Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

Mkuu tulikua wengi mno afu kulikua na interview ya asubuhi ambao tumepishana nao wanatoka sisi tukaingia saa 5-6 tumemaliza wakawa wanaingia wengine saa 8-9 . Yes huyo hapo ni mimi bado kesho pia
Sio poah. Sijui hiki kizazi tutakuja waambia vip watoto zetu wapende shule wakati wazazi tunataabika kama hivi.
Mm nilikuwa naingia saa 8-9 nikahairisha
 
Sio poah. Sijui hiki kizazi tutakuja waambia vip watoto zetu wapende shule wakati wazazi tunataabika kama hivi.
Mm nilikuwa naingia saa 8-9 nikahairisha
Kwakweli tupambane tu! Atleast watoto wetu waje kusimamia vimiradi vyetu maana🙄 Kwahiyo kweli umeahirisha ?
 
Boraa sikwenda!ningechoma nauli kutoka mwanza Hadi dar plus malazi na chakulaa almost Kama 17k alfuu unaambulia checheee...Bora niongezee hi hela kwenye mtaji wangu wa matunda

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Ndio mkuu, hii niliona nisikilizie tu.

Hapana nasubiri utumishi monitoring and evaluation (rea)

Most maswali ni ya kuchaguaa and asimilia kubwa ni math knowledge questions all in all al the best kwa wanaonalizia kesho wingi sio hoja just trust ur self
 
Kwa zile test mchujo utakuwa mkubwa sanaaaaaaaaa, watabaki wachache ukiitwa oral nafasi ya kulamba shavu inakuwa kubwaaa.
 
Back
Top Bottom