Trojan Hors
Member
- Nov 13, 2023
- 24
- 3
Wakuu, habarini za muda huu na poleni kwa mihangaiko na shughuli mbalimbali. Nina maswali kadhaa kuhusu procedure za ajira NMB Bank upande wa Direct Sales Staff.
1. Maswali common yanayoulizwa kwenye aptitude test ni yapi?
2. Je ukifanikiwa kupita kwenye aptitude test inachukua muda gani kuitwa kwenye Oral Interview?
Naomba msaada wenu wakuu.
1. Maswali common yanayoulizwa kwenye aptitude test ni yapi?
2. Je ukifanikiwa kupita kwenye aptitude test inachukua muda gani kuitwa kwenye Oral Interview?
Naomba msaada wenu wakuu.