mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
tumia document.kisha jifunze kwa tutarial youtube.Wadau Natumia Iphone 7plus, sasa ni App gani nzuri kwa ajili ya Kudownload YouTube VideoS??.......
tumia document.kisha jifunze kwa tutarial youtube.Wadau Natumia Iphone 7plus, sasa ni App gani nzuri kwa ajili ya Kudownload YouTube VideoS??.......
haya mambo ni kwenye biashara za facebook.Nauza iphone 7 plus 128GB black nimenunua July mpya risiti ipo.
Njoo pm
Samsung A50?



Msaada: Iphone 6 inaandika ''iphone is disabled connect to itunes''
Nifanyeje wadau
Msaada: Iphone 6 inaandika ''iphone is disabled connect to itunes''
Nifanyeje wadau
Sawa mkuu kuna baadhi ya documents hazitafutika?Kma una pc download itunes then u connect simu kwenye pc ita update au ku restore then itakuwa poa tu
Sawa mkuu kuna baadhi ya documents hazitafutika?
Sawa mkuuKama haujawahi fanya backup ikikuuliza ku update au restore weka update
Hapana sijawaiUlidhawahi fanya backup?
Hapana sijawai
AhsanteBasi update tu
hahaa aple bdo watawakazia sana wahun wanao taka kutoa i cloud ,huwa najiuliz hawa ma hacker hawajawai kukutana il wamaliz hl tatzo la i device na privacy zake? ama na wao wanatmia i phone.


na unaweza kuta ma hacker wenyw wanatumia hizo ios awatak kufatiliwa


kufungua iphone sio kazi.Hao jamaa wamewekeza zana kweny hao ma hacker ko wamechukuliwa ma hacker nguli kudhibidi ilona unaweza kuta ma hacker wenyw wanatumia hizo ios awatak kufatiliwa
![]()
Aiseekufungua iphone sio kazi.
kazi ni hiyo update unayopewa,kuna anually na hizo ndogo ndogo za kati kati humo kila miezi 2.
inakuwa ni sawa na kuiba gari la watu halafu unarudi tena kwao kuwaomba funguo uendeshe.
Nimeipenda hiikufungua iphone sio kazi.
kazi ni hiyo update unayopewa,kuna anually na hizo ndogo ndogo za kati kati humo kila miezi 2.
inakuwa ni sawa na kuiba gari la watu halafu unarudi tena kwao kuwaomba funguo uendeshe.





Msaada: Iphone 6 inaandika ''iphone is disabled connect to itunes''
Nifanyeje wadau