Ipi inasema ukweli?

Ipi inasema ukweli?

9. natamani nirudi shule nimemiss alama za juu juu kwenye hesabau

Na kuna uwezekano pia ufaulu wako wa mwisho wa Somo la Hesabu ilikuwa ni 23% kutoka ule wa nyuma wa kupata 17% katika Mitihani wako.
 
jibu ni 1 hapo casio wapo makini..
MAGAZIJUTO
6÷2(2+1) tunaanza kutoa mabano..
6÷2×2+2×1
=6÷4+2
=6÷6
tunaenda kwenye gawanya.
6÷6
=1
 
Back
Top Bottom