
Baadae nikapewa hii na b mkubwa..hahaha yaani ilikuwa ni mwendo wa kucheza gemu...kusikiliza muziki na baadae najifungia gheto naenda zangu waptrick kidogo namalizia na phonerotica
Nokia asha zilitunyanyasa Sana sie wa Nokia tochiHii ndio ilikua simu yangu ya kwanza kipindi hicho nilikua naipenda sana hasa jins Keyboard yake ilivyokaa. Enzi hizo Nilikua nakesha Waptrick kupakua nyimbo za akina Wizkid,Burnaboy,K.O, Casper nyovest, Baky W, n.k wakati huo hao wasanii hawajulikani nadhani mtaani kwetu tu ndio tulikua tunawajua ajili ya kuwepo kwa channels ya HipTv, Soundcity na Chenel O.
View attachment 2239430
Hii ndio Smartphone yangu ya kwanza 2014 mzee wangu aliniletea toka Qatar nilikua naeatambia washkaji maana walikua wananivimbia na Tecno P5,Y6 zao. Kiukweli Sijawahi penda simu kama nilivyopemda hii. Kuanzia wallpapers zake na UI. Hapo kwenye Lige Companion nilikua nafuta naweka jina langu. Iliibiwa tarehe 5/6/2017 Zenji pamoja na Toshiba PC niliyopewa pamoja na hii simu (Sitasahau siku hiyo maana nilikesha ajili ya maumivu)
View attachment 2239443
Hiyo ilikua imejitosheleza mpaka whatsapp unatambaSimu zilijua kutunyanyasa jamani
Simu imara sana hizoHii nilinunua 2011 mpaka leo ipo fresh kabisa