Uchafu uleXi Jinping aliipa sifa ile ya kichina yaan deepseek ila kiukwel haiigusi chatgpt
ngoja aje huyo mchina mweus aje kuteteaUchafu ule
Story na maswali mengine yote ispokuwa coding, chatgpt... Coding hasa lines kibao deepseekHizi ni artificial Intelligence ambazo zinatamba Kwa Sasa?
Kwako wewe mdau ipi Iko better?
cha kwanza hizo sio AI znaitwa chatbots, AI ni lugha ya biashara kupumbaza watu!Hizi ni artificial Intelligence ambazo zinatamba Kwa Sasa?
Kwako wewe mdau ipi Iko better?
NdiyoHautumii calculator? Unazidisha, kujumlisha, kugawanya Kwa kichwa?
Nimetumia ChatGPT na DeepSeek haya ndiyo niliyojifunza:Xi Jinping aliipa sifa ile ya kichina yaan deepseek ila kiukwel haiigusi chatgpt
Je hatumii ATM au you tube,je zile suggestion zinatoka wapi?Hautumii calculator? Unazidisha, kujumlisha, kugawanya Kwa kichwa?