Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

Hahahaaa.. iteresting... Tumetoka mbaala sana aisee!
Karibu sana, wewe ni rafiki mzuri na hii team inakufiti sana. LoL!!!

Hahahaa. lol. Usinisingizie mie. Nime like manake nimeshangaa huu utundu umeanza lini? Ama umesahau tumetoka mbali?
 
mm nikiwa balozi wa chama hichi cha team rafiki nisingependa huyu mkuu mentor
awepo katika chama chetu kwani ataleta tabia za kule alikotoka na kuharibu wafuasi wetu hapa
alikuwa kiongozi ndani ya chama chenu mbona hutaki kukubali hilo mkuu mentor tafadhali njoo umthibitishie huyu bwana mkubwa hapa kwamba wewe na yeyee sasa hivi hampiki chungu kimoja tena.
 
Last edited by a moderator:
teamrafiki mngeweka wazi vigezo vya kuwa member na wengine wajue
 
mm nikiwa balozi wa chama hichi cha team rafiki nisingependa huyu mkuu mentor
awepo katika chama chetu kwani ataleta tabia za kule alikotoka na kuharibu wafuasi wetu hapa

mwache awepo kundi lipo kwa ajili ya kubadilishana tabia.
 
mi sina neno na nyie aisee! kama tim yenu imekamilika freshi.. tuanze mzunguko wa ligi kabisa! atakaeshushwa daraja, tutamuona humu humu...

Sijawahi kuona wewe uwe ubazazini na miss neddy awe #TEAMRAFIKI tena ni mtu mwenye cheo huku..mtaishi vizuri kweli?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom