lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,365
kwani lengo lao ni kuwafanya magenous wanaoiongoza dunia kuwa popular au kwa manufaa yao...??Hahaha sasa sijui ni mimi au wewe nachsnganya/unachanganya.
Huko juu ulisema Gene inayohusika na intelligence haijulikani, na kama ingekuwa inajulikana kuna uwezekano in future wangeweza kubreed kizazi cha intelligent watupu, na hii ulisema haijawezekana, sasa wanawezaje kureconstruct kizazi kama intelligent gene haijulikani, yet!.
Je, unamaanisha hao kina Picaso na kina Newton walitengenezwa kama sample?! If not mbona unasema walizuiwa ku breed na ku interbreed?! Nani aliwazuia kuoa au kuzaa?! Inamaana kuna watu au kikundi/society ilikuwa inawa control wao na ilihakikusha hawaachi mbegu?! Mi ningedhani kizazi hicho ndicho kingeendelezwa badala ya kuwa limited?! Maana kilifanya maajabu na kupelekea kuwepo knowledge iliyopo leo.
Na inawezekanaje hizo GMO ziwe na uwezo kubadili genes za mtu aliyekwisha kuwa coded and wired to a core. Ulisema, ukiisha zaliwa na kuwa ulivyo huwezi kubadirika, maana kila mtu ana DNA zake unique. Maana intelligence genes hazijulikani sasa vipi uweze kubadili usichokijua, na unajuaje kimebadirika?! Maana kama wanafahamu intelligence gene, through IVF tungeona magenius kuliko kina Newton leo, au mimi ndio dish linayumba mkuu?!
kwani kitu kipi kimeharibika baada ya hao uliwajua kufaa?? au tumerudi nyuma au mambo yanazidi kufanyika kwa siri..?? Is Newtonian era the same with Hawkingian era...??
nyosha maeelzo vizuri...
Lengo ni kuzalisha magenius wengi so what...??
what if we own few but we limit their popularity....??
inshu ni kujulikana au inshu ni kukamilsha mipango yao...??
,hio average kwa nini race moja iscore high ama above average na nyingine I score less??kwa nini race zote zisi score evenly?