Invitation to all JF members: Debate!

i am concerned on how the mdoerate can facilitate/moderate inflow of posts (Q&A) given the traffic of posts vs. ability of a human being to coordinate and time as a critical factor
 
nitakuwepo ila nitakuwa na gawa vinywaji kwa washiriki.utapata kinywaji kutokana na mchango wako wa hoja.
 
Ni vyema ila nilikua nashauri kungekua na midahalo ya aina hii kila wakati ili kuweza kujua masuala muhimu ya nchi yetu,lakini sidhani kama kunatakiwa kuwe na watu maalum wa kujibu maswali hayo ila kuwe na upande wa serikali na upande wa pili.Swali linaweza kuulizwa na member yoyote wa JF na upande husika ukatakiwa kujibu au kutafuta jibu kwa muda watakaoweza bila kikomo.Atakaejibu swali sio lazima atoke serikalini,anaweza kuwa yoyote anaeisuport serikali kwenye suala husika,kama jibu halitawaridhizisha waulizaji wataweza kuendelea kudebate.Ukura huo nashauri usiwe na mwisho ili yoyote akitaka ufafanuzi au akauliza swali ambalo lilishaulizwa na likajibiwa aelekezwe ili apate jibu kwenye ukurasa huo.Ni hayo tu!
 
Nadhani debate ingekuwa ya kipindi 2005-2010 ili iwe fair kwa Rais. Kudebate kipindi chake cha pili ni kama kwa sasa ni kama kusema kuwa farasi mmoja kati ya wale wanaoshinda keshashinda wakati mbio hazijesha.

Kuna faida na hasara za kuunganisaha hivi vipindi kwa wachangiji wote kwani kama kuna mazuri au mabaya yamefanywa na utawala wake hivi karibuni yanaweza kutumika kuonyesha juhudi na mapungufu yake, respectively. Kwa hiyo kipindi cha kujadiliwa katika debate kiwe mpakasiku husika.
 
Ni vyema ila nilikua nashauri kungekua na midahalo ya aina hii kila wakati ili kuweza kujua masuala muhimu ya nchi yetu,lakini sidhani kama kunatakiwa kuwe na watu maalum wa kujibu maswali hayo ila kuwe na upande wa serikali na upande wa pili.Swali linaweza kuulizwa na member yoyote wa JF na upande husika ukatakiwa kujibu au kutafuta jibu kwa muda watakaoweza bila kikomo.Atakaejibu swali sio lazima atoke serikalini,anaweza kuwa yoyote anaeisuport serikali kwenye suala husika,kama jibu halitawaridhizisha waulizaji wataweza kuendelea kudebate.Ukura huo nashauri usiwe na mwisho ili yoyote akitaka ufafanuzi au akauliza swali ambalo lilishaulizwa na likajibiwa aelekezwe ili apate jibu kwenye ukurasa huo.Ni hayo tu!
 
Very good as we great thinkers it is better to have that such activities so that we can worm up our brain for suddenly question to our members ,b'se I beleave we can have member of Parliaments by 2015. Therefore it is good to be different from Dhaifu especialy Werema and Liwalo na Liwe.
 
Back
Top Bottom