Nasikitika
Member
- Sep 11, 2021
- 22
- 16
Yaan naumia sana kwa sisi wavulana/wanaume kuona wadada zetu hawawezi kujitegemea mpaka now tuna wadharirisha mitandaoni 😠ili sio vizur na aileti picha nzuri katika jamii serious.
Please tuache hii tabia. Na pia wakina dada msijirahisishe sana ni ushauri tu. Note ushauri unaweza kuhufata au unaachana nao ni maana ni ushauri tuh..
Please tuache hii tabia. Na pia wakina dada msijirahisishe sana ni ushauri tu. Note ushauri unaweza kuhufata au unaachana nao ni maana ni ushauri tuh..