Invitation to all JF members: Debate!

Invitation to all JF members: Debate!

Last edited by a moderator:
This should be a very interesting debate pitting two individuals with two opposing views about the insanity of doing the same thing over and over again and expecting different results. While Zomba is filled with an ardent love for the status quo, Matola has this deep feeling that in Tanzania the Status quo is synonymous with just one thing, "the mess we are in". Zomba, like a manager, accepts, defends and wants to preserve the status quo while Matola, like a leader, identifies, challenges and wants to change it.

Defenders of the status quo, like Zomba, will argue that this system has served us well over 50 years, imedumisha amani na utulivu and that we should not just throw away what has taken that many years to build. They are blind to that the dissatisfaction, ferment and restlessness currently facing our beloved country are a result of a failed leadership and an indication of people's thirst for change . Zomba will come up with half baked figures and numbers but the reality is, we are in a hole but like i.d.i.o.t.s we just cant stop digging.

On the other hand Matola is part of a 'new breed' of models who perhaps don't exactly fit the status quo that has always made them feel small. They are eager to grow and are willing to be honest with themselves about what they feel for it is only through such willingness people can evolve. People who demand neutrality in situations like the one facing our country are usually not neutral but in favor of the status quo. Defending Kikwete requires guts and sterner stuff like zomba of 2007 and not zomba of 2012!

I am not going to indulge into a warmup debate prior to the debate, however, I can simply summarize an answer to you and yours:

Hypocrites Hyperthesis.
 
Kamanda Matola nakuona upo online! Tunaomba neno moja tu kutoka kwako kuhusu huu mdahalo! Tunaamini kambi ya Pro-Matola itaangusha kambi ya Pro-Zomba
 
I am not going to indulge into a warmup debate prior to the debate, however, I can simply summarize an answer to you and yours:
Hypocrites Hyperthesis.
Did you mean Hypocrites Hypothesis? ha ha haaa!...ever heard of one who approaches greatness on his belly?...it is so that he doent have to be commanded to turn to be kicked!
 
To all JF Members,
Ninawaahidi nidhamu, heshima na kuheshimu imani za wengine kwenye Debate hiyo, ni wakati wa kuonesha Hekima zetu na kuipa JF heshima inayostahili. Namuheshimu Zomba na nina uhakika ana uwezo wa kujenga hoja katika mada tajwa kama ninavyojiamini mimi mwenyewe katika hilo.
Smile umenichekesha sana, cha Arusha huwa situmii ni swaga tu, Ritz usiwe na shaka Mkuu siku hizi nakukubali kutokana na post zako zimeanza kukaa kwenye ukweli, Precise pangolin usiwe na wasiwasi unakaribishwa sana, Roullete anasifika kwa kutompa ban Member kabla hajamuonya kwenye pm The Boss habari yako bana.

Hitimisho: Sheria na kanuni za JF nitazizingatia kwa 100% kuna baadhi ya Members ndio huwa wanasababisha wengine tuwe Radical lakini Matola ni mtu powa kabisa with Muslim & Christian Siblings.
 
Last edited by a moderator:
To all JF Members,
Ninawaahidi nidhamu, heshima na kuheshimu imani za wengine kwenye Debate hiyo, ni wakati wa kuonesha Hekima zetu na kuipa JF heshima inayostahili. Namuheshimu Zomba na nina uhakika ana uwezo wa kujenga hoja katika mada tajwa kama ninavyojiamini mimi mwenyewe katika hilo.
Smile umenichekesha sana, cha Arusha huwa situmii ni swaga tu, Ritz usiwe na shaka Mkuu siku hizi nakukubali kutokana na post zako zimeanza kukaa kwenye ukweli, Precise pangolin usiwe na wasiwasi unakaribishwa sana, Roullete anasifika kwa kutompa ban Member kabla hajamuonya kwenye pm The Boss habari yako bana.

Hitimisho: Sheria na kanuni za JF nitazizingatia kwa 100% kuna baadhi ya Members ndio huwa wanasababisha wengine tuwe Radical lakini Matola ni mtu powa kabisa with Muslim & Christian Siblings.

I am looking forward kwa mjadala
thanks...
 
To all JF Members,
Ninawaahidi nidhamu, heshima na kuheshimu imani za wengine kwenye Debate hiyo, ni wakati wa kuonesha Hekima zetu na kuipa JF heshima inayostahili. Namuheshimu Zomba na nina uhakika ana uwezo wa kujenga hoja katika mada tajwa kama ninavyojiamini mimi mwenyewe katika hilo.
Smile umenichekesha sana, cha Arusha huwa situmii ni swaga tu, Ritz usiwe na shaka Mkuu siku hizi nakukubali kutokana na post zako zimeanza kukaa kwenye ukweli, Precise pangolin usiwe na wasiwasi unakaribishwa sana, Roullete anasifika kwa kutompa ban Member kabla hajamuonya kwenye pm The Boss habari yako bana.

Hitimisho: Sheria na kanuni za JF nitazizingatia kwa 100% kuna baadhi ya Members ndio huwa wanasababisha wengine tuwe Radical lakini Matola ni mtu powa kabisa with Muslim & Christian Siblings.

Maneno mazito Kamanda Matola
 
Last edited by a moderator:
Mungi,

Naona umerukia kujibu post yangu mie nakujibu hivi... Debate inahusu utawala wa Rais Kikwete toka mwaka 2005 hadi 2012...

Kwa hiyo siasa haipo hapa?

sawa, tunakwenda kujadili utawala wa kikwete kutoka 2005 mpaka 2012. So what?
 
Last edited by a moderator:
Asante sana. Kiswahili wala hakinipi shida. Nadhani kuna two schools of thoughts. Kuna ambao wanaamini Suali ni sahihi na wengine wanasisitiza kua Swali ndio sahihi. Kwa sasa nadhani zote mbili zinaruhusiwa (Dixit Kiranga)

Hapo wote mpo sawa tu kisarufi. Neno suali na swali yote yanamaanisha kimoja. Kilichojitokeza hapo kitaalam kinaitwa uyayushaji, huu hujitokeza mara nyingi pale ambapo irabu mbili (ya kwanza ikiwa u kisha irabu nyingine ) zinapoofuatana, irabu hizo huyayushwa na kuzaliwa kiyayusho (w).
Mfano- mualimu = mwalimu
muimbaji = mwimbaji
muombaji = mwombaji
suali = swali
hivyo basi neno la asili kabisa ni suali lililoyeyushwa na kuwa swali.
Kuhusu huo mgongano wa mawazo lazima niwepo kama mtazamaji vutiwa.
 
Back
Top Bottom