Ipi ni simu yako ya kwanza kumiliki?

Poker

JF-Expert Member
Oct 7, 2016
5,411
14,586
Mimi binafsi nilianza kumiliki Siemens C25
Screenshot_20220526-142851.jpg
 
Hii simu ndio simu yangu ya kwanza ...but nilinyanganywa na mwalimu shuleni..alafu akanitishia kunifukuza shule..ikabidi tu niwe mpole...ila nilishakulaga wanafunzi wenzangu kibao sana. Kumbuuka zilikuwa zina uwezo wa kurekodi mp3 muziki.. na hata ringtone zake zilikuwa ni polyphonic
 

Attachments

  • siemens-c55.jpg
    siemens-c55.jpg
    27.8 KB · Views: 30
Baadae nikapewa hii na b mkubwa..hahaha yaani ilikuwa ni mwendo wa kucheza gemu...kusikiliza muziki na baadae najifungia gheto naenda zangu waptrick kidogo namalizia na phonerotica
Ulikuwa wa kishua!
 
Hii ndio ilikua simu yangu ya kwanza kipindi hicho nilikua naipenda sana hasa jins Keyboard yake ilivyokaa. Enzi hizo Nilikua nakesha Waptrick kupakua nyimbo za akina Wizkid,Burnaboy,K.O, Casper nyovest, Baky W, n.k wakati huo hao wasanii hawajulikani nadhani mtaani kwetu tu ndio tulikua tunawajua ajili ya kuwepo kwa channels ya HipTv, Soundcity na Chenel O.
IMG-20220526-WA0001.jpg

Hii ndio Smartphone yangu ya kwanza 2014 mzee wangu aliniletea toka Qatar nilikua naeatambia washkaji maana walikua wananivimbia na Tecno P5,Y6 zao. Kiukweli Sijawahi penda simu kama nilivyopemda hii. Kuanzia wallpapers zake na UI. Hapo kwenye Lige Companion nilikua nafuta naweka jina langu. Iliibiwa tarehe 5/6/2017 Zenji pamoja na Toshiba PC niliyopewa pamoja na hii simu (Sitasahau siku hiyo maana nilikesha ajili ya maumivu)
IMG-20220526-WA0000.jpg
 
Hii ndio ilikua simu yangu ya kwanza kipindi hicho nilikua naipenda sana hasa jins Keyboard yake ilivyokaa. Enzi hizo Nilikua nakesha Waptrick kupakua nyimbo za akina Wizkid,Burnaboy,K.O, Casper nyovest, Baky W, n.k wakati huo hao wasanii hawajulikani nadhani mtaani kwetu tu ndio tulikua tunawajua ajili ya kuwepo kwa channels ya HipTv, Soundcity na Chenel O.
View attachment 2239430
Hii ndio Smartphone yangu ya kwanza 2014 mzee wangu aliniletea toka Qatar nilikua naeatambia washkaji maana walikua wananivimbia na Tecno P5,Y6 zao. Kiukweli Sijawahi penda simu kama nilivyopemda hii. Kuanzia wallpapers zake na UI. Hapo kwenye Lige Companion nilikua nafuta naweka jina langu. Iliibiwa tarehe 5/6/2017 Zenji pamoja na Toshiba PC niliyopewa pamoja na hii simu (Sitasahau siku hiyo maana nilikesha ajili ya maumivu)
View attachment 2239443
Nokia asha zilitunyanyasa Sana sie wa Nokia tochi
 
Back
Top Bottom