Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

tukiachana na huo mfano. narudia tena nmesema hizo 7bu 3 zinategemeana katika mazingira.
tuseme ndo mtoto karithi kwa babu akili alafu mama na baba ni zero brain, (waswahili wanasemaga samaki mkunje angali mbichi)
sasa baba na mama wangali zero halafu wamezaa mtoto ana akili za kurithi wanapoanza kumkunja uyo samaki/kumlea inamaana akili ndogo inalea akili kubwa ,huyo mtoto atakosa sababu no2 na namba 3 ni either aipate katikakutafuta maisha au aikose kabisa.
kwahiyo huwezi kufananisha akili kubwa iliyozaliwa na kulelewa na akili kubwa afananae na akili kubwa aliezaliwa na akili ndogo akalelewa na akili ndogo.
mmmh
 
tukiachana na huo mfano. narudia tena nmesema hizo 7bu 3 zinategemeana katika mazingira.
tuseme ndo mtoto karithi kwa babu akili alafu mama na baba ni zero brain, (waswahili wanasemaga samaki mkunje angali mbichi)
sasa baba na mama wangali zero halafu wamezaa mtoto ana akili za kurithi wanapoanza kumkunja uyo samaki/kumlea inamaana akili ndogo inalea akili kubwa ,huyo mtoto atakosa sababu no2 na namba 3 ni either aipate katikakutafuta maisha au aikose kabisa.
kwahiyo huwezi kufananisha akili kubwa iliyozaliwa na kulelewa na akili kubwa afananae na akili kubwa aliezaliwa na akili ndogo akalelewa na akili ndogo.
duuuh....aise hii mada inakuwa ngumu kueleweka kwa baadhi ya watu kwa sababu ya kukosa key words za kuweka ili kila mtu ambae hajajua how Intelligence geneology inavyorithishwa...

Labda nikueleze tu kwa ufupi kwamba kila kitu unachokiona mwilini mwako kipo under gene( Jeni) controlled..

Hakuna process yoyote mwilini inajiongoza pasipo kuwa na gene kama controlling factor( Command)

The enveronment and all surroundings have nothing to do with your body only genes, though the surroundings hutengeneza mazingira ili gene zako ziwe active..gene zikifell tayari you are no longer having a chance to survive..

Tangu cell zako zinapotengenezwa tayari inatengenezwa DNA strand ambayo ipo complete na hata kama cell mpya zitaendelea kutengenezwa na lazima mother strand ya DNA copy iwepo na ndo itakayosimamia cell zingine kutengenezwa..

Kila kitu kinarithishwa kupitia data base ya gene zako kwenye DNA..

Genes zinazohifadhi Intelligence huwa zimebeba Ujumbe husika ila huwa zinasubiri muda wa kuwa activated ili kuruhusu flow of information kwenda kwenye cognition centre ya brain ...

kila gene imebeba kitu maalumu ambacho muda ukifika kuna gene kuu ndani ya mwili ambayo kazi yake kubwa ni kuziamsha gene zingine zitoe information kwenye cognition centre ya ubongo kumruhusu mhusika aoneshe kile kilichofichwa katika physical form .

Kila tabia ya mama au baba au bibi au shangazi imebebwa na specific gene kwenye DNA arrangement ...mtoto akifika umri wa kuongea tayari gene iliyobeba formation au mpangilio wa sauti inayofanana na mzazi wake inakuwa activated na mtoto anakuwa na sauti kama ya baba yake au mama yake.

kama baba alianza kuwa mwizi wa vitu kwenye jamii alipokuwa na miaka 20 basi tabia hiyo itatengenezewa gene ya kuhifadhi na itapita mpaka kwa mtoto na mtoto akifikia umri ule ule wa miaka 20 tayari gene iliyokuwa imebebwa kwa ajili ya kumpa hamasa ya wizi inabe activated na mtoto anaanza kuonesha tabia zile zile..

Same applies kwa Gene zinazobeba au kuhifadhi Intelligence ya vizazi vya familia yao..kuna muda ukifika tayari genes specific wa kutoa information kwenye recognition centre ya mtu huyo inafunguka na mtoto anakuwa aware na chochote ..

Unaambiwa hivi,we posses each and everything kwenye DNA yetu ila muds ukifika vinakuwa activated ubongo wako unaohusika na utambuzi unaanza kutambua but we have the Blueprint kwenye mwili wetu...

Nothing new ww learn ,the enveronment provides a way for your cognition centre kuruhusu utambuzi wa kusoma tabia za ndani..

Ndo mana tunasema kuwa kadri umrinunavyodhidi kwenda tabia zote za mtoto kutoka kwa wazazi wake au ancestors wa nyuma zinafunguka kwa uwazi mkubwa..ni muda mwafaka kufika ili part ya ubongo kuanza kusoma codes zilizobeba ujumbe kwenye genes hizo..

Ndo mama kama unataka kuamini hilo angalia mtoto mdogo anapozaliwa ,yani anaweza asifanane na mtu yeyote kwenye familia lakini kadri anavyokuwa tayari sura harisi ya wazazi wake inaanza kuonekana na mwisho wa siku anajulikana kabisa ..Genes never lie for sure ,we poses the blueprint inside our DNA ..

Kama Haitoshi,naomba uchunguze kwa makini hata watoto wanapozaliwq na wazazi wao kisha kuchukuliwa na kwenda kuelelewa mazingira mengine ila wakirudi sura zao huwa hazibadiliki lazima atafanana na baba yao au mama yake hata kama ataishi ulaya miaka 30 ila siku akirudi copy right ni wa kwao..

Kama mazingira yangekuwa yanachange hali halisi kwanini sura hazibadiliki..??

kwa hiyo hata kwenyr Intelligence ninhivo hivo,kama geneology trend ya ancestors ilikuwa na IQ ndogo basi ukoo mzima utakuwa zero ..kama ukitaka kuamini chungukia hata ukoo wenu kama kuna nature ya Akili ipo tu na haitabadilika lazima kutakuwa na element za akili despite watu wanakukia mazingira tofauti na kinachowatofautisha ni mazingira wanapokulia na kuwafanya ku acquire different knowledge ila ukipima IQ ya ukoo mzima lazima utapata Range ya pamoja despite wwpo waliosoma au hawakusoma kwa sababu IQ hatuipati kwa Kuangalia elimu zao ,elimu ni Acquired ability na sio Inborn..

ndo mana moto wa shule au vyuo huwezi ukakuta wanaweka " EDUCATION FOR BETTER INTELLIGENCE ila watakuandikia EDUCATION FOR BETTER KNOWLEGE,means it is acquired one,the total blueprint you have inside you and not otherwise..

Sasa labda nifungue akili za wengi mchango wa Diet( Lishe bora ) kwenye Intelligence..

Ili gene iliyobeba ujumbe au tabia flani kwa mtoto au mtu iweze kufunguka vizuri inahitaji mazingira mnayoyasema..

kww mfano kuna specific amino acid ambazo kazi yake ni kuruhusu transduction au utafsiri au activation ya haraka ya genes zilizobeba specific character( Traits)..haimanishi kuwa mtoto akikosa lishe bora Intelligence yake itapotea,hapana hapana ila mufa wa gene kuwa activated utachelewa ila muda ukifika naturally ile main gene inayocontrol natural activation ya gene zingine inaamuru activation na Intelligence flow information inakuwepo..

Kama mtoto utaanza kumpa lishe bora mapema ,manake uwezo wa blueprint kuruhusu activation ya gene zilizobeba ujumbe kufunguka kwa haraka na kupeleka utambuzi usomwe kwenye recognition centre kwa haraka zaidi ,manake mtoto au mhusika atakuwa na uwezo wa kuinteprete ujumbe wa haraka zaidi...

Ndo mana kama mzazi wako au ancestor wako alipata cancer ya matiti ,tayari cell zote mwilini mwake zinabeba sifa ya cancer na kuitunza na kuruhusu ibebwe na gene husika na mtoto ambaye atakuwa na ile gene muds ukifika wa kuwa activated tayari inaanza kuruhusu cance kuanza kukua na ndo mana tunasema kila kitu kinarithishwa ,sasa inakuwaje leo hii useme mazingira yana nafasi kubwa ya kuruhusu mabadiliko ya mwili wako..?? Damn

Mazingira yana nafasi ya kuactivate gene zako ili informations zisomwe haraka au kuchelewa kwenye cognition centre ya ubongo wako tu na sio vinginevyo...

So genetic influence inaplay part kubwa sana kuinhence Intelligence flow ya mtu kwa muda sahihi unapofika...kama mtu kabeba Gene za Uelewa mkubwa muda ukifika gene hiyo itakuwa activated na kuruhusu information zake kuwa interpreted kwa haraka zaidi eneo husika( Cognition center within the brain)..
 
mkuu life coded I nakukubali sana vipi we ni mtaalamu wa genetics ama ?? Ni umepata utaalamu kupitia kusoma vitabu vingi embu kuwa open , natamani nijaze ubongo wangu kwa mambo ya msingi kama hayo
ni kuwa busy tu mkuu kuendana na yaliyo nyuma ya pazia kila kitu utakielewa na hakuna jipya litakalofichwa kwako...

Understand your blueprint kila kitu utakielewa...
 
duuuh....aise hii mada inakuwa ngumu kueleweka kwa baadhi ya watu kwa sababu ya kukosa key words za kuweka ili kila mtu ambae hajajua how Intelligence geneology inavyorithishwa...

Labda nikueleze tu kwa ufupi kwamba kila kitu unachokiona mwilini mwako kipo under gene( Jeni) controlled..

Hakuna process yoyote mwilini inajiongoza pasipo kuwa na gene kama controlling factor( Command)

The enveronment and all surroundings have nothing to do with your body only genes, though the surroundings hutengeneza mazingira ili gene zako ziwe active..gene zikifell tayari you are no longer having a chance to survive..

Tangu cell zako zinapotengenezwa tayari inatengenezwa DNA strand ambayo ipo complete na hata kama cell mpya zitaendelea kutengenezwa na lazima mother strand ya DNA copy iwepo na ndo itakayosimamia cell zingine kutengenezwa..

Kila kitu kinarithishwa kupitia data base ya gene zako kwenye DNA..

Genes zinazohifadhi Intelligence huwa zimebeba Ujumbe husika ila huwa zinasubiri muda wa kuwa activated ili kuruhusu flow of information kwenda kwenye cognition centre ya brain ...

kila gene imebeba kitu maalumu ambacho muda ukifika kuna gene kuu ndani ya mwili ambayo kazi yake kubwa ni kuziamsha gene zingine zitoe information kwenye cognition centre ya ubongo kumruhusu mhusika aoneshe kile kilichofichwa katika physical form .

Kila tabia ya mama au baba au bibi au shangazi imebebwa na specific gene kwenye DNA arrangement ...mtoto akifika umri wa kuongea tayari gene iliyobeba formation au mpangilio wa sauti inayofanana na mzazi wake inakuwa activated na mtoto anakuwa na sauti kama ya baba yake au mama yake.

kama baba alianza kuwa mwizi wa vitu kwenye jamii alipokuwa na miaka 20 basi tabia hiyo itatengenezewa gene ya kuhifadhi na itapita mpaka kwa mtoto na mtoto akifikia umri ule ule wa miaka 20 tayari gene iliyokuwa imebebwa kwa ajili ya kumpa hamasa ya wizi inabe activated na mtoto anaanza kuonesha tabia zile zile..

Same applies kwa Gene zinazobeba au kuhifadhi Intelligence ya vizazi vya familia yao..kuna muda ukifika tayari genes specific wa kutoa information kwenye recognition centre ya mtu huyo inafunguka na mtoto anakuwa aware na chochote ..

Unaambiwa hivi,we posses each and everything kwenye DNA yetu ila muds ukifika vinakuwa activated ubongo wako unaohusika na utambuzi unaanza kutambua but we have the Blueprint kwenye mwili wetu...

Nothing new ww learn ,the enveronment provides a way for your cognition centre kuruhusu utambuzi wa kusoma tabia za ndani..

Ndo mana tunasema kuwa kadri umrinunavyodhidi kwenda tabia zote za mtoto kutoka kwa wazazi wake au ancestors wa nyuma zinafunguka kwa uwazi mkubwa..ni muda mwafaka kufika ili part ya ubongo kuanza kusoma codes zilizobeba ujumbe kwenye genes hizo..

Ndo mama kama unataka kuamini hilo angalia mtoto mdogo anapozaliwa ,yani anaweza asifanane na mtu yeyote kwenye familia lakini kadri anavyokuwa tayari sura harisi ya wazazi wake inaanza kuonekana na mwisho wa siku anajulikana kabisa ..Genes never lie for sure ,we poses the blueprint inside our DNA ..

Kama Haitoshi,naomba uchunguze kwa makini hata watoto wanapozaliwq na wazazi wao kisha kuchukuliwa na kwenda kuelelewa mazingira mengine ila wakirudi sura zao huwa hazibadiliki lazima atafanana na baba yao au mama yake hata kama ataishi ulaya miaka 30 ila siku akirudi copy right ni wa kwao..

Kama mazingira yangekuwa yanachange hali halisi kwanini sura hazibadiliki..??

kwa hiyo hata kwenyr Intelligence ninhivo hivo,kama geneology trend ya ancestors ilikuwa na IQ ndogo basi ukoo mzima utakuwa zero ..kama ukitaka kuamini chungukia hata ukoo wenu kama kuna nature ya Akili ipo tu na haitabadilika lazima kutakuwa na element za akili despite watu wanakukia mazingira tofauti na kinachowatofautisha ni mazingira wanapokulia na kuwafanya ku acquire different knowledge ila ukipima IQ ya ukoo mzima lazima utapata Range ya pamoja despite wwpo waliosoma au hawakusoma kwa sababu IQ hatuipati kwa Kuangalia elimu zao ,elimu ni Acquired ability na sio Inborn..

ndo mana moto wa shule au vyuo huwezi ukakuta wanaweka " EDUCATION FOR BETTER INTELLIGENCE ila watakuandikia EDUCATION FOR BETTER KNOWLEGE,means it is acquired one,the total blueprint you have inside you and not otherwise..

Sasa labda nifungue akili za wengi mchango wa Diet( Lishe bora ) kwenye Intelligence..

Ili gene iliyobeba ujumbe au tabia flani kwa mtoto au mtu iweze kufunguka vizuri inahitaji mazingira mnayoyasema..

kww mfano kuna specific amino acid ambazo kazi yake ni kuruhusu transduction au utafsiri au activation ya haraka ya genes zilizobeba specific character( Traits)..haimanishi kuwa mtoto akikosa lishe bora Intelligence yake itapotea,hapana hapana ila mufa wa gene kuwa activated utachelewa ila muda ukifika naturally ile main gene inayocontrol natural activation ya gene zingine inaamuru activation na Intelligence flow information inakuwepo..

Kama mtoto utaanza kumpa lishe bora mapema ,manake uwezo wa blueprint kuruhusu activation ya gene zilizobeba ujumbe kufunguka kwa haraka na kupeleka utambuzi usomwe kwenye recognition centre kwa haraka zaidi ,manake mtoto au mhusika atakuwa na uwezo wa kuinteprete ujumbe wa haraka zaidi...

Ndo mana kama mzazi wako au ancestor wako alipata cancer ya matiti ,tayari cell zote mwilini mwake zinabeba sifa ya cancer na kuitunza na kuruhusu ibebwe na gene husika na mtoto ambaye atakuwa na ile gene muds ukifika wa kuwa activated tayari inaanza kuruhusu cance kuanza kukua na ndo mana tunasema kila kitu kinarithishwa ,sasa inakuwaje leo hii useme mazingira yana nafasi kubwa ya kuruhusu mabadiliko ya mwili wako..?? Damn

Mazingira yana nafasi ya kuactivate gene zako ili informations zisomwe haraka au kuchelewa kwenye cognition centre ya ubongo wako tu na sio vinginevyo...

So genetic influence inaplay part kubwa sana kuinhence Intelligence flow ya mtu kwa muda sahihi unapofika...kama mtu kabeba Gene za Uelewa mkubwa muda ukifika gene hiyo itakuwa activated na kuruhusu information zake kuwa interpreted kwa haraka zaidi eneo husika( Cognition center within the brain)..
mkuu fupisha hii reply kwa maneno40 tu yanayobeba maana nzima. Mm mvivu kusoma hoja ndefu.
Halafu mkuu hio science umeifanyia majaribio? au umesoma tu shuleni?
 
duuuh....aise hii mada inakuwa ngumu kueleweka kwa baadhi ya watu kwa sababu ya kukosa key words za kuweka ili kila mtu ambae hajajua how Intelligence geneology inavyorithishwa...

Labda nikueleze tu kwa ufupi kwamba kila kitu unachokiona mwilini mwako kipo under gene( Jeni) controlled..

Hakuna process yoyote mwilini inajiongoza pasipo kuwa na gene kama controlling factor( Command)

The enveronment and all surroundings have nothing to do with your body only genes, though the surroundings hutengeneza mazingira ili gene zako ziwe active..gene zikifell tayari you are no longer having a chance to survive..

Tangu cell zako zinapotengenezwa tayari inatengenezwa DNA strand ambayo ipo complete na hata kama cell mpya zitaendelea kutengenezwa na lazima mother strand ya DNA copy iwepo na ndo itakayosimamia cell zingine kutengenezwa..

Kila kitu kinarithishwa kupitia data base ya gene zako kwenye DNA..

Genes zinazohifadhi Intelligence huwa zimebeba Ujumbe husika ila huwa zinasubiri muda wa kuwa activated ili kuruhusu flow of information kwenda kwenye cognition centre ya brain ...

kila gene imebeba kitu maalumu ambacho muda ukifika kuna gene kuu ndani ya mwili ambayo kazi yake kubwa ni kuziamsha gene zingine zitoe information kwenye cognition centre ya ubongo kumruhusu mhusika aoneshe kile kilichofichwa katika physical form .

Kila tabia ya mama au baba au bibi au shangazi imebebwa na specific gene kwenye DNA arrangement ...mtoto akifika umri wa kuongea tayari gene iliyobeba formation au mpangilio wa sauti inayofanana na mzazi wake inakuwa activated na mtoto anakuwa na sauti kama ya baba yake au mama yake.

kama baba alianza kuwa mwizi wa vitu kwenye jamii alipokuwa na miaka 20 basi tabia hiyo itatengenezewa gene ya kuhifadhi na itapita mpaka kwa mtoto na mtoto akifikia umri ule ule wa miaka 20 tayari gene iliyokuwa imebebwa kwa ajili ya kumpa hamasa ya wizi inabe activated na mtoto anaanza kuonesha tabia zile zile..

Same applies kwa Gene zinazobeba au kuhifadhi Intelligence ya vizazi vya familia yao..kuna muda ukifika tayari genes specific wa kutoa information kwenye recognition centre ya mtu huyo inafunguka na mtoto anakuwa aware na chochote ..

Unaambiwa hivi,we posses each and everything kwenye DNA yetu ila muds ukifika vinakuwa activated ubongo wako unaohusika na utambuzi unaanza kutambua but we have the Blueprint kwenye mwili wetu...

Nothing new ww learn ,the enveronment provides a way for your cognition centre kuruhusu utambuzi wa kusoma tabia za ndani..

Ndo mana tunasema kuwa kadri umrinunavyodhidi kwenda tabia zote za mtoto kutoka kwa wazazi wake au ancestors wa nyuma zinafunguka kwa uwazi mkubwa..ni muda mwafaka kufika ili part ya ubongo kuanza kusoma codes zilizobeba ujumbe kwenye genes hizo..

Ndo mama kama unataka kuamini hilo angalia mtoto mdogo anapozaliwa ,yani anaweza asifanane na mtu yeyote kwenye familia lakini kadri anavyokuwa tayari sura harisi ya wazazi wake inaanza kuonekana na mwisho wa siku anajulikana kabisa ..Genes never lie for sure ,we poses the blueprint inside our DNA ..

Kama Haitoshi,naomba uchunguze kwa makini hata watoto wanapozaliwq na wazazi wao kisha kuchukuliwa na kwenda kuelelewa mazingira mengine ila wakirudi sura zao huwa hazibadiliki lazima atafanana na baba yao au mama yake hata kama ataishi ulaya miaka 30 ila siku akirudi copy right ni wa kwao..

Kama mazingira yangekuwa yanachange hali halisi kwanini sura hazibadiliki..??

kwa hiyo hata kwenyr Intelligence ninhivo hivo,kama geneology trend ya ancestors ilikuwa na IQ ndogo basi ukoo mzima utakuwa zero ..kama ukitaka kuamini chungukia hata ukoo wenu kama kuna nature ya Akili ipo tu na haitabadilika lazima kutakuwa na element za akili despite watu wanakukia mazingira tofauti na kinachowatofautisha ni mazingira wanapokulia na kuwafanya ku acquire different knowledge ila ukipima IQ ya ukoo mzima lazima utapata Range ya pamoja despite wwpo waliosoma au hawakusoma kwa sababu IQ hatuipati kwa Kuangalia elimu zao ,elimu ni Acquired ability na sio Inborn..

ndo mana moto wa shule au vyuo huwezi ukakuta wanaweka " EDUCATION FOR BETTER INTELLIGENCE ila watakuandikia EDUCATION FOR BETTER KNOWLEGE,means it is acquired one,the total blueprint you have inside you and not otherwise..

Sasa labda nifungue akili za wengi mchango wa Diet( Lishe bora ) kwenye Intelligence..

Ili gene iliyobeba ujumbe au tabia flani kwa mtoto au mtu iweze kufunguka vizuri inahitaji mazingira mnayoyasema..

kww mfano kuna specific amino acid ambazo kazi yake ni kuruhusu transduction au utafsiri au activation ya haraka ya genes zilizobeba specific character( Traits)..haimanishi kuwa mtoto akikosa lishe bora Intelligence yake itapotea,hapana hapana ila mufa wa gene kuwa activated utachelewa ila muda ukifika naturally ile main gene inayocontrol natural activation ya gene zingine inaamuru activation na Intelligence flow information inakuwepo..

Kama mtoto utaanza kumpa lishe bora mapema ,manake uwezo wa blueprint kuruhusu activation ya gene zilizobeba ujumbe kufunguka kwa haraka na kupeleka utambuzi usomwe kwenye recognition centre kwa haraka zaidi ,manake mtoto au mhusika atakuwa na uwezo wa kuinteprete ujumbe wa haraka zaidi...

Ndo mana kama mzazi wako au ancestor wako alipata cancer ya matiti ,tayari cell zote mwilini mwake zinabeba sifa ya cancer na kuitunza na kuruhusu ibebwe na gene husika na mtoto ambaye atakuwa na ile gene muds ukifika wa kuwa activated tayari inaanza kuruhusu cance kuanza kukua na ndo mana tunasema kila kitu kinarithishwa ,sasa inakuwaje leo hii useme mazingira yana nafasi kubwa ya kuruhusu mabadiliko ya mwili wako..?? Damn

Mazingira yana nafasi ya kuactivate gene zako ili informations zisomwe haraka au kuchelewa kwenye cognition centre ya ubongo wako tu na sio vinginevyo...

So genetic influence inaplay part kubwa sana kuinhence Intelligence flow ya mtu kwa muda sahihi unapofika...kama mtu kabeba Gene za Uelewa mkubwa muda ukifika gene hiyo itakuwa activated na kuruhusu information zake kuwa interpreted kwa haraka zaidi eneo husika( Cognition center within the brain)..
Wow! I love this. Hapa umekuwa wazi tena zaidi. Kulingana na maelezo yako haya, kumbe genetics tulizorith ndo kilakitu kuformulate itelligence ya mtu. Mazingira hayana mchango wowote ktk formation ya intelligence. Kazi ya mazingira ni kuexpose kile ambacho kipo kwenye store tayari...the same to diet.
Nimesoma thread yote hadi hapa mkuu...nimejifunza mengi ya ajabu(nashkuru wote waliochangia). Najikuta nikiwa na maswali meeengi, ila naomba nianzia hapa...kuna mahali nakumbuka ulisema kuna eneo....a phisical place....ukiwa hapo intelligence yako inaongezeka. Pliz, naomba ufafanue zaidi ilo jambo. Thanks!
 
Wow! I love this. Hapa umekuwa wazi tena zaidi. Kulingana na maelezo yako haya, kumbe genetics tulizorith ndo kilakitu kuformulate itelligence ya mtu. Mazingira hayana mchango wowote ktk formation ya intelligence. Kazi ya mazingira ni kuexpose kile ambacho kipo kwenye store tayari...the same to diet.
Nimesoma thread yote hadi hapa mkuu...nimejifunza mengi ya ajabu(nashkuru wote waliochangia). Najikuta nikiwa na maswali meeengi, ila naomba nianzia hapa...kuna mahali nakumbuka ulisema kuna eneo....a phisical place....ukiwa hapo intelligence yako inaongezeka. Pliz, naomba ufafanue zaidi ilo jambo. Thanks!

There is a core in this universe where we always obtain Knowledge ,Inspiration and power( Strength) ,I know it exists but I have not penetrated into it.
By Nikola Tesla...



Sijamanisha eneo kama physical place pengine sikutolea ufafanuzi vizuri...even Tesla himself did'nt mean Intelligence he meant we acquire knowledge from extra source..,but ukimsikiliza Tesla anakwambia maneno hapo juu yenye maana hiyo ...

The only remained paradoxy katika kusolve hii mishe ni kugundua kitu ambacho kinagive multiple enumalation ya DNA codes kiasi kwamba zisifanane (DNA code arrangement zako hazifanani na mtu yoyote ulimwenguni...?

If we discover the programme behind inayoencode non matching bases za DNA, basi tutajua how to configure the Intelligence genes ..

Most probably tutajua the fate of surviving in this universe,but hopefully the secret of dark energy ndo itasolve mambo yote..
 

Attachments

  • Screenshot_20181115-181737~2.jpg
    Screenshot_20181115-181737~2.jpg
    48.9 KB · Views: 28
There is a core in this universe where we always obtain Knowledge ,Inspiration and power( Strength) ,I know it exists but I have not penetrated into it.
By Nikola Tesla...



Sijamanisha eneo kama physical place pengine sikutolea ufafanuzi vizuri...even Tesla himself did'nt mean Intelligence he meant we acquire knowledge from extra source..,but ukimsikiliza Tesla anakwambia maneno hapo juu yenye maana hiyo ...

The only remained paradoxy katika kusolve hii mishe ni kugundua kitu ambacho kinagive multiple enumalation ya DNA codes kiasi kwamba zisifanane (DNA code arrangement zako hazifanani na mtu yoyote ulimwenguni...?

If we discover the programme behind inayoencode non matching bases za DNA, basi tutajua how to configure the Intelligence genes ..

Most probably tutajua the fate of surviving in this universe,but hopefully the secret of dark energy ndo itasolve mambo yote..
Au ndio ile core ambayo wataalamu wa mambo ya kispiritual huwa wanaiita_Akashic records a place where all the story Begin and stored
 
Je watoto wa kimasai waliokulia umasaini kwa miaka 14,
watoto wa kikurya waliokulia ukuryani kwa miaka yote 14,
watoto wa kinyantuzu waliokulia unyantuzuni kwa miaka yote 14, watoto wa kinyankole waliokulia kwa wanyankole kwa miaka yote 14,
watoto wa wahutu na watutsi wenye umri wa miaka 14 waliokulia rwanda kwa umri wote,
watoto wa kijaluo, kikuyu na kikamba wenye umri huo huo wa miaka 14 wakipimwa intelligence yao katika mambo ya vita na kujilinda inaweza kuwa inarandana au kufanana maana hizo jamii zote ni za kifugaji?
 
Je watoto wa kimasai waliokulia umasaini kwa miaka 14,
watoto wa kikurya waliokulia ukuryani kwa miaka yote 14,
watoto wa kinyantuzu waliokulia unyantuzuni kwa miaka yote 14, watoto wa kinyankole waliokulia kwa wanyankole kwa miaka yote 14,
watoto wa wahutu na watutsi wenye umri wa miaka 14 waliokulia rwanda kwa umri wote,
watoto wa kijaluo, kikuyu na kikamba wenye umri huo huo wa miaka 14 wakipimwa intelligence yao katika mambo ya vita na kujilinda inaweza kuwa inarandana au kufanana maana hizo jamii zote ni za kifugaji?
Hakuna unachoasses hapo ...we asses Intelligence katika universal solving ability ya mambo yote...ukibase na assesiment moja unakuwa unapima Acquired ability..mtoto anapokuwa eneo husika analean ability mpya..ndo mana umekazia kuwa ni wafungajinhence anakuwa kashafundishwa namna ya kuwinda and so fouth kwa hiyi hupimi Inborn ability hapo ila unapima acquired ability...

Ili uweze kuelewa tunachoongelea lazima ujue kutofautisha Knowledge na Intelligence..

Intelligence ni uwezo anaokuwa nao mtu kwa kuzaliwa hata kama anapelekwa mahala pengine uwezo utakuwa umehifadhiwa kwenye vinasaba vyake kiasi kwamba uwezo wa kujiongeza katika kutatua changamoto pindi zinapomkabili anakuwa nao...

uwezo anaokuwa nao mtu baada ya kufundishwa au kuelekezwa sio Intelligence hiyo bali ni knowledge ...

sijui kama unaelewa hapo mkuu..??
 
There is a core in this universe where we always obtain Knowledge ,Inspiration and power( Strength) ,I know it exists but I have not penetrated into it.
By Nikola Tesla...



Sijamanisha eneo kama physical place pengine sikutolea ufafanuzi vizuri...even Tesla himself did'nt mean Intelligence he meant we acquire knowledge from extra source..,but ukimsikiliza Tesla anakwambia maneno hapo juu yenye maana hiyo ...

The only remained paradoxy katika kusolve hii mishe ni kugundua kitu ambacho kinagive multiple enumalation ya DNA codes kiasi kwamba zisifanane (DNA code arrangement zako hazifanani na mtu yoyote ulimwenguni...?

If we discover the programme behind inayoencode non matching bases za DNA, basi tutajua how to configure the Intelligence genes ..

Most probably tutajua the fate of surviving in this universe,but hopefully the secret of dark energy ndo itasolve mambo yote..
Mshana Jr yeye kule kasema Sayansi inapoishia ndipo uchawi unaanzia, lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom