iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Bro kuupdate hii,ni hadi utumie wifi au hata bando ? Kwani najaribu naona inagoma

Unaweza ku update kwa WiFi tu. Kwa Bundle yako haiwezi kutokana na security reason. Kama unataka ku update kuna njia mbalimbali:

1. Kama una computer install iTune kisha hakikisha upo kwenye mtandao itadownload na kufanya update. Unaweza ukatumia Bundle ya simu yako kwa kufanya wifi network sharing au USB Hotspot kwenye computer.

2. Chukua simu ya mtu muombe akutumie WiFi au kaa maeneo yenye WiFi yenye speed kisha update.
 
jaman naomben kueleweshwa kitu apa naona watu wanaandika bei ya kitu kwa style ya K kwa mfano 350k mi sielew kbs tsh inakuwa tsh ngap ni laki ukiweka k au?

kuuliza c ujinga
 
Sasa najaribu kufikiri labda binti yangu aliibadilisha ID maana kuna wakati nilimpa aitume. Lakini pamoja na hilo bado ID inayodisplay naona ni ya kwangu sasa hata nikiifungua through other devices na kuingia kwenye www.iforgot... inaniambia hii ID haipo .'doesn't exist in apple store'

Naombeni ushauri nifanyaje niweze kuiretrieve hii simu wapendwa

Kwa uelewa wangu ni kwamba mtu awezi kubadilisha ID ya IPhone bila kujua password yako Ya mwanzo, Pia bila yeye mwenyewe kuingiza password mpya.Nakushauri uulize password kwa muhusika aliyebadilisha.

2. ID yako Ya simu Pia ni ID Ya email na iCloud,ambayo ni zaidi Ya password Ya simu. Hii inamaana kwamba hata kwa kutumia kompyuta bado unaweza kuingia kwenye ICloud account ambayo ina picha,contact lists n.k zako...Jaribu ku-download iCloud (for windows) kama una pc, au ingia iCloud Ya Apple Computer ( kama una Mac n.k) . Then ukiingiza ID chagua recover password na upate password yako.
ImageUploadedByJamiiForums1474013770.521213.jpg


Tatizo linakuja pale utakapo recover na unataka kuiingiza kwenye simu, HAITAKUBALI!, kwa sababu kwenye simu yako kuna ID nyingine ambayo huijui password, so tunarudi kwenye ushauri wa kwanza hapo juu!!
 
Unaweza ku update kwa WiFi tu. Kwa Bundle yako haiwezi kutokana na security reason. Kama unataka ku update kuna njia mbalimbali:

1. Kama una computer install iTune kisha hakikisha upo kwenye mtandao itadownload na kufanya update. Unaweza ukatumia Bundle ya simu yako kwa kufanya wifi network sharing au USB Hotspot kwenye computer.

2. Chukua simu ya mtu muombe akutumie WiFi au kaa maeneo yenye WiFi yenye speed kisha update.
mkuu hivi hiyo update ya 9.3.5 ina ukubwa gani maana nilijaribu ku update kwenye ipad yangu naona mb zinaisha tu bila mafanikio
 
Unaweza ku update kwa WiFi tu. Kwa Bundle yako haiwezi kutokana na security reason. Kama unataka ku update kuna njia mbalimbali:

1. Kama una computer install iTune kisha hakikisha upo kwenye mtandao itadownload na kufanya update. Unaweza ukatumia Bundle ya simu yako kwa kufanya wifi network sharing au USB Hotspot kwenye computer.

2. Chukua simu ya mtu muombe akutumie WiFi au kaa maeneo yenye WiFi yenye speed kisha update.
Mkuu halotel kwenye i phone hawana usb hotspot?
 
Kwa uelewa wangu ni kwamba mtu awezi kubadilisha ID ya IPhone bila kujua password yako Ya mwanzo, Pia bila yeye mwenyewe kuingiza password mpya.Nakushauri uulize password kwa muhusika aliyebadilisha.

2. ID yako Ya simu Pia ni ID Ya email na iCloud,ambayo ni zaidi Ya password Ya simu. Hii inamaana kwamba hata kwa kutumia kompyuta bado unaweza kuingia kwenye ICloud account ambayo ina picha,contact lists n.k zako...Jaribu ku-download iCloud (for windows) kama una pc, au ingia iCloud Ya Apple Computer ( kama una Mac n.k) . Then ukiingiza ID chagua recover password na upate password yako. View attachment 401309

Tatizo linakuja pale utakapo recover na unataka kuiingiza kwenye simu, HAITAKUBALI!, kwa sababu kwenye simu yako kuna ID nyingine ambayo huijui password, so tunarudi kwenye ushauri wa kwanza hapo juu!!
Kwa uelewa wangu ni kwamba mtu awezi kubadilisha ID ya IPhone bila kujua password yako Ya mwanzo, Pia bila yeye mwenyewe kuingiza password mpya.Nakushauri uulize password kwa muhusika aliyebadilisha.

2. ID yako Ya simu Pia ni ID Ya email na iCloud,ambayo ni zaidi Ya password Ya simu. Hii inamaana kwamba hata kwa kutumia kompyuta bado unaweza kuingia kwenye ICloud account ambayo ina picha,contact lists n.k zako...Jaribu ku-download iCloud (for windows) kama una pc, au ingia iCloud Ya Apple Computer ( kama una Mac n.k) . Then ukiingiza ID chagua recover password na upate password yako. View attachment 401309

Tatizo linakuja pale utakapo recover na unataka kuiingiza kwenye simu, HAITAKUBALI!, kwa sababu kwenye simu yako kuna ID nyingine ambayo huijui password, so tunarudi kwenye ushauri wa kwanza hapo juu!!
Kwa uelewa wangu ni kwamba mtu awezi kubadilisha ID ya IPhone bila kujua password yako Ya mwanzo, Pia bila yeye mwenyewe kuingiza password mpya.Nakushauri uulize password kwa muhusika aliyebadilisha.
mkuu hii inawezekana kama email ya icloud ipo activated kwenye email nasema hivi coz nina ushahidi na mimi mwenyewe nimefanya kwenye ipad yangu na ndio natumia hadi sasa it is simple nilicho kifanya ni baada ya kuona password ya hiyo email siifahamu nikaingia kwenye icloud web alafu nikaingiza email then forget password nikatuma baada ya mda ikaingia email kwenye mail box yenye link ya kufanya mabadilko ya password na kubadilisha rescue email ,hadi sasa maisha safi tu
 
mkuu hivi hiyo update ya 9.3.5 ina ukubwa gani maana nilijaribu ku update kwenye ipad yangu naona mb zinaisha tu bila mafanikio

iOS mara nyingi hazizidi 1.5 gb...lakini kama kitaka uhakika nenda kwenye browser na tafuta "iOS 9.IPSW download" (Google) the kwenye site yeyote ile kuna link utatakiwa kujaza details za device yako mfano. Aina na model yake then utaona options za aina Ya iOS9 versions na ukubwa wake
ImageUploadedByJamiiForums1474015392.463699.jpg
 

Tatizo ni kwamba kwa huyu jamaa, yeye tayari kunamtu mwingine ameingiza ID kwenye device yake na INAFANYA kazi!..hii ina maana ame delete account Ya mwanzo..so Kifupi hiyo device inatumia iCloud account nyingine.
Hata kama ukienda iCloud, hata iCloud haiitambui tena hiyo device kwa sababu ipo kwenye list Ya iCloud account nyingine.?.ukiweza ku-bypass through website, ina maana iPhone zote unaweza ku bypass, unachotaka kufanya ni kuwa wa kwanza kumiliki hiyo simu!..

Labda u niambie details zako bado zilikuwepo kwenye simu, kama I could account ila password recover ilikua hazifanyi kazi, lakini sio kwamba kuna mtu mwingine anatumia simu yako na password yake na bado unaweza ku-bypass security yake.
 
mkuu hivi hiyo update ya 9.3.5 ina ukubwa gani maana nilijaribu ku update kwenye ipad yangu naona mb zinaisha tu bila mafanikio

Mara ya mwisho niliona ilikuwa kama MB 38.1. Ila imeshatolewa. Baada ya kutoka iOS 10. Hivyo kama una device inayokubali iOS 10 unaiweka moja kwa moja sio lazima uwe na iOS 9.3.5.

iOS 10 ni kama 1GB ku-update kwa WiFi na ku-update kwa iTune ni 1.8 GB kwa sababu inadownload iOS nzima including updates na firmware yote. Lakini baada ya ku-update itakuwa sawa na update ya WiFi.
 
Mkuu halotel kwenye i phone hawana usb hotspot?

Halotel yenyewe configurations zake hazina configuration kwenye hotspot.

Ila kuna namna ya kufanya setting kwenye Cellular Data setting kuiweka. Unacopy like jina la APN kwenye cellular data, unacopy kwenye personal hotspot APN.
 
Wakuu ni IPhone 4S but haikubali kuhifadhi files za Audio ila kusikiliza nasikiliza vizuri tuu mfano nyimbo
Hili ni tatizo Au ni setting na Kama Ni settings Au tatizo nifanyeje?
 
Wakuu ni IPhone 4S but haikubali kuhifadhi files za Audio ila kusikiliza nasikiliza vizuri tuu mfano nyimbo
Hili ni tatizo Au ni setting na Kama Ni settings Au tatizo nifanyeje?

Hizo audio umeziweka kwa njia gani?
 
Back
Top Bottom