Utawafahamu kwa sura na matendo yao! Haiwezekani mbunge mwenzako achangie mada na wewe (mb) umwangalie kama vile ananuka mavi!
Kiongozi wa kambi ya upinzani Freeman Mbowe akifafanua jambo, Kulia kwake ni mbunge Zaituni Buyogela (mb)
Zaituni: naye huyu anaongea nini upuuzi mtupu hahahahahahah kakunja sura utafikiria anakamuliwa jipu:lol::lol: mijitu mingine bana