Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

wanao fanya watu waonekane wengi ipo ivi
kuna watu wapo sehemu wanakazi zao ila waliomba na kuitwa ili kubadili kazi au maslai
so ingekuwa wanaenda craduate tu ingekuwa gud

mi nimewachia wadogo zangu ila zikitangazwa kubwa za serekali tutaelewana
Hapana mkuu jobless ni wengi Sana aiisee kuliko unavyofikilia
 
assume wameitwa 800
walio enda 700
waliofeli kutokana na vyeti na vitu vingine 100
walio ogopa kuja kutokana na wingi wa watu 200
watakao feli 400
watakao ingia oral 200
nafasi zilixopo 58

jamani mliopo huko msiogope
your 100% responsible of your life
ukikata tama ni wewe not us
 
kazi ni nini
ni kitu chochote kinachompatia mtuu kipato halali
Hata kwa hii definition yako,Tafiti zinaonyesha tatizo la ajira kwa graduates ni kubwa sana.In another way round-Binafsi naamin majority waliopo kwenye hz interview ni wasio na ajira.
 
assume wameitwa 800
walio enda 700
waliofeli kutokana na vyeti na vitu vingine 100
walio ogopa kuja kutokana na wingi wa watu 200
watakao feli 400
watakao ingia oral 200
nafasi zilixopo 58

jamani mliopo huko msiogope
your 100% responsible of your life
ukikata tama ni wewe not us
Umejua kutia moyo
 
Sure watu hawakatishu tamaa but guys kuna nyomi hatari any way nikujiamini na kumtulza mungu
 
Duh ebana ni watu nyomi kinyama🙌🏿
Hii si kutiana pressure ni kweli
 
Duh ebana ni watu nyomi kinyama🙌🏿
Hii si kutiana pressure ni kweli
Kila mtu ana wakati wake na riziki yake all in all ni lazima hao 58 wapate kazi kwa kuwa zipo, unazipataje kwanza weka nia, weka maandalizi, omba Mungu wako mwisho zika kukata tamaa nenda ulingoni timiza 99% zako na hiyo 1% mwachie Mungu.
 
image-2021-03-09-15:10:34-536.jpg

 
Sio wengi wa kutisha saana. Ila ukizidisha kwa zile awamu watakuwa nyomi.
Huyo dada anaepiga maombi hapo mbele au ndio financial services .
Vip maswali yalikuwaje ndugu
Mkuu tulikua wengi mno afu kulikua na interview ya asubuhi ambao tumepishana nao wanatoka sisi tukaingia saa 5-6 tumemaliza wakawa wanaingia wengine saa 8-9 . Yes huyo hapo ni mimi😀😀 bado kesho pia 🙌
 
Back
Top Bottom