ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,894
- 36,382
Wana chadema tuliamini CCM B ni ACT Wazalendo Sasa Leo baada ya CHAUMA ya Hashim Rungwe Mzee wa Ubwabwa kupokwa waasi wa chadema na kuwapa madaraka, hii inatuchanganya
Awali upinzani wa ACT Wazalendo ulitiliwa shaka yaani ulikuwa upinzani wa zuga tu, binafsi naona hii kasi ya CHAUMA Kuna nguvu wanayo kutoka CCM na serikalini ili kuibomoa chadema
CHAUMA angekuwa mpinzani WA kweli angeibomoa CCM ili kuimarisha Chama chake ila kuibomoa Chadema hapa napata mashaka na aina ya upinzani wake
Adui wa maendeleo na Watanganyika ni CCM ilitakiwa vyama vya upinzani view na sera kama za chadema ili kuiondoa CCM madarakani
Nasema wazi Chadema kazi tunayo, maadui wanajiinua Kwa namna tofauti hapa tupambane na CCM na wapinzani wenzetu akina ACT Wazalendo na CHAUMA
Awali upinzani wa ACT Wazalendo ulitiliwa shaka yaani ulikuwa upinzani wa zuga tu, binafsi naona hii kasi ya CHAUMA Kuna nguvu wanayo kutoka CCM na serikalini ili kuibomoa chadema
CHAUMA angekuwa mpinzani WA kweli angeibomoa CCM ili kuimarisha Chama chake ila kuibomoa Chadema hapa napata mashaka na aina ya upinzani wake
Adui wa maendeleo na Watanganyika ni CCM ilitakiwa vyama vya upinzani view na sera kama za chadema ili kuiondoa CCM madarakani
Nasema wazi Chadema kazi tunayo, maadui wanajiinua Kwa namna tofauti hapa tupambane na CCM na wapinzani wenzetu akina ACT Wazalendo na CHAUMA