Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
IPhone 5c au 5s
iPhone 5
IPhone 5c au 5s
Swala la security kwasasa hata samsung wako vizuri ukinunua simu ya samsung fungua samsung account yako hamna namna ya kubypass hii kituNafurahi sana kuona iphone wameweka security nzuri kwenye simu tofauti na android, dawa ya shida yako mrudishie mwenye nayo. Next time ukanunue dukani.
Na nnaomba mungu wasipate ufumbuzi kabisa, na nna waombea Mungu watengenezaji wa iphone wakomae na swala la security hivyo hivyo!!
Wamesema hauiwezekani, na haiwezekaniki!! tafuta aliyekupa simu akupe password.
Huyo jamaa anaesema kuwa anaweza kutoa i cloud ni muongo nilimpigia simu nikampa dili hilo akanijibu atanitafuta baadae mpaka leo kaniblock naisi ni tapeli
Je unaweza kusave vitu vyako kwene ITUNES.??? Msaada jaman jinsi ya kusave vitu kama picha kwene icloud.
Yana hata sim ikipotea nikinunua iphone nyengne nkiconnect na itune isyncronise na vitu vyangu viwe safe.
Storage ya iCloud ni ndogo (5GB) download drop box au google drive usave vitu vyako vyote uko. Siku ukivitaja una login kwenye pc au smartphone yoyote utazipata.
Mkuu je kioo cha iphone 5 naweza kukipata?Kuna jamaa anauza bei 70,000tshs
Habari mkuu,mimi kioo cha iphone 4 ninacho,napatikana dar,na no zangu ni 0713724242Natafuta kioo cha iphone 4 na back cover
Au kuna id mbili nn mkuuYou cnt creat New ID in this phone tatizo nn mwenye uwezo wa kutatua iphone yangu
naitaj iphone 5s nna 370 cash
Storage?Mkuu ongeza kidogo hapo nikupe yangu kwa laki 430. Fasta niko DAR