iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Nko na iPhone 5 inarotate kila nkipindua nimetafta pakutolea nmeshndwa....

32a1ddfe50fa74fa21ac81c16712451d.jpg
haya jaribu kupandisha itokee hyo screen hapo then kama unaona ki alama cha kufuli af kimezungushiwa duara kibonye kiwe na rang kama hapo kilvo kulia fasta itaacha kurotate...
 
hivi nikinunua iPhone used kwa mtu. inawezekana kufuta kabisa/to remove account original ya iTunes na kuweka mpya ya kwangu?

Mpka aliekuuzia akuakikishie kairemove account ake ya itunes au ka sign out find my iphone na itunes account
 
Habari za leo natumia Iphone 4s kwa sasa eneo ninapokaa linatumia mtandao wa 4G na Iphone yangu inatumia 3G Je kuna uwezekano wowote simu yangu Iphone 4s ikatumia 4G nifanyeje??
 
Za asubuhi, kunamtu ambae anaweza kutoa icloud ya iphone 4s
 
Naombeni msaada...
Nina IPhone 5 16gb ambayo camera ya nyuma haipigi picha wakati awali ilikuwa inachukua picha vizuri lakini ya mbele naitumia vizuri ukiweka ya nyuma inaonesha giza na Uki-click sehemu ya kupiga picha hairespond na siyo kwamba memory imejaa, memory ipo available nyingi Kama 5gb...natanguliza shukrani
 
Kuanzia iphone 5 ni laki nne na sabini ila unasubiri mwez mzima, kama ni gharana basi bypass ila kunakuwa na vitu vingi havifanyi kazi, ila baadhi ya mambi flani unafanya kama kutumia social net, internet, movies na vijambo vingine
 
Habari za leo natumia Iphone 4s kwa sasa eneo ninapokaa linatumia mtandao wa 4G na Iphone yangu inatumia 3G Je kuna uwezekano wowote simu yangu Iphone 4s ikatumia 4G nifanyeje??

Sim haina 4G hyo tulia na 3G kwani hakuna tofauti hapa bongo 4G kelele hawana infrastructure za kusema Tuite 4G.
 
Back
Top Bottom