Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Haya mkuu nikipata muda nitakutafutia why environmental factors matters Ila for now huo mtandao uliotoa hauna credibility saaana as una opinions instead of facts ...ingia Psych info , second km umeisoma yote inakubali environmental factors zinachangia as ukiwaweka watoto intelligent kwenye stimulated convo ndivyo unavyokuza uwezo wao sasa huonii umuhimu wa mazingira mpaka sasa?
una opiniona zaidi kwa jinsi walivyokuwa pia wanadadavua na sijatoa kuwa naungana nao kwa 100% ,but hizo ni trial study walitaka kuzifanya pia...

study nyingi zinaangukia kwa 50 % kila mmoja ila neural scientists nao wanabase na 60 by 40 % sasa hapa sijui tuwakubalie watu gani...

🙂 🙂
 
una opiniona zaidi kwa jinsi walivyokuwa pia wanadadavua na sijatoa kuwa naungana nao kwa 100% ,but hizo ni trial study walitaka kuzifanya pia...

study nyingi zinaangukia kwa 50 % kila mmoja ila neural scientists nao wanabase na 60 by 40 % sasa hapa sijui tuwakubalie watu gani...

🙂🙂

Ndio mana post yangu ya kwanza kwenye hii topic nilisema hii debate imekuwepo na itakuwepo...

Most wanasimamia interaction between the two... mimi nasimamia mazingira lol

Wazazi wengi huwaamisha watoto wao wakiona wanafeli na kuwapeleka shule ‘nzuri ‘ na watoto wanascore vizuri kwenye mitihani ya taifa baada ya kupelekwa shule ‘’ nzuri ‘’ sijui utaexplain vipi hio besti ?
 
Haya mkuu nikipata muda nitakutafutia why environmental factors matters Ila for now huo mtandao uliotoa hauna credibility saaana as una opinions instead of facts ...ingia Psych info , second km umeisoma yote inakubali environmental factors zinachangia as ukiwaweka watoto intelligent kwenye stimulated convo ndivyo unavyokuza uwezo wao sasa huonii umuhimu wa mazingira mpaka sasa?
sasa mkuu kwa mfano watoto wanaoscore high wakiwa mazingira magumu na watoto wanaoscore high wakiwa mazingira mazuri unawazungumziaje..??

yani mtoto ambaye kasoma Shule ya kata lakini kascore high tunasema ana Intelligence kubwa na mwingine kascore High ila kasoma Royola ila Itelligence yake ni ndogo huoni kuwa Genetically wapo tofauti hao...??

Tatizo watu wanachanganya kati ya Intelligence na knowledge ..narudia tena kusema kuwa Intelligence ni inborn ability to solve the underlying circumstances ila knowledge ni ability that is acquired externally na mara nyingi hii huwa ni short lasting na ndo mana unapopima IQ content ya mtu hatuhusishi mitihani kama watu wanavyofikilia..ukihusisha masomo ya darasani tayari unapima knowledge ya mtu na sio Intelligence content ya huyo mtu.

Sijui kama unatofautisha hilo..kwa hiyo mtoto aliyesoma Feza akiscore 80% marks ya mathematics tayari utasema kuwa mazingira yamemfavour kupata intelligence au utasema yamemfavour kuwa na Knowledge...??

naomba ujue kutofautisha Intelligence inavyopimwa na Knowlege inavyopimwa..


Ndo mana intelligence tunapima kwa maswali mengine kabsaa na siyo mtihani...kama kuna mtu alipima Intelligence kwa mitihani naomba aje aeleze humu na aseme kwann walitumia mtihani...

Huwezi ukasema watoto wa shule za binafsi wana Intelligence kubwa kuliko Sait Kayumba...hapana ..tena big no...hapo unakuwa unatofautisha acquired ability ya mtu na sio intelligence na ndo mana watoto ambao despite wametika mazingira magumu kwa kukosa elimu nzuri kwenye IQ spectrum wako juu sana na wanascore vizuri...

Ukijua kutofautisha kati ya score hizo ndo utajua kuwa intelligence inarithishwa zaidi ..
 
Ndio mana post yangu ya kwanza kwenye hii topic nilisema hii debate imekuwepo na itakuwepo...

Most wanasimamia interaction between the two... mimi nasimamia mazingira lol

Wazazi wengi huwaamisha watoto wao wakiona wanafeli na kuwapeleka shule ‘nzuri ‘ na watoto wanascore vizuri kwenye mitihani ya taifa baada ya kupelekwa shule ‘’ nzuri ‘’ sijui utaexplain vipi hio besti ?
nimeiexplain zaid kwenye jibu la juu hapo...kuwa tunapima Intelligence kwa kiwango au vigezo vingine zaidi na sio score ya darasani ..naomba nieleweke pliz...

kama kuna mtu yupo humu na alipima IQ ya mtu kwa kutumia score ya darasani aje atoe ushahidi huo hapa...

Ndo manaa taasisi kama Havard wanapima IQ ya mtoto kwa social life questionare na sio kumpa mtihani wa darasani...

ingekuwa kama ni mitihani ya darasaba kwani IQ ya Newton ilipatikana kwa kumpa Mtihani kama Yeye ndo mwanzilishi wa Calculas.?? kwa hiyo walimpa maswali gani hayo ya darsani...?? ni kigezo gani kinatumika kupima IQ ya mtu ?? je ni uwezo wa kuscore darasani au kusolve matatizo ya kimazingira..??

Wanakuliza jinsi unavyoweza kutumia ubongo wako kusolve parables za kwenye jamii ..

kwani wangapi wana vyeti vyenye wastani wa A lakini ukija kwenye general practical wanascore poor..?

Ni sawa sawa na kusema kuwa wanafunzi wanaosomea Harvard udaktari ni wazuri wa theory( knowlege acquired) lakini wako poor kwenye skills za kuzalisha labour ward ,lakini wanafunzi wa udaktari Tanzania wapo vizuri kwenye skills ua kuzalishwa lakini hawana theory ( shule nzima ) ya namna ya kuzalisha labour...

kwa lugha laini tunasema wanafunzi wa Havard wana more knowledge ya labour ila hawana skills lakini wanafunzi wa Tanzania wana uzoefu mkubwa wa kuzalisha ila knowledge ya shule nzima hawana...

sasa kutokana an utofauti huo hatuwezi tukasema mwanafunzi wa Havard ana high IQ kuzidi wa Tanzania wakati uzoefu hawana...
Hatupima IQ ya mtu kwa utofauti wa score za darasani but ability to solve circumstances underlying...
 
sasa mkuu kwa mfano watoto wanaoscore high wakiwa mazingira magumu na watoto wanaoscore high wakiwa mazingira mazuri unawazungumziaje..??

yani mtoto ambaye kasoma Shule ya kata lakini kascore high na Na intelligence kubwa na mwingine kascore High ila kasoma Royola ila ana Intelligence ndogo huoni kuwa Genetically wapo tofauti hao...??

Tatizo watu wanachanganya kati ya Intelligence na knowlege ..narudia tena kusema kuwa Intelligence ni inborn ability to solve the underlying circumstances ila knowledge ni ability that is acquired externally na mara nyingi hii huwa ni short lasting na ndo mana unapopima IQ content ya mtu hatuhusishi mitahani kama watu wanavyofikilia..ukihusisha masomo ya darani tayari unapima knowlege ya mtu...

Sijui kama unatofautisha hilo..kwa hiyo mtoto aliyesoma Feza akiscore 80 ya mathematics tayari mazingira yamemfavour kupata intelligence au yamemfavour kuwa na Knowlege...??

naomba ujue kutofautisha Intelligence inavyopimwa na Knowlege inavyopimwa..


Ndo mana intelligence tunapima kwa maswali mengine kabsaa na siyo mtihani...kama kuna mtu alipima Intelligence kwa mitihani naomba aje aeleze humu na aseme kwann walitumia mtihani...

Huwezi ukasema watoto wa shule za binafsi wana Intelligence kubwa kuliko sait kayumba...hapana ..tena big no...hapo unakuwa unatofautisha acquired ability ya mtu na sio intelligence na ndo mana watoto ambao despite wametika mazingira magumu despite ya kukosa elimu nzuri kwenye IQ spectrum wako juu sana na wanascore vizuri...

Ukijua kutofautisha katima score hizo ndo utajua kuwa intelligence inarithishwa zaidi ..


Mmnhhhh mkuu nimekuvulia kofia lol intelligence inakuwa modified through instructions! That is to say through environment!,....website uliyoitoa pale juu imezungumzia Kuwa the more stimulating the environment the more unawajenga intelligent children....Huko shule za Kata kufaulu ni mmoja mmoja ukifuatilia sana ni juhudi binafsi za mtoto mwenyewe na sio Shule!...km unaona ni uongo chukua watoto 50 wa Feza waende kufanya standard test za shule za kata,halafu uchukue tena watoto 50 wa shule za kata upeleke wakafanye tena standard tests za shule ya Feza..halafu ufanye performance comparison between these two cohorts......

Lastly ingawa hakuna knowledge test but I believe IQ na knowledge vinaenda pamoja... huwezi kuwa na Akili Kama huna ability to acquire knowledge...that sounds strange to me lol
 
Mmnhhhh mkuu nimekuvulia kofia lol intelligence inakuwa modified through instructions! That is to say through environment!,....website uliyoitoa pale juu imezungumzia Kuwa the more stimulating the environment the more unawajenga intelligent children....Huko shule za Kata kufaulu ni mmoja mmoja ukifuatilia sana ni juhudi binafsi za mtoto mwenyewe na sio Shule!...km unaona ni uongo chukua watoto 50 wa Feza waende kufanya standard test za shule za kata,halafu uchukue tena watoto 50 wa shule za kata upeleke wakafanye tena standard tests za shule ya Feza..halafu ufanye performance comparison between these two cohorts......

Lastly ingawa hakuna knowledge test but I believe IQ na knowledge vinaenda pamoja... huwezi kuwa na Akili Kama huna ability to acquire knowledge...that sounds strange to me lol
madamu acha basi ...unataka kusema kuwa Intelligence na knowledge ni the same...??

mmmh...ha ha mmmh...aise basi kama huwezi kutofautisha kati ya hizo term mbili basi hatutaelewa na mjadala hatafika mwisho...

Intelligence inasimama na part yake na haiwezi kuwa knowlege hata siku moja...
Screenshot_20181109-220824~2.jpg
 
madamu acha basi ...unataka kusema kuwa Intelligence na knowledge ni the same...??

mmmh...ha ha mmmh...aise basi kama huwezi kutofautisha kati ya hizo term mbili basi hatutaelewa na mjadala hatafika mwisho...

Intelligence inasimama na part yake na haiwezi kuwa knowlege hata siku moja...
View attachment 928021

Isn’t the same but goes hand in hand,umeelewa post yote?? Umepick hapo tu .why??? Inability to acquire knowledge might predicts less intelligence...my opinion!
 
Mmnhhhh mkuu nimekuvulia kofia lol intelligence inakuwa modified through instructions! That is to say through environment!,....website uliyoitoa pale juu imezungumzia Kuwa the more stimulating the environment the more unawajenga intelligent children....Huko shule za Kata kufaulu ni mmoja mmoja ukifuatilia sana ni juhudi binafsi za mtoto mwenyewe na sio Shule!...km unaona ni uongo chukua watoto 50 wa Feza waende kufanya standard test za shule za kata,halafu uchukue tena watoto 50 wa shule za kata upeleke wakafanye tena standard tests za shule ya Feza..halafu ufanye performance comparison between these two cohorts......

Lastly ingawa hakuna knowledge test but I believe IQ na knowledge vinaenda pamoja... huwezi kuwa na Akili Kama huna ability to acquire knowledge...that sounds strange to me lol
nimekuliza swali moja tu...nani alikuambia tunapima Intelligence kwa standard perfomance ya darasani...?? tatizo nimgundua kitu hujaelewa thr difference between the two..

Utofauti kati ya watoto wa shule nzuiri ni watoto wa shule za kawaida ni knowlege to aquire the addition ...

ukitaka twende sawa kubali kuwa intelligence na knowlege kuwa ni vitu viwili ambayo ni tofauti kabsaa..na kimoja hapo ndo kinapima kingine hapo ..

ukiulizwa leo kuwa IQ za kina Isaac Newton na kina Tesla sijui kina Da vinci zilipatikanaje utasema zilipatikana kwa kuchukua standard score za darasani....?? utachekwa sana na wataaalamu wa IQ standard test na hakuna kitu kama hicho duniani..narudia tena binafsi sijawahi kuona mfumo huo..

usichanganye tafadhari,ukiukizwa kuwa mageniuz wa dunia waliopita walipimwaje darasani halafu uje useme kuwa walipimwa kwa kiwango cha ufaulu darasani?? wakati tunaona kuna kina Michael Faraday walikomea njiani kabisa lakini IQ zao zinatajwa kuwa juu sana ,utasemaje kuhusu hilo pia..??

hapa ni lazima ujue kuwa Score ya darasani sio kipimo cha IQ test..
 
Ndio mana post yangu ya kwanza kwenye hii topic nilisema hii debate imekuwepo na itakuwepo...

Most wanasimamia interaction between the two... mimi nasimamia mazingira lol

Wazazi wengi huwaamisha watoto wao wakiona wanafeli na kuwapeleka shule ‘nzuri ‘ na watoto wanascore vizuri kwenye mitihani ya taifa baada ya kupelekwa shule ‘’ nzuri ‘’ sijui utaexplain vipi hio besti ?
Uko vizuri nimekuelewa mkuu,big five
 
Isn’t the same but goes hand in hand,umeelewa post yote?? Umepick hapo tu .why??? Inability to acquire knowledge might predicts less intelligence...my opinion!
naomba unaambie kigezo cha kupima IQ ya mtu au nipe sample za questionare tuone kama Standard score ya marks za darasani zimetajwa ....

Je unahis score za darasani zinatumiwa kuscore IQ ya mtu...??
 
Isn’t the same but goes hand in hand,umeelewa post yote?? Umepick hapo tu .why??? Inability to acquire knowledge might predicts less intelligence...my opinion!
the key factor hapa ni kujua kati ya genetics na enveronment ni kipi kina mchango mkubwa...! genetic inabaki ina nafasi yake katika kushape intelligence ya mtu kuliko mazingira na Knoweledge inakuwa shaped zaidi na mazingira kuliko genetically ..hapo ndo tunaweza tukaona mchango wa vitu hivyo viwili kuwa pamoja...
 
madamu acha basi ...unataka kusema kuwa Intelligence na knowledge ni the same...??

mmmh...ha ha mmmh...aise basi kama huwezi kutofautisha kati ya hizo term mbili basi hatutaelewa na mjadala hatafika mwisho...

Intelligence inasimama na part yake na haiwezi kuwa knowlege hata siku moja.


Ndo mana hapo chini ukisoma anakwambia Intelligence borders go beyond with technology ..manake hata kama kutakuwa na elimu ya kumfundisha mtu mazingira yajoje kwa kutumia njia mbadala bado intelligence yake itabaki kuwa na nafasi kubwa sana kiutendaji wa mambo...

Knowledge comes and go but intelligence remains kama sehemu ya kumtofautisha kati yake na mazingira aliyoyakuta japo ukaichilia mchango wa mazingira kwake ambayo ni mdogo na unabeba sehemu ndogo sana ku alter Intelligensia yake..
 
sasa mkuu kwa mfano watoto wanaoscore high wakiwa mazingira magumu na watoto wanaoscore high wakiwa mazingira mazuri unawazungumziaje..??

yani mtoto ambaye kasoma Shule ya kata lakini kascore high na Na intelligence kubwa na mwingine kascore High ila kasoma Royola ila ana Intelligence ndogo huoni kuwa Genetically wapo tofauti hao...??

Tatizo watu wanachanganya kati ya Intelligence na knowlege ..narudia tena kusema kuwa Intelligence ni inborn ability to solve the underlying circumstances ila knowledge ni ability that is acquired externally na mara nyingi hii huwa ni short lasting na ndo mana unapopima IQ content ya mtu hatuhusishi mitahani kama watu wanavyofikilia..ukihusisha masomo ya darani tayari unapima knowlege ya mtu...

Sijui kama unatofautisha hilo..kwa hiyo mtoto aliyesoma Feza akiscore 80 ya mathematics tayari mazingira yamemfavour kupata intelligence au yamemfavour kuwa na Knowlege...??

naomba ujue kutofautisha Intelligence inavyopimwa na Knowlege inavyopimwa..


Ndo mana intelligence tunapima kwa maswali mengine kabsaa na siyo mtihani...kama kuna mtu alipima Intelligence kwa mitihani naomba aje aeleze humu na aseme kwann walitumia mtihani...

Huwezi ukasema watoto wa shule za binafsi wana Intelligence kubwa kuliko sait kayumba...hapana ..tena big no...hapo unakuwa unatofautisha acquired ability ya mtu na sio intelligence na ndo mana watoto ambao despite wametika mazingira magumu despite ya kukosa elimu nzuri kwenye IQ spectrum wako juu sana na wanascore vizuri...

Ukijua kutofautisha katima score hizo ndo utajua kuwa intelligence inarithishwa zaidi ..
Hapa Nmekuelewa sana mkuu ..... You are certified great thinker
 
sawa...usiku mwema pia..
Watakuelewa tu usijali mkuu..

Hawajui kuwa utaalamu maana yake ni kuona vitu katika mvunjovunjo/vipande vipande

Wanashindwa kuelewa kuna tofauti gani kati ya jagi na kikombe wakati vyote ni vyombo vya kuwekea maji kwa matumizi ya haraka

Hakuna chemistry wala biology wala physics wala mathematics yote ni somo moja linapohusu viumbe_Ila kuvunjavunja kitaalamu ndio kumezua yote hayo

Vilevile inapohusu akili there is the knowledge and intelligence hivi vitu ni kweli tofauti kabisa japo vinalandana nami nakubali hilo

Msimamo wako wala hauna shaka_ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom