Hapana mkuu jobless ni wengi Sana aiisee kuliko unavyofikiliawanao fanya watu waonekane wengi ipo ivi
kuna watu wapo sehemu wanakazi zao ila waliomba na kuitwa ili kubadili kazi au maslai
so ingekuwa wanaenda craduate tu ingekuwa gud
mi nimewachia wadogo zangu ila zikitangazwa kubwa za serekali tutaelewana

