the boss13
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 422
- 215
Kabisa mwizi hakuna wa kutoa I cloudHakuna mtoa icloud tanzania huyo ni mwizi
Kabisa mwizi hakuna wa kutoa I cloudHakuna mtoa icloud tanzania huyo ni mwizi
Kabisa mwizi hakuna wa kutoa I cloud
Mcheki huyu mwenye hii namba maana ni fundi wa iphone yupo kariakoo atakusaidia 0755 088 885Original display ya iPhone 6?! Looking for one
I cloud ni nini? mm ni window phone user , nielezeen kdogo mana nimesoma sielewi
Acha uwongo wwHakuna mtoa icloud tanzania huyo ni mwizi
Acha uwongo ww
Hakuna mtoa icloud tanzania huyo ni mwizi
Mkuu una uhakika?
Mbona mimi ninatumia iCloud na nipo Tanzania?
Unatoa ama unatumia?
Watu wengi wanaliongelea swala la icloud kwa ushabiki na sio research icloud inatoka tatizo ni kwamba kila inapotoka bypass ya kuondoa icloud apple wana update security na inapotoka software ya icloud pia apple wanaichambua na kuingiza katika security zao ila kwasasa icloud sio tatizo tena mimi mwezi ujao nitakuwa dar mtu atatoa ushuhuda wa simu yake hapa kwa wana jf.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Sitoi. Ni mtumiaji wa kawaida.
Jamani wakuu app gan nzuri ya kudownload mp3 na mp4 iliyoko App Store?
Kingine mi nimeshindwa kabisa kuweka pics kwenye iphone 5 yangu toka kwenye pc kwa kutumia itunes kama kuna Mwenye ujuzi please share na Mimi.
Asanteni.