iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Kwa hiyo Mkuu hata kama haioneshi kuwa inaingiza nikichomeka nikaacha had asubuh inaweza ikachaji?
Siwezi kuku-guarantee ila sometime huwa inaingiza inategemea na charge yenyewe maana charger za iphone huwa inaweza isiingize charge ila ukiiweka kwa muda mrefu unashangaa charge imeingia. Jaribu mkuu ni katika kufanya trouble shooting maana hata mie nilikuwa nina same problems nilikuwa ninafanya hivyo maana ukiishiwa charge hakuna jirani wa kuazima charger kutokana na kutokuingiliana. Jaribu tu kuchomeka huku imewaka alafu zima usikilizie matokeo kesho asubuhi alafu utanipa mrejesho, kama isipojaa basi hiyo charger imekufa kabisa
 
Vipi mkuu ilicharge au ilileta chenga ulivyoilaza kwenye charge?

Nashukuru sana Mkuu..nlifanya kama ulivyonielekeza,usku nlichomeka japo simu haikuonesha notification kuwa inachaji nikaizima nkalala zangu kuamka kuwasha imejaa.Hatimae leo nimeenda kununua lighting to USB cable nyingine naona tatizo limeondoka kabisa.
 
Nashukuru sana Mkuu..nlifanya kama ulivyonielekeza,usku nlichomeka japo simu haikuonesha notification kuwa inachaji nikaizima nkalala zangu kuamka kuwasha imejaa.Hatimae leo nimeenda kununua lighting to USB cable nyingine naona tatizo limeondoka kabisa.
Poa nazijua hizo charger niliwahi kuishi kwa style hiyo wiki nzima nilikuwa mkoa tena Iringa huko ukiingia dukani unapigwa bei ya 20,000 alafu feki
 
Poa nazijua hizo charger niliwahi kuishi kwa style hiyo wiki nzima nilikuwa mkoa tena Iringa huko ukiingia dukani unapigwa bei ya 20,000 alafu feki

Duh hiz iPhone hazifai kwenda nazo kijijin maana charger ikifa tu simu utaweka kwenye Begi.
 
Duh hiz iPhone hazifai kwenda nazo kijijin maana charger ikifa tu simu utaweka kwenye Begi.
Ila nilinunua za kawaida tu duka flani Mwanza, ya buku 5 mpaka sasa ninadunda nayo yenyewe nene kidogo wakati hizi nilizokuwa napigwa 15,000 mpaka 20,000 zilikuwa zinakufa (nikachukua mbili kabisa maana simu hizi hazina ujirani mwema)
 
Hello wadau..hivi kuna mtu alishawahi ku experience tatizo la touch id?yan home button inafanya kaz kama kawaida ila ukitaka ku set fingerprint ina fail na kuandika "unable to complete touch id set up,please go back and try again".Kama hilo tatzo lina solution naomba nielekezwe cha kufanya,thanks
fd94fe00b06a30107b759f9e8fb1cc08.jpg
 
Hello wadau..hivi kuna mtu alishawahi ku experience tatizo la touch id?yan home button inafanya kaz kama kawaida ila ukitaka ku set fingerprint ina fail na kuandika "unable to complete touch id set up,please go back and try again".Kama hilo tatzo lina solution naomba nielekezwe cha kufanya,thanks
fd94fe00b06a30107b759f9e8fb1cc08.jpg

Fuata maelekezo wanayokupa,ukikosea watakuambia urudie tena.
 
Naombeni msaada ni jinsi gani ninaweza kuibadilisha nchi kutoka Tanzania hadi Marekani kwenye apple store
 
Back
Top Bottom