Introverts Vs Relationship

Wewe ni Ambivert..! Umemix character za extrovert na introvert

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo yako yanasisimua


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi mtu akinipigie simu huw siongei muda mrefu ,ikitokea ninae onge nae anaongea muda mrefu natamani amalize haraka kuongea huwa nachoka sana kumsikiliza
 
Uko sahihi na ikitokea mwanamke akaxungusha basi ndio anapotezewa kihivyo. Pili huwa tunakuwa straight forward, hatutumii janja janja kuomba k
Huwezi kuta intros wanajipendekeza,sijui wambea wambea,huwa tunajiamini sana na tunaamini kwenye ability sio ujinga ujinga wa umbea na kujipendekeza..Ukikuta kiongozi ni intros alafu mtu anakuwa na tabbia za ajabu ajabu lazima atakuumbua
 

Wewe ni ambivert

An ambivert is someone who falls in the middle of the introvert/extrovert continuum.

Ambiverts have a blend of traits from both introverts and extroverts, as well as their own unique strengths.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuta intros wanajipendekeza,sijui wambea wambea,huwa tunajiamini sana na tunaamini kwenye ability sio ujinga ujinga wa umbea na kujipendekeza..Ukikuta kiongozi ni intros alafu mtu anakuwa na tabbia za ajabu ajabu lazima atakuumbua
Na hapo ndipo inapofika wanasema tunajisikia ama tunaringa. Shida sasa uwe na tu hela kidogo utachukiwa na kila mtu.
 
Wewe
Wewe ni Introvert yule mwenyewe.
Suala la kupiga story na mtu linakuja pale unapokuwa confotable nae.

Sasa suala la kuringa hili haliepukiki kwa introvert. Kabla sijajijua ni Introvert nilikuwa naumia sana pale watu wakinisema kuwa nina dharau na maringo. Baadae nilikuja nikazoea kwa hivyo sipatishida.

Baby mama wangu mtarajiwa nilisha mwambia kuwa mimi ni introvert kwa huyo asije kushangaa pale maongezi yatakapokata tukiwa pamoja, naona kama ananielewa lakini kuna mda anajisahau anasema ninadharau.

Changamoto ninayo ipata saa hivi ni ile ya kula papuchi kimya kimya bila hata miguno. Hii inawaboa sana wanawake wengi sana. Sasa inabidi nijilazimishe tu lakini kwa baby mama wengi ni mwendo wa silent mode ilikuwaga
 
Mimi nadhani ni introvert ila sio wale ngumu kumeza sometimes najichanganya ila kwa watu niliowazoea ila tuu niliwahi kudate na mwanamke ambae complete introvert aise just imagining hata kusamilia watu hawez anaona aibu mpaaka raia wakawa wananichana bana mwambie manz yako awe anasalimia sijashtushwa Sana maana ata mm siku ya kwanza kukutana hakuweza kunisalimia na aliwahi kuniambia ni mtu pekee ninaemuelewa na mtu wa aina gani na namkubali alivyo. Nikiwa nae Mimi na yeye tuu anaongea kama redio ya mbao sasa awepo ata mtoto mdogo kati yenu anatulia kama maji kwenye mtungi tena mkikaa sana utaona anakuginya apo ashatuma sms P tuondoke ukimuuliza kwann atakujib I'm not comfortable. Urafiki wake yeye na mtu ujue kuna kitu yan benefits anaitaka mpaka nikazoea nikiona shoga yake mpya ujue kuna jambo analifanya akishamaliza na anaweza kumblock ata. Tulivyoachana ni kimasihara yani ni kiumbe wa ajabu sijawahi kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…