davie dee
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 934
- 1,208
Hata password ya lock screen anaikumbuka?Mke wangu
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Hata password ya lock screen anaikumbuka?Mke wangu
Mfano netflix huo
Hapana
Kasahau kila kitu maana ilikua ndani tu haitumiki
Hapo ndo ishakua mtihani broKasahau kila kitu maana ilikua ndani tu haitumiki
Duh,kwahiyo hii settings kawaida siwezi
Yaani huyu mwanamke leo atanitambua
Ni kwenye netflix tuu au nasehemu zngne inaonesha hvoDuh,kwahiyo hii settings kawaida siwezi
Ongea nae vzur anaweza kukumbuka hat icloud akiikumbuka inaweza saidia kidogo ku renew password mpyaYaani huyu mwanamke leo atanitambua
Msaada: Iphone 6 inaandika ''iphone is disabled connect to itunes''
Nifanyeje wadau
Sehemu zote sheikh,hata home screen piaNi kwenye netflix tuu au nasehemu zngne inaonesha hvo
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
sawa mkuuOngea nae vzur anaweza kukumbuka hat icloud akiikumbuka inaweza saidia kidogo ku renew password mpya
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
spare ni bei gani mkuuHiyo fanya uuze spare mkuu
Iphone ngap hyo?Nina iphone ya dogo hapa
Inamatatizo 2 moja imebadilishwa kioo ila ukitouch inakataa fundi anasema imekufa touch Ic ni kiasi gani wakui?
Na nimejatibu kuiwasha inaniomba icloud dogo anakumbuka ila password kasahau kabisa ajui ni zipi aliweka naomba msaada apa
Kumekuwa na post nyingi kuhusiana na iphone, uzi huu ni maalumu kwa ajili ya mambo yote yahusuyo iphone na brand zote za apple. Tupia maswali ama maujanja kuhusu @ios na mambo mengine.
HADI MUDA HUU HUTUJAPATA UFUMBUZI WA HAKIKA WA KUTOA I CLOUD EPUKA MATAPELI, wataalamu karibuni.
Unlock iCloud Only 5 Min!!! Easy Step how to Unlock Activation Lock iCloud For iPhone 6/7/8/X Done
Jaribu Simu isiwe imetengenezwa china iwe na IMEl yake Orignal itaweza kufunguka. Mimi nimeshaletewa Simu toka nchini Uingereza IPhone 6 nimeifunguwa kwa izo njia na mpaka leo ninaitumia haina wasiwasi kabisa.Mkuu inawezekena kweli?