Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 616
- 548
- Thread starter
- #61
Hapo ukute hata hela ya futari huna umeenda kuvizia kwa jirani kujifanya kuna kipindi unataka uangalie kwenye TV yake.Ushauri wa bure, tafuta hela mkuu.
Hapo ukute hata hela ya futari huna umeenda kuvizia kwa jirani kujifanya kuna kipindi unataka uangalie kwenye TV yake.Ushauri wa bure, tafuta hela mkuu.
Ila watuIla Tanzania umaskini umekithiri asee, imagine hako ndo kasalio ka mtun
Akija geto mtumie elf 50 kwenye simu yake kumlainisha atoe mzigo.Kuna binti mmoja nimekua nae kwenye mahusiano katika kipindi kisichopungua miaka miwili na nimekua nikimsapoti kwenye mambo yake mbalimbali yanahusu pesa na hata yale yanayohitaji tu ushauri.
Kwa siku za hivi karibuni nimeona kapunguza mawasiliano ila akiwa na shida ya kifedha anakuwa active vibaya mno kwenye mawasiliano.Mimi kama mwanaume sijashangaa yeye kupunguza mawasiliano na mimi mana najua ndo tabia za wanawake pindi wanapoingia kwenye mahusiano mengine ya pembeni mana anakua active zaidi kwenye mawasiliano na mtu mpya kuliko wewe ambae ulianza nae.
Huyu binti kwakua nishamkula sana nimeona sina chakupoteza mana sikua na mpango wa kumuacha ila kwakua yeye mwenyewe ndo kalikoroga basi acha alinywe.
Juzi jioni nimekaa sina hili wala lile nikaona kanitumia text ya kuniomba nimsaidie Tshs 100,000 nikasema hapa sasa ngoja nikuonyeshe show kwamba there is no free lunch.
Nikamjibu nikamwambia ngoja tuone kesho nitapata kiasi gani ili sikuhaidi kwamba nitakupatia hiyo 100k yote, nitakayofanikisha nitakuambia akasema "sawa nitashukuru" nikasema kimoyomoyo "kesho utafurahia show"
Sio kwamba sikua na hiyo hela, pesa nilikua nayo ila nilitaka tu kumpa ahadi hewa ingawa anajua kabisa iko ndani ya uwezo wangu.
Kesho yake ananitext nikajua tu huyu anasalimia sababu nilimuahidi pesa, nilikuja kuijibu text yake baada ya masaa mawili kisha nikakaa kimya.
Jioni alipiga nikawa naiangalia timu simu yake , nilikua kumtumia text baada ya masaa mawili tena na kumuuliza anasemaje.....Yani nilikua namgonga swali as if sikumuahidi chochote halafu nilikua sitaki tu kuskia sauti yake ndomana nilikua sipokei simu yake.
Ili kuwahakikishia kwamba ninao uwezo wa kumtumia 100k ila tu sitaki naambatanisha na my bank balance ya muda huu.
Hakuna muda wa kumuonea huruma mtu asiyekuthamini na kukumbuka wema wako.
View attachment 2953873
Kuku kweli wewe, njoo nikuoneshe live kama huamini hiyo ni akaunti yangu.Kijana lengo la mada ni kuonyesha salio la bank la mzee wako naona kakutuma umeona bora ujifanye ila tafuta hela jf huwez pata mchumba kwa stail hiyo
Huyu anafaa kulipa denk la taifaUtajiri wako ni Dola 700 hongera
Aloo mbna nimekuadhima elf 30k umegoma mbna ulitaka kumpa huyo mwnamke bure kbsaKuku kweli wewe, njoo nikuoneshe live kama huamini hiyo ni akaunti yangu.
Digit 7 ni za kusumbua server za JF?Hapo ukute hata hela ya futari huna umeenda kuvizia kwa jirani kujifanya kuna kipindi unataka uangalie kwenye TV yake.
Hatufanani kuna mwingine hiyo Hana kabisa Na matumaini ya account kusoma hivyo hayapo kabisaIla Tanzania umaskini umekithiri asee, imagine hako ndo kasalio ka mtun
Naunga mkono hoja mkuu!!!Kuna binti mmoja nimekua nae kwenye mahusiano katika kipindi kisichopungua miaka miwili na nimekua nikimsapoti kwenye mambo yake mbalimbali yanahusu pesa na hata yale yanayohitaji tu ushauri.
Kwa siku za hivi karibuni nimeona kapunguza mawasiliano ila akiwa na shida ya kifedha anakuwa active vibaya mno kwenye mawasiliano.Mimi kama mwanaume sijashangaa yeye kupunguza mawasiliano na mimi mana najua ndo tabia za wanawake pindi wanapoingia kwenye mahusiano mengine ya pembeni mana anakua active zaidi kwenye mawasiliano na mtu mpya kuliko wewe ambae ulianza nae.
Huyu binti kwakua nishamkula sana nimeona sina chakupoteza mana sikua na mpango wa kumuacha ila kwakua yeye mwenyewe ndo kalikoroga basi acha alinywe.
Juzi jioni nimekaa sina hili wala lile nikaona kanitumia text ya kuniomba nimsaidie Tshs 100,000 nikasema hapa sasa ngoja nikuonyeshe show kwamba there is no free lunch.
Nikamjibu nikamwambia ngoja tuone kesho nitapata kiasi gani ili sikuhaidi kwamba nitakupatia hiyo 100k yote, nitakayofanikisha nitakuambia akasema "sawa nitashukuru" nikasema kimoyomoyo "kesho utafurahia show"
Sio kwamba sikua na hiyo hela, pesa nilikua nayo ila nilitaka tu kumpa ahadi hewa ingawa anajua kabisa iko ndani ya uwezo wangu.
Kesho yake ananitext nikajua tu huyu anasalimia sababu nilimuahidi pesa, nilikuja kuijibu text yake baada ya masaa mawili kisha nikakaa kimya.
Jioni alipiga nikawa naiangalia timu simu yake , nilikua kumtumia text baada ya masaa mawili tena na kumuuliza anasemaje.....Yani nilikua namgonga swali as if sikumuahidi chochote halafu nilikua sitaki tu kuskia sauti yake ndomana nilikua sipokei simu yake.
Ili kuwahakikishia kwamba ninao uwezo wa kumtumia 100k ila tu sitaki naambatanisha na my bank balance ya muda huu.
Hakuna muda wa kumuonea huruma mtu asiyekuthamini na kukumbuka wema wako.
View attachment 2953873
I had this type of gf,Hiyo hua ni kawaida hata masela wengine wapo hvo sio wanawake tu, sema kwa wanawake inakera kwa sababu unaona kama umewekwa department ya finance na Kuna mwana anakua na free access ya mbu...us us.
Ni wengi tu tunawekwa hapo sema ni either hatujui au tunachelewa kujua.I had this type of gf,
Ikifika hii hatua you better run.
Sio kujikataa mapema? 😀Ni wengi tu tunawekwa hapo sema ni either hatujui au tunachelewa kujua.
Tengeneza mapenzi ya win win situation, akupe mzigo umhudumie akileta fyoco unatembea mbele hamna mda wa kubembelezana ktk dunia hii ya kibepari
Ili iweje haimtoshi kwa dharura?Ndio maana nimemwambia aongeze mzee.
Jikite kwenye mada,we unajua pesa yake ingine ametunza wapi?Ila Tanzania umaskini umekithiri asee, imagine hako ndo kasalio ka mtun