iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Wakubwa nlipokua na android nlikua na videooder ile
Nkawa nadownload video YouTube nazitupia kwenye laptop
Sasa nipo na iphone nifanyaje kuzipata zile za YouTube
Maan nkidownload za nje Na YouTube zinakua na low quality
 
Wakubwa nlipokua na android nlikua na videooder ile
Nkawa nadownload video YouTube nazitupia kwenye laptop
Sasa nipo na iphone nifanyaje kuzipata zile za YouTube
Maan nkidownload za nje Na YouTube zinakua na low quality

chukua documents ila namna ya kutumia angalia youtube.
 
Baada yakurejea ios vitu pekee ninavi miss sana kwenye Android ni kuforce simu ishike 2g au 3g

Kwenye ios hata uselect nini simu itakamata penye signal kubwa

Ukiwa mbali kidogo tu na mnara iphone inasoma edge na hakuna namna unaweza fanya
Lakini kwenye Adroid ukiselect 3g only itakamata hata kama signal ipo chini

Kingine ni ku clear app data bila kui unstall app husika
Kwenye Android unaweza kuclear data ya za app bila shida
Kwenye ios kuna kui delete app na data zake au kudelete app na kuacha data zake
Telegram ina kama gb 10 na sijui nnitaclear vipi

Sms report nayo hakuna kwenye ios kujua kama muhusika amepokea sms yako

So inawezekana mimi ndio sijajua namna ya kufanya, mwenye uzoefu toa maoni yako

Iphone 8 mini, ios 14.3
 
Daah hapo sasa ikitoka hyo itunes disabled itaomba ujaza account hyo icloud na password kama hizo huzijui sio simu tena hyo...hata ukii bypass iterud kawaida ila itakua haishiki mtandao ukiweka lain inaandka no service

Nina iphone 7 nilikuwa natumia lakini ilikuwa na icloud ya mtu mwingine. Kuna jamaa akafanya utaratibu wa ku bypass na nikawa natumia vizuri tu. Juzi ilipokea update ila baada ya kumaliza ikarudi kama mwanzo na ile ID ya mwenye simu. Sasa aliyefanya utaratibu wa ku bypass hayupo, ni nani mwingine anayeweza fanya hii kitu ya ku bypass anifanyie hii kazi???! Kama kuna mtu anaweza ku bypass tuwasiliane
 
Nina iphone 7 nilikuwa natumia lakini ilikuwa na icloud ya mtu mwingine. Kuna jamaa akafanya utaratibu wa ku bypass na nikawa natumia vizuri tu. Juzi ilipokea update ila baada ya kumaliza ikarudi kama mwanzo na ile ID ya mwenye simu. Sasa aliyefanya utaratibu wa ku bypass hayupo, ni nani mwingine anayeweza fanya hii kitu ya ku bypass anifanyie hii kazi???! Kama kuna mtu anaweza ku bypass tuwasiliane

nichek 0714305309
 
Baada yakurejea ios vitu pekee ninavi miss sana kwenye Android ni kuforce simu ishike 2g au 3g

Kwenye ios hata uselect nini simu itakamata penye signal kubwa

Ukiwa mbali kidogo tu na mnara iphone inasoma edge na hakuna namna unaweza fanya
Lakini kwenye Adroid ukiselect 3g only itakamata hata kama signal ipo chini

Kingine ni ku clear app data bila kui unstall app husika
Kwenye Android unaweza kuclear data ya za app bila shida
Kwenye ios kuna kui delete app na data zake au kudelete app na kuacha data zake
Telegram ina kama gb 10 na sijui nnitaclear vipi

Sms report nayo hakuna kwenye ios kujua kama muhusika amepokea sms yako

So inawezekana mimi ndio sijajua namna ya kufanya, mwenye uzoefu toa maoni yako

Iphone 8 mini, ios 14.3
Yote uliyoyaorodhesha siyo kweli. Jifunze kutumia I phone acha ujanja ujanja Mkuu.
 
Yote uliyoyaorodhesha siyo kweli. Jifunze kutumia I phone acha ujanja ujanja Mkuu.

Uongo huwa unapingwa kwa ukweli mkuu.......... fafanua nieleweshe ndio maana ya jukwaa hili

So far nimegundua kuna baadhi ya app unaweza ku clear data bila kuidelete app nzima
Lakini kwenye kuselect signal za 3g au Edge bado nichangamoto sana..... nisaidie hapa
Sms delivery report nayo bado mtihani
 
Back
Top Bottom