The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
mnakasha?????
Nadhani debate ingekuwa ya kipindi 2005-2010 ili iwe fair kwa Rais. Kudebate kipindi chake cha pili ni kama kwa sasa ni kama kusema kuwa farasi mmoja kati ya wale wanaoshinda keshashinda wakati mbio hazijesha.
mnakasha?????