IPhone 5s
GB 16
Clean condition
Bei 470,000
Phone with Usb charger.
Serious buyer 0654766056
![]()
![]()
Kuna jamaa anauza bei 70,000tshsNauliza kioo cha iphone 4 naweza kupata wapi na kwa bei gan?
Nenda pale Samora JMall ground floor kuna dealer/agent wa Apple wanauza 100k.Nauliza kioo cha iphone 4 naweza kupata wapi na kwa bei gan?
tusaidian jnsi ya kufungua apple acc bila kuwa na master card ama visa Paul S.S kama kuna option nyingine karibun tujadil#bavaria [HASHTAG]#MKWAWA[/HASHTAG] mwagen maujuz yen
mmmhh mm nnayo 6+ hpa iko na I cloud
nimekwenda kufunguliwa imegoma ww unaweza kama liko ndan ya uwezo wako call me 0712 888665
jamani mi nina iphone 4s nilitumiwa na ndugu yangu lakuni sasa toka ije sijaitumia hata mara moja coz ina icloud activition kitu kama icho nawez pata msaada humu maaana hata yeye akumbuki kitu hata kimoja
Natafuta machine ya iPhone 4s
Nenda pale Samora JMall ground floor kuna dealer/agent wa Apple wanauza 100k.
jamani mi nina iphone 4s nilitumiwa na ndugu yangu lakuni sasa toka ije sijaitumia hata mara moja coz ina icloud activition kitu kama icho nawez pata msaada humu maaana hata yeye akumbuki kitu hata kimoja