Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,253
Uongo tu angalia na eneo walilo fanyia usahiliWatu wengi kama washabiki wa simba...
ukichanganya na yanga....
Uongo tu angalia na eneo walilo fanyia usahiliWatu wengi kama washabiki wa simba...
ukichanganya na yanga....
Mkuu vipi ulifanikiwa?Hongereni wote mliofanya interview! Sasa tusubiri matokeo! Kila rakheri kwa wataofaulu kwa hatua ya oral nk, Na ambao hatutofanikiwa mapambano yaendelee hadi kieleweke![]()
Sikufanikiwa mkuu, nilipata email tu kwamba they regret to inform me that i was not selected for the further processes 😒 sizipendi Email za aina hii. Vipi wewe upo kazini sahivi?Mkuu vipi ulifanikiwa?
Nipo muda tokea mwaka jana...ila nimeitwa BoT nawaza Apt zao zitakauje...Sikufanikiwa mkuu, nilipata email tu kwamba they regret to inform me that i was not selected for the further processessizipendi Email za aina hii. Vipi wewe upo kazini sahivi?
Pole sana kuna jamaa aliwahi andikiwa hivyo na kampuni flani hv mara baada ya kufanya interview........Sikufanikiwa mkuu, nilipata email tu kwamba they regret to inform me that i was not selected for the further processes 😒 sizipendi Email za aina hii. Vipi wewe upo kazini sahivi?
kama sio stori za Boda boda basi Uyu kama ni HR aliye andika hii email bas ni kiazi sio kila kitu unapima pima maisha gani ya kuviziana kwenye kona? Hovyo sanaPole sana kuna jamaa aliwahi andikiwa hivyo na kampuni flani hv mara baada ya kufanya interview........
Walianza na hayo maneno " We Regret to inform you that".......na bla bla kibao hapo kati.......
kumbe mwishoni mwa email walimpa kazi na tarehe ya kufika kazini......
Jamaa hakusoma mpaka mwisho kumbe walikuwa wanapima torelance yake kusoma between the lines
Siku wanakuja kumtumia email kwamba offer yake ime expire kwa kuwa hakufika kazini ndio akajua kwamba kumbe angesoma vizuri email alikuwa na kazi tayari
Mpaka leo jamaa analia kwa kupiga miluzi yani
Manake mshahara wake kianzio ulikuwa ni dola 3500 usd
Tuwe wavumilivu jamani manake shetani anaweza kupita mpake kwenye barua ya ajira usiielewe
Ww kiazi kweli hujui hata kampuni inajihusisha na nini unaongea ushuzi mtupu......kama sio stori za Boda boda basi Uyu kama ni HR aliye andika hii email bas ni kiazi sio kila kitu unapima pima maisha gani ya kuviziana kwenye kona? Hovyo sana
Ooh ila siyo fair huo upimaji wa torelance ya mtu, wanatakiwa kuwa clear bana, mimi nikiona regret to naachana nayoPole sana kuna jamaa aliwahi andikiwa hivyo na kampuni flani hv mara baada ya kufanya interview........
Walianza na hayo maneno " We Regret to inform you that".......na bla bla kibao hapo kati.......
kumbe mwishoni mwa email walimpa kazi na tarehe ya kufika kazini......
Jamaa hakusoma mpaka mwisho kumbe walikuwa wanapima torelance yake kusoma between the lines
Siku wanakuja kumtumia email kwamba offer yake ime expire kwa kuwa hakufika kazini ndio akajua kwamba kumbe angesoma vizuri email alikuwa na kazi tayari
Mpaka leo jamaa analia kwa kupiga miluzi yani
Manake mshahara wake kianzio ulikuwa ni dola 3500 usd
Tuwe wavumilivu jamani manake shetani anaweza kupita mpake kwenye barua ya ajira usiielewe
Na ndo ilivyo sema kenge waviziaji hawakosekani uyo bwege mmoja ana watetea tu hao wamezinguaOoh ila siyo fair huo upimaji wa torelance ya mtu, wanatakiwa kuwa clear bana, mimi nikiona regret to naachana nayo
Pole. Take a heed. Safari ya ajira na maisha huwa ndefu sana, aijuaye destiny ni Jah. Jack Ma was rejected at Havard University, was rejected at Apple, and handfuls of employments.Sikufanikiwa mkuu, nilipata email tu kwamba they regret to inform me that i was not selected for the further processessizipendi Email za aina hii. Vipi wewe upo kazini sahivi?