christelly
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,462
- 1,466
A
Elite computers ni authorised Apple products reseller in Tanzania. Personally nimeshafanya biashara nao mara nyingi. Kabla hujabisha nenda ujionee mwenyewe.Hakuna dealer wa Apple Tanzania ao ni mafundi tu
Elite computers ni authorised Apple products reseller in Tanzania. Personally nimeshafanya biashara nao mara nyingi. Kabla hujabisha nenda ujionee mwenyewe.
Yes mkuu, nadhani anaitwa istoreAchana nae,pale Mlimani City kuna authorized dealer mwingine.
Yes mkuu, nadhani anaitwa istore
hata ikiwa na code unaipata kwa kuilocateMkuu pole kwanza, kosa wanalofanya watumia wa iPhone pindi wanaponunua ni kuweka passcode, hii inafanya kuwa ngumu kuitrack simu yako pindi unaibiwa, mfano mi iPhone yangu sijaweka passcode yoyote na bado ipo secured kwa sababu bado iCloud inafanya kazi kama kawaida, pindi ikiibiwa bado mwizi wangu ataendelea kuitumia kama kaiwada na nina chance kubwa ya kumshika nayo mkononi
Kumekuwa na post nyingi kuhusiana na iphone, uzi huu ni maalumu kwa ajili ya mambo yote yahusuyo iphone na brand zote za apple. Tupia maswali ama maujanja kuhusu iOS na mambo mengine.
HADI MUDA HUU HUTUJAPATA UFUMBUZI WA HAKIKA WA KUTOA I CLOUD EPUKA MATAPELI, wataalamu karibuni.
Elite computers ni authorised Apple products reseller in Tanzania. Personally nimeshafanya biashara nao mara nyingi. Kabla hujabisha nenda ujionee mwenyewe.
Achana nae,pale Mlimani City kuna authorized dealer mwingine.
Nimetumia sim za hao jamaa tangu enzi za iPhone 3, kisha 4, na 5 na kwa sasa natumia iPhone 6 sijawahi kuona kama hilo ni tatizo rasmi kwa simu hizo. Hilo nimewa kukutana hata kwa simu za Android ingawa sijui kiufundi linasababishwa na nini.Dah wakuu nimehamia iOS na mim kutoka Android,japo bado mgeni ila nmeanza kuzoea tatizo moja tu ambalo nmeahindwa kuvumulia naomben msaada maana nataman kuipiga chin hii simu..tatizo lenyewe ni ukiongea na mtu wakati wa calling yaani sauti yake inasikika kwa mbali sana nmefuatlia mitandaoni nmeona pia watu wanalalamika kuhusu hilo na pia nmejaribu kuchek na watu wazoefu wanaotumia iPhones naambiwa ndo zilivyo je hakuna jinsi ya kuongeza calling volume?maana nikiwa njian nikapigiwa simu inakuwa kero.Natumia iphone 6
Dah wakuu nimehamia iOS na mim kutoka Android,japo bado mgeni ila nmeanza kuzoea tatizo moja tu ambalo nmeahindwa kuvumulia naomben msaada maana nataman kuipiga chin hii simu..tatizo lenyewe ni ukiongea na mtu wakati wa calling yaani sauti yake inasikika kwa mbali sana nmefuatlia mitandaoni nmeona pia watu wanalalamika kuhusu hilo na pia nmejaribu kuchek na watu wazoefu wanaotumia iPhones naambiwa ndo zilivyo je hakuna jinsi ya kuongeza calling volume?maana nikiwa njian nikapigiwa simu inakuwa kero.Natumia iphone 6
Itakua ni tatizo la speaker ya hiyo simu.
Hapana Mkuu..nimetafuta mtu mwingine mwenye iPhone 6plus nae ni hivyo hivyo,nimejaribu hadi ku google nmeona watu wengi wanaongelea hyo issue.Yan ukiwa sokoni kwenye kelele ni shida.
iOS version yange ni ngapi?