Yaani ni watu wengi mno mi mwenyewe nilikua sijui kama kuna saa 8 na 9😀😀Aisee basi hii interview itakuwa na watu kama treni kumbe kuna saa 5 had 6 na 8 hadi 9 duuuuuh
Kwahyo tuje au tuwaachie hao hao wanatosha?Hahaha interview hizi dah watu wote Hawa wanataka job
Ma hr wamejaziwa vimemo hatariHawa Ma HR sijui wanafanya vipi kazi zao kufanya shortlist ya watu saa zingine, me nadhani wanahita wote tu uwanja uwe wako! kwa siku watu wanafanya mara 3dah
Umefanya Jambo la maana sanabora nitulie nilipo niliitwa sijaenda ilikuw a leo naona kazi niliopo ni bora zaidi ya hao
Usije tuu hata Hawa waliyopo nao ni wengi Sana Tena Sana na ni bench ya 11:00am-12:00am ,,bado Kuna bench ya 8:00pm -9:00pm bado wale wa asubuhi, wale wa kesho na wale wa Jana😂😂😂😂 Yani kama hauko dar usije tuu komaa huko huko mkoaniKwahyo tuje au tuwaachie hao hao wanatosha?
"Shughuli ni watu"Aisee maswali ni ya kawaida tu mkuu General questions hadi hesabu za kujumlisha na kutoa zinakuwepogi, ntahudhuria pia kwa mara nyingine! Ila nikikumbuka tulivokua wengi vile duh![]()
Ndo unaingia kufanya muda huo.????Wakuu wa kesho saa 5-6 mpoo?
Huyo saa leo saa 8 hadi 9 namuona anaelekea uwanjani sasa.Ndo unaingia kufanya muda huo.????
Unataka nn kwani?Mliopo eneo la tukio mbona kimya au ndio kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe wanduguuuuu, tumefunzwa kuishi kijamaa ndugu zanguuuuu