Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Wakuu kama tulivyomsoma lifecoded kwenye maandiko yake huko juu anasisitiza Intelligence is inherited, kuna kitu kimenijia sasa hivi, inakuwaje binadamu wa zama hizi wanaakili sana kuliko babu zetu, kwa kuangali zama hizi kuna invertions nyingi kuliko zama za mababu, sijui ni tafiti nyingi zinaleta haya au sisi tunaakili sana kuliko babu zetu? Tizama hawakuwa na makomputer, sisi tunayo n.k, ni tabu zetu ndio zimetufanya tufungulie code zingine au mazingira au ni intelligence ya kizazi hiki kubwa kuliko ya kina babu. Na kwanini hatukurithi ujinga wao au kwanini hatukuendelea kuishi vilevile kama wao lakini tunabadirika na kuongeza manjonjo meengi.
 
Na je Size ya kichwa ina maanisha ubongo mkubwa? ukiachana na hydrocephalus, yanii kuna watu hawana hydrocephalus lakini vichwa vyao vikubwa, je hii inamanisha ubongo wao mkubwa, na hii inahusianaje na intelligence ya mtu, na vipi kwa wenye vichwa vidogo, ingawa sijui ipi ni normal head size associated to what brain size is normal.
please wenye kuelewa hili.
 
Habari za weekend wana JF, kuna swali nimekua nikijiuliza muda mrefu sana na kuna mada iliwekwa humu JF ambapo wachangiaji wengi kina Wick na Malcom Lumumba waliijadili hii issue ila kwa kugusia tu maana haikuwa kiini cha mada.

Ukweli mchungu: Pasipo anguko la Malaika (Sons of Gods/Watchers/Anunnakis/Aliens), Mwanadamu angeendelea kubaki kilaza. - JamiiForums

Humo ndani kuliibuka debate kama akili za binadamu ni hereditary/genetic au ni mazingira. Baada ya kusoma tafiti /makala kadhaa nikaona nilete mada humu ili tuweze kujadili suala hili kwa upana zaidi na niweze kupata conclusive answer kwa mjadala ule. Na source yangu kubwa ni study hii ya huyu neurosurgeon niliyeambatanisha pdf yake hapo chini.
View attachment 919915

UTANGULIZI
Akili kwa kifupi tu tunaweza kusema ni uwezo wa kufikiri au kuchanganua masuala mbalimbali yanayotuzunguka na kwa mingi wanasayansi wamejaribu kupima hiyo "akili" kati ya mtu na mtu ili kuweza kufahamu sababu halisi za kuwepo utofauti huo yaani mtu kuwa na akili ''ndogo'' au ''kubwa'' kuliko mwenzake.

Mnamo mwaka 1905 serikali ya ufaransa ilitaka kuanzisha mfumo wa "elimu kwa wote" hivyo ikataka kugundua watoto wenye ''akili ndogo'' ili wapewe elimu maalum kuwawezesha kusoma kwa spidi yao kuliko kuwabakisha nyumbani tu au kuitwa "wehu". Mtihani huu uliitwa stanford-simon test ambapo ulikuwa unapima vitu vikuu vitano ambako na sisi ningependa tutumie tunapoendelea na mjadala huu sababu hizi factors ndio zimeweka msingi wa IQ tests na mbinu karibu zote duniani za kupima akili ya mtu.

1.Maarifa (knowledge) ambapo hapa wanapima kama mtoto ana uwezo wa kuelewa mambo yanayomzunguka mfano mtoto aliulizwa kushiba au kuchoka ndio nini?

2. uchanganuzi wa hesabu (Quantitative reasoning) ; Hapa mtoto anaulizwa masuala ya hesabu ili kupima uwezo wa akili yake mfano kujumlisha,kutoa,kugawanya n.k

3. Working memory yaani Kumbukumbu ya muda mfupi ambapo hapa wanapima kama mtoto ana uwezo wa kutunza mambo aliyofundishwa au kuyashuhudia muda mfupi tu uliopita mfano kama unawaonyesha picha basi unawauliza picha ya kwanza kuwaonyesha ilikuwa ya nani.

4. Visual-spatial processing yaani utambuzi wa vitu kwa kuangalia mfano uhusiano baina ya picha na zaidi inayotumika ni puzzle ambapo mtoto alitakiwa kupanga vipande tofauti ili vitengeneze picha moja.
View attachment 919908
5.Ya mwisho ni uwezo wa kuchanganua (fluid reasoning) yaani uwezo wa kufikiri na kupata suluhisho kwa jambo ambalo halitegemei kitu ulichowahi fundishwa au kukutana nacho huko nyuma mfano kuunganisha dots za suala fulani fulani ili upate picha kamili mfano hapa chini ambapo mtoto ataulizwa umbo gani ndio sahihi kuwekwa kwenye alama ya kiulizo??
View attachment 919909
NADHARIA
Baada ya kujua baadhi ya vitu tunavyopima kwenye uwezo wa akili ya mtu.... Basi tuangalie nadharia mbalimbali zilizoletwa juu ya mjadala huu.

1. Akili hurithishwa /Heritability.
Kwenye nadharia hii baadhi ya wanasaikolojia wamejaribu kufanya tafiti mbalimbali kuonyesha kuwa akili ya mtu hurtishishwa kutoka kwa mzazi hivyo uwezo wa akili za wazazi ndio utaamua uwezo wa wanaye kwa kiasi kikubwa. Kwa mujibu wa tafiti nilioambatanisha hapo chini inaonyesha mapacha wakufanana wana wana akili (IQ) zinazofanana kuliko mapacha wasiofanana ikimaanisha jenetiki zina nafasi ya kucheza kwenye kuamua akili ya mtoto. Vilevile utafiti mwingine ukaonyesha ndugu waliokuzwa kwenye nyumba moja wana akili zinazofanana kuliko watoto wasio na undugu waliokuzwa eneo moja ikimaanisha genetics za kifamilia ndio huamua akili ya mtoto na sio makuzi/malezi n.k

Nadhari nyingine inayotumika humu ni wilson effect ambayo inasema mtu anapozidi kukua basi uwezo wa akili yake unakuwa umechangiwa na akili za kurithi kuliko sababu zingine zozote na alihitimisha kwa utafiti unaoonyesha 60% mpaka 80% ya akili ya mtu mzima huwa imerithiwa kutoka kwa kizazi chake na zilizobaki ndio sababu zingine kama elimu,makuzi,mazingira,uzoefu,afya n.k

2. Mazingira/makuzi
Nadharia ya pili inadai mtoto huzaliwa na uwezo wa akili wa kawaida ila mazingira au makuzi atayakayopata ndio yataamua akili yake hapa duniani. Tafiti mbalimbali zimefanyika mfano weinberg (1989) unaonyesha mapacha wanaofanana waliokuzwa mazingira tofauti kabisa uwezo wa akili zao haukufanana ikimaanisha uwezo wa akili huamuliwa na mazingira ambayo mtoto anakulia na sio kurithi akili za mzazi. Mfano mtoto ambaye baba na mama yake wana akili ila amekulia mazingira ya umaskini hivyo kula yake ni ya shida na hapati lishe bora hasa udogoni inaathiri size ya ubongo wake hasa ubongo wa mbele (frontal lobes) hivyo itasababisha uwezo wake wa akili kupungua sana. Ama mtoto mwenye uwezo mdogo wa akili akikulia mazingira ambayo wazazi wanamjengea uwezo wa kufikiri kama kumpa maarifa kadha wa kadha toka akiwa mdogo,kusoma vitabu,mitihani ya kimaisha ya kumfanya afikiri basi mtoto huyu akili yake (IQ) itapanuka muda unavyozidi kusogea.

View attachment 919916

Tabula rasa
Hii ni nadharia iliyoanzishwa na John locke (1690) inayodai mtoto akizaliwa huwa ni MWEUPE kichwani ila uwezo wake wa akili utaamuliwa na mazingira,uzoefu,maarifa atakayopata kwenye makuzi,mazingira au uzoefu anavyozidi kukua. Hivyo kwa kiujumla nadharia hii inasema haijalishi mtoto kazaliwa na akili gani ila makuzi yake ndio yataamuwa kama atakuwa na akili ''kubwa'' au ''ndogo''.

NB: tunapoongelea akili hatumaanishi za darasani na hatumaanishi jinsi mtu anavyozitumia bali tunamaanisha UWEZO wa juu zaidi ambao anaweza kutumia kufikiri hata kama bado hajaamua kuutumia ipasavyo. Kiufupi tunaangalia brain CAPACITY sio PERFORMANCE. Maana kuna wengine wana akili kubwa ila hawajawekewa mazingira ya kuzitumia kwa ukamilifu wake so tunapojadili tuwe nalo hili kichwani.

Naomba kuwasilisha
Cc
Mchawi Mkuu Malcom Lumumba Elungata Da'Vinci Mshana Jr Eiyer Kudo900 Vi rendra N J subi Bujibuji Kipanga boy Kiranga Che mittoga Ip man 3 mitale na midimu Mzee wa Torano Blaki Womani Grahnman za chembe jimmykb197 911sep11 afsa Francis3 mtu chake NJOLO Msolo Shubiri Pori Pendael24 Mr Miller Elli Khalifavinnie Kennedy Son of Gamba Kanungila Karim Mgambilwa ni mntu Mr FCB Mr Q geesten66 Jerry Ekky Mnabuduhe Chrisvern Dabby Jr kibuyu180 IGWE SALA NA KAZI
Wick Dukeson lifecoded Daimler monde arabe mtu watu

Inalithiwa
 
Na je Size ya kichwa ina maanisha ubongo mkubwa? ukiachana na hydrocephalus, yanii kuna watu hawana hydrocephalus lakini vichwa vyao vikubwa, je hii inamanisha ubongo wao mkubwa, na hii inahusianaje na intelligence ya mtu, na vipi kwa wenye vichwa vidogo, ingawa sijui ipi ni normal head size associated to what brain size is normal.
please wenye kuelewa hili.
Ngoja nijaribu kukujibu kinagaubaga.
Size ya kichwa ina uhusiano na uwing wa neural networks, kwamba kadri kichwa kinavyozidi kuwa kikubwa, ndivyo kunavyozidi uwezekano wa neurons nyingi kutengenezezwa na kuwa more interrelated as per activities. Activities like information processing & impulse conduction depending on speed of respective neurons.
Note: siyo mtaalamu mbobezi wa masuala hayo ya ubongo na neurons, ila nimekujibu kwa kadri ya uelewa wangu mdog.
==================================
Kwa maelezo zaidi waweza soma hapo chini as one of referenced article.

Neuronal factors determining high intelligence
 
duuuh....aise hii mada inakuwa ngumu kueleweka kwa baadhi ya watu kwa sababu ya kukosa key words za kuweka ili kila mtu ambae hajajua how Intelligence geneology inavyorithishwa...

Labda nikueleze tu kwa ufupi kwamba kila kitu unachokiona mwilini mwako kipo under gene( Jeni) controlled..

Hakuna process yoyote mwilini inajiongoza pasipo kuwa na gene kama controlling factor( Command)

The enveronment and all surroundings have nothing to do with your body only genes, though the surroundings hutengeneza mazingira ili gene zako ziwe active..gene zikifell tayari you are no longer having a chance to survive..

Tangu cell zako zinapotengenezwa tayari inatengenezwa DNA strand ambayo ipo complete na hata kama cell mpya zitaendelea kutengenezwa na lazima mother strand ya DNA copy iwepo na ndo itakayosimamia cell zingine kutengenezwa..

Kila kitu kinarithishwa kupitia data base ya gene zako kwenye DNA..

Genes zinazohifadhi Intelligence huwa zimebeba Ujumbe husika ila huwa zinasubiri muda wa kuwa activated ili kuruhusu flow of information kwenda kwenye cognition centre ya brain ...

kila gene imebeba kitu maalumu ambacho muda ukifika kuna gene kuu ndani ya mwili ambayo kazi yake kubwa ni kuziamsha gene zingine zitoe information kwenye cognition centre ya ubongo kumruhusu mhusika aoneshe kile kilichofichwa katika physical form .

Kila tabia ya mama au baba au bibi au shangazi imebebwa na specific gene kwenye DNA arrangement ...mtoto akifika umri wa kuongea tayari gene iliyobeba formation au mpangilio wa sauti inayofanana na mzazi wake inakuwa activated na mtoto anakuwa na sauti kama ya baba yake au mama yake.

kama baba alianza kuwa mwizi wa vitu kwenye jamii alipokuwa na miaka 20 basi tabia hiyo itatengenezewa gene ya kuhifadhi na itapita mpaka kwa mtoto na mtoto akifikia umri ule ule wa miaka 20 tayari gene iliyokuwa imebebwa kwa ajili ya kumpa hamasa ya wizi inabe activated na mtoto anaanza kuonesha tabia zile zile..

Same applies kwa Gene zinazobeba au kuhifadhi Intelligence ya vizazi vya familia yao..kuna muda ukifika tayari genes specific wa kutoa information kwenye recognition centre ya mtu huyo inafunguka na mtoto anakuwa aware na chochote ..

Unaambiwa hivi,we posses each and everything kwenye DNA yetu ila muds ukifika vinakuwa activated ubongo wako unaohusika na utambuzi unaanza kutambua but we have the Blueprint kwenye mwili wetu...

Nothing new ww learn ,the enveronment provides a way for your cognition centre kuruhusu utambuzi wa kusoma tabia za ndani..

Ndo mana tunasema kuwa kadri umrinunavyodhidi kwenda tabia zote za mtoto kutoka kwa wazazi wake au ancestors wa nyuma zinafunguka kwa uwazi mkubwa..ni muda mwafaka kufika ili part ya ubongo kuanza kusoma codes zilizobeba ujumbe kwenye genes hizo..

Ndo mama kama unataka kuamini hilo angalia mtoto mdogo anapozaliwa ,yani anaweza asifanane na mtu yeyote kwenye familia lakini kadri anavyokuwa tayari sura harisi ya wazazi wake inaanza kuonekana na mwisho wa siku anajulikana kabisa ..Genes never lie for sure ,we poses the blueprint inside our DNA ..

Kama Haitoshi,naomba uchunguze kwa makini hata watoto wanapozaliwq na wazazi wao kisha kuchukuliwa na kwenda kuelelewa mazingira mengine ila wakirudi sura zao huwa hazibadiliki lazima atafanana na baba yao au mama yake hata kama ataishi ulaya miaka 30 ila siku akirudi copy right ni wa kwao..

Kama mazingira yangekuwa yanachange hali halisi kwanini sura hazibadiliki..??

kwa hiyo hata kwenyr Intelligence ninhivo hivo,kama geneology trend ya ancestors ilikuwa na IQ ndogo basi ukoo mzima utakuwa zero ..kama ukitaka kuamini chungukia hata ukoo wenu kama kuna nature ya Akili ipo tu na haitabadilika lazima kutakuwa na element za akili despite watu wanakukia mazingira tofauti na kinachowatofautisha ni mazingira wanapokulia na kuwafanya ku acquire different knowledge ila ukipima IQ ya ukoo mzima lazima utapata Range ya pamoja despite wwpo waliosoma au hawakusoma kwa sababu IQ hatuipati kwa Kuangalia elimu zao ,elimu ni Acquired ability na sio Inborn..

ndo mana moto wa shule au vyuo huwezi ukakuta wanaweka " EDUCATION FOR BETTER INTELLIGENCE ila watakuandikia EDUCATION FOR BETTER KNOWLEGE,means it is acquired one,the total blueprint you have inside you and not otherwise..

Sasa labda nifungue akili za wengi mchango wa Diet( Lishe bora ) kwenye Intelligence..

Ili gene iliyobeba ujumbe au tabia flani kwa mtoto au mtu iweze kufunguka vizuri inahitaji mazingira mnayoyasema..

kww mfano kuna specific amino acid ambazo kazi yake ni kuruhusu transduction au utafsiri au activation ya haraka ya genes zilizobeba specific character( Traits)..haimanishi kuwa mtoto akikosa lishe bora Intelligence yake itapotea,hapana hapana ila mufa wa gene kuwa activated utachelewa ila muda ukifika naturally ile main gene inayocontrol natural activation ya gene zingine inaamuru activation na Intelligence flow information inakuwepo..

Kama mtoto utaanza kumpa lishe bora mapema ,manake uwezo wa blueprint kuruhusu activation ya gene zilizobeba ujumbe kufunguka kwa haraka na kupeleka utambuzi usomwe kwenye recognition centre kwa haraka zaidi ,manake mtoto au mhusika atakuwa na uwezo wa kuinteprete ujumbe wa haraka zaidi...

Ndo mana kama mzazi wako au ancestor wako alipata cancer ya matiti ,tayari cell zote mwilini mwake zinabeba sifa ya cancer na kuitunza na kuruhusu ibebwe na gene husika na mtoto ambaye atakuwa na ile gene muds ukifika wa kuwa activated tayari inaanza kuruhusu cance kuanza kukua na ndo mana tunasema kila kitu kinarithishwa ,sasa inakuwaje leo hii useme mazingira yana nafasi kubwa ya kuruhusu mabadiliko ya mwili wako..?? Damn

Mazingira yana nafasi ya kuactivate gene zako ili informations zisomwe haraka au kuchelewa kwenye cognition centre ya ubongo wako tu na sio vinginevyo...

So genetic influence inaplay part kubwa sana kuinhence Intelligence flow ya mtu kwa muda sahihi unapofika...kama mtu kabeba Gene za Uelewa mkubwa muda ukifika gene hiyo itakuwa activated na kuruhusu information zake kuwa interpreted kwa haraka zaidi eneo husika( Cognition center within the brain)..
Hii shule uliyoitoa hapa Mkuu hata sisi wataalamu wa jukwaa la mambo ya kikubwa na siasani tumeelewa vizuri, yaani umesummarize elimu ya kitabu kizima ukaiweka katika meneno machache, na niseme hivi ili kuelewa unayozungumza katika uzi huu bado pia IQ kiasi flani inahitajika, ikiwa kuna mtu anaIQ chini ya hicho kiasi basi kamwe abadani daima dumu hatokaa kuelewa.. Knowledge ni issue ndogo sana, ndio maana huyu anaweza kuwa mtamu kwenye udereva yule akawamtamu kwenye uvuvi ila INTELLIGENCE hii baba mtu anazaliwa nayo hafundishwi..!!!! Yaani huwezi kwenda shule ukapachikwa INTELLIGENCE... Hii ipo katika "nasaba"...

Kama mtu Ana IQ ndogo ndo basi tena siyo bahati yake, ni sawa na kuzaliwa mfupi au mrefu huwezi kufanya maajabu yeyote labda wakafanyie "welding" ugoko.
 
Hii shule uliyoitoa hapa Mkuu hata sisi wataalamu wa jukwaa la mambo ya kikubwa na siasani tumeelewa vizuri, yaani umesummarize elimu ya kitabu kizima ukaiweka katika meneno machache, na niseme hivi ili kuelewa unayozungumza katika uzi huu bado pia IQ kiasi flani inahitajika, ikiwa kuna mtu anaIQ chini ya hicho kiasi basi kamwe abadani daima dumu hatokaa kuelewa.. Knowledge ni issue ndogo sana, ndio maana huyu anaweza kuwa mtamu kwenye udereva yule akawamtamu kwenye uvuvi ila INTELLIGENCE hii baba mtu anazaliwa nayo hafundishwi..!!!! Yaani huwezi kwenda shule ukapachikwa INTELLIGENCE... Hii ipo katika "nasaba"...

Kama mtu Ana IQ ndogo ndo basi tena siyo bahati yake, ni sawa na kuzaliwa mfupi au mrefu huwezi kufanya maajabu yeyote labda wakafanyie "welding" ugoko.
welll said mkuu
 
Wakuu kama tulivyomsoma lifecoded kwenye maandiko yake huko juu anasisitiza Intelligence is inherited, kuna kitu kimenijia sasa hivi, inakuwaje binadamu wa zama hizi wanaakili sana kuliko babu zetu, kwa kuangali zama hizi kuna invertions nyingi kuliko zama za mababu, sijui ni tafiti nyingi zinaleta haya au sisi tunaakili sana kuliko babu zetu? Tizama hawakuwa na makomputer, sisi tunayo n.k, ni tabu zetu ndio zimetufanya tufungulie code zingine au mazingira au ni intelligence ya kizazi hiki kubwa kuliko ya kina babu. Na kwanini hatukurithi ujinga wao au kwanini hatukuendelea kuishi vilevile kama wao lakini tunabadirika na kuongeza manjonjo meengi.
Hapana mkuu,race ya sasa hivi ina Intelligence ndogo kuliko race ya zamani ,sema race ya sasa hivi imebe subjected kwenye Artificial Intelligence era ambayo imejaaa knowledge nyingi sana...

Inshort tupo kwenye knowledge transcendent zaidi na tunazaidiwa na mashine kuliko kutumia akili zaidi..

Ndo mana IQ trend imeshuka zaidi na knowledge trend inaongezeka zaidi...

Ukitaka kuamini fanya utafiti huo utakuja kutuambia...
 
Hapana mkuu,race ya sasa hivi ina Intelligence ndogo kuliko race ya zamani ,sema race ya sasa hivi imebe subjected kwenye Artificial Intelligence era ambayo imejaaa knowledge nyingi sana...

Inshort tupo kwenye knowledge transcendent zaidi na tunazaidiwa na mashine kuliko kutumia akili zaidi..

Ndo mana IQ trend imeshuka zaidi na knowledge trend inaongezeka zaidi...

Ukitaka kuamini fanya utafiti huo utakuja kutuambia...
Haya unayoyasema ni kweli kabisa, juzi nilikua na mshkaji wangu flani sehemu ikapita landcruiser mkonge katika kuisifia sifia ikaja hoja kwamba hii ni kati ya gari chache zinazotengenezwa kwa mkono wa binadamu kuhusika kwa kiasi kikubwa tofauti na gari zingine ambapo roboti anahusika zaidi, mwisho tukaangukia kwenye mjadala kati ya binadamu na mashine/roboti nani anaufanisi zaidi.
 
Wakuu kama tulivyomsoma lifecoded kwenye maandiko yake huko juu anasisitiza Intelligence is inherited, kuna kitu kimenijia sasa hivi, inakuwaje binadamu wa zama hizi wanaakili sana kuliko babu zetu, kwa kuangali zama hizi kuna invertions nyingi kuliko zama za mababu, sijui ni tafiti nyingi zinaleta haya au sisi tunaakili sana kuliko babu zetu? Tizama hawakuwa na makomputer, sisi tunayo n.k, ni tabu zetu ndio zimetufanya tufungulie code zingine au mazingira au ni intelligence ya kizazi hiki kubwa kuliko ya kina babu. Na kwanini hatukurithi ujinga wao au kwanini hatukuendelea kuishi vilevile kama wao lakini tunabadirika na kuongeza manjonjo meengi.
Hahaha! Unamaaanisha watu km akina Newton na wenzake au? I dont think so...asili yetu ni moja mazingira ndo yanakuwa tofauti.
 
Wakuu kama tulivyomsoma lifecoded kwenye maandiko yake huko juu anasisitiza Intelligence is inherited, kuna kitu kimenijia sasa hivi, inakuwaje binadamu wa zama hizi wanaakili sana kuliko babu zetu, kwa kuangali zama hizi kuna invertions nyingi kuliko zama za mababu, sijui ni tafiti nyingi zinaleta haya au sisi tunaakili sana kuliko babu zetu? Tizama hawakuwa na makomputer, sisi tunayo n.k, ni tabu zetu ndio zimetufanya tufungulie code zingine au mazingira au ni intelligence ya kizazi hiki kubwa kuliko ya kina babu. Na kwanini hatukurithi ujinga wao au kwanini hatukuendelea kuishi vilevile kama wao lakini tunabadirika na kuongeza manjonjo meengi.

Kitu kingine mkuu kinachotupa utofauti mkubwa na race ya zamani ni geneological construction ambayo imefanyiwa mabadiliko makubwa mno...

Race ambayo ilikuwa more intelligence ilizuiwa kuinterbreed ina kuruhusu intelligence flow Inheritance kwa kizazi au vizazi endelevu..

ukitaka kuamini hilo chunguza rangi na physical morphology ya magenius wa kale yani hawafanani na kizazi cha sasa hivi..

Ukitazama hata Mfumo wa mwili wao au ngozi au nywele ilikuwa ni selected race kabsa mkuu na hawakutakiwa ku Interbreed kabsaa na Lung'wecha wengine,na most of famous genius had'nt married at ol...
look at their morphology kwanza hapa chini..
Screenshot_20181117-084041~2.jpg


Wa kwanza ni Newton huyo.

Screenshot_20181117-084110~2.jpg

Mtazame Picaso mwenyewe hapo halafu utafute na sura za sasa hivi huko kwao kama wafanana...

Screenshot_20181117-084053~2.jpg

Just look at their hairs and so on..very different na kizazi cha sasa hivi...
Screenshot_20181117-084509~2.jpg


Sasa ukitaka kujua kuwa kuna utofauti mkubwa sana tazama group hili hapa chini la mandezi wa kizazi cha leo chenye IQ range ya 100 na kushuka..
Screenshot_20181117-084548~2.jpg

Hapo ndo utajua Genetic reconstruction ilifanyika kwa gharama zote kuhakikisha Genetic make up ya IQ kubwa inabaki kuwa restricted na kuzuia flow yake ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea mabadiliko ya kigenetic zaidi au kuwazuia kuinterbreed na wengine...

angalia kundi jingine la kindezi la leo hili hapa na ni wageruman pamoja na mataifa mengine lakini hawafanana na kundi la Wenye IQ kubwa
Screenshot_20181117-084558~2.jpg


Njia pekee ya kuzuia Intelligence flow ya geneology husika ni kuzuia interbreed au kufanya genetic reconstruction kwa kupangua gene flow system kwenye DNA strand ya mtu husika kisha kumruhusu afanye interbreed..

kizazi cha sasa hivi ni reconstructed hybrid kabisa kupitia program kabambe ya GENETIC MODIFIED FOOD ambayo imebeba gene control za kutosha za kubadilisha mfumo wa Intelligence wa mwanadamu ,na hivyo vyakula vimejaa gene mbadala ambazo zinaleta mabadiliko kwa haraka zaidi...

Our body are subjected to construct sub-normal Intelligence range kupitia Artificial reconstructed genes kupitia genetic editing ya sasa hivi na ndo hichi kitu kilichobadilisha mfumo mzima mwilini wa Inheritance trend ya kila kitu..

It is genetic modification through gene where we can change the genetic make up also of our Inheretance pattern of any Traits and not the enveronment..

,mabadiliko haya ni ya kidunia ,no one to escape this mpaka tuwe complete replaced na Artificial Intelligence mashine ndo mpango wao unakamilika,.

Hii imeelezewa zaidi kwenye kitabu kipya cha Stephen Hawking cha A brief answe to the biggest Questions kwenye page yake ya Artificial Intelligence na hi halipingiki..

We are going to be totally replaced by the mashine katika kufikili zaidi na hapo ndo utaona msaada wa mwanadamu unashuka zaidi.
Watu wanaenda kuunda uhusiano mpya na new reconstructed beings ambazo zitakuwa na uwezo wa kubadilishana mawazo na wew kwa rate kubwa sana ambayo mwanadamu hatakuwa nayo,and its true ila hapo watu wanasema haitatokea but keep waiting the fantasy of genetic reconstructed ilivyotuharibu akili ..

Hizi IQ tulizonazo ni wazazi wetu waliobesubjected kwenye genetic make up reconstruction za miaka ya nyuma hapo ambayo haikuwa na Mazara makubwa sana kivile ila kadri muda unavyozidi kwenda genetic editing inafanyika kwa haraka sana ili kuua gene morphology original ...

Na ndo mana kwenye human clone jamaa wanaclone watu wa nyuma zaidi ambao Intelligence pattern yao ilikuwa tofauti na ya sasa hivi .

Wanavuruga kama sio kuinvet upya Intelligence gene bases kwenye ubongo kisha kuruhusu tuinterbreed huku matokeo yakiwa tofauti kabsa .

kama Gene arrangement ni AGG GGC wao wanainvert inakuwa ni CGG GGA kwenye upande wa Intelligence tu huku mabadiliko mengine yanabaki hivyo hivyo ili uendelee kufanana na baba yako huku uwezo wenu wa akili ukibadilika kwa kasi kubwa sana .

Only genetic editing can reconstruct the Inheritance pattern and not the enveronment as people tend to claim.

Genetic makeup changes kupitia abnormal reconstruction ya gene ndo italeta mabadiliko ya papo kwa papo na suo vinginevyo..
 

Attachments

  • Screenshot_20181117-084041~2.jpg
    Screenshot_20181117-084041~2.jpg
    27.8 KB · Views: 37
Kitu kingine mkuu kinachotupa utofauti mkubwa na race ya zamani ni geneological construction ambayo imefanyiwa mabadiliko makubwa mno...

Race ambayo ilikuwa more intelligence ilizuiwa kuinterbreed ina kuruhusu intelligence flow Inheritance kwa kizazi au vizazi endelevu..

ukitaka kuamini hilo chunguza rangi na physical morphology ya magenius wa kale yani hawafanani na kizazi cha sasa hivi..

Ukitazama hata Mfumo wa mwili wao au ngozi au nywele ilikuwa ni selected race kabsa mkuu na hawakutakiwa ku Interbreed kabsaa na Lung'wecha wengine,na most of famous genius had'nt married at ol...
look at their morphology kwanza hapa chini..View attachment 937271

Wa kwanza ni Newton huyo.

View attachment 937270
Mtazame Picaso mwenyewe hapo halafu utafute na sura za sasa hivi huko kwao kama wafanana...

View attachment 937272
Just look at their hairs and so on..very different na kizazi cha sasa hivi...
View attachment 937274

Sasa ukitaka kujua kuwa kuna utofauti mkubwa sana tazama group hili hapa chini la mandezi wa kizazi cha leo chenye IQ range ya 100 na kushuka..
View attachment 937276
Hapo ndo utajua Genetic reconstruction ilifanyika kwa gharama zote kuhakikisha Genetic make up ya IQ kubwa inabaki kuwa restricted na kuzuia flow yake ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea mabadiliko ya kigenetic zaidi au kuwazuia kuinterbreed na wengine...

angalia kundi jingine la kindezi la leo jili hapa na ni wagerumani lakini hawafanana na kundi la Wenye IQ kubwa
View attachment 937282

Nja pekee ya kuzuia Intelligence flow ya geneology husika ni kuzuia interbreed au kufanya genetic rexonstruction kwa kupangua gene flow system kwenye DNA strand ya mtu husika kisha kumruhusu interbreed..

kizazi cha sasa hivi ni reconstructed hybrid kabisa kupitia program kabambe ya GENETIC MODIFIED FOOD ambayo imebeba gene control za kutosha za kubadilisha mfumo wa Intelligence wa mwanadamu ,na hivyo vyakula vimejaa gene mbadala ambazo zinaleta mabadiliko kwa haraka zaidi...

Our body are subjected to construct sub-normal Intelligence range kupitia Artificial reconstructed genes kupitia genetic editing ya sasa hivi na ndo hichi kitu kilichobadilisha mfumo mzima mwilini wa Inheritance trend ya kila kitu..

It is genetic modification through gene where we can change the genetic make up also of our Inheretance pattern of any Traits and not the enveronment..

,mabadiliko haya ni ya kidunia ,no one to escape this mpaka tuwe complete replaced na Artificial Intelligence mashine ndo mpango wao unakamilika,.

Hii imeelezewa zaidi kwenye kitabu kipya cha Stephen Hawking cha A brief answe to the biggest Questions kwenye page yake ya Artificial Intelligence na hi halipingiki..

We arr going to be totally replaced by the mashine katika kufikili zaidi na hapo ndo utaona msaada wa mwanadamu unashuka zaidi.
Watu wanaenda kuunda uhusiano mpya na new reconstructed beings ambazo zitakuwa na uwezo wa kubadilishana mawazo na wew kwa rate kubwa sana ambayo mwanadamu hatakuwa nayo,and its true ila hapo watu wanasema haitatokea but keep waiting the fantasy of genetic reconstructed ilivyotuharibu akili ..

Hizi IQ tulizonazo ni wazazi wetu waliobesubjected kwenye genetic make up reconstruction za miaka ya nyuma hapo ambayo haikuwa na Mazara makubwa sana kivile ila kadri muda unavyozidi kwenda genetic editing inafanyika kwa haraka sana ili kuua gene morphology original ...

Na ndo mana kwenye human clone jamaa wanaclone watu wa nyuma zaidi ambao Intelligence pattern yao ilikuwa tofauti na ya sasa hivi .

Wanavuruga kama sio kuinvet upya Intelligence gene bases kwenye ubongo kisha kuruhusu tuinterbreed huku matokeo yakiwa tofauti kabsa .

kama Gene arrangement ni AGG GGC wao wanainvert inakuwa ni CGG GGA kwenye upande wa Intelligence tu huku mabadiliko mengine yanabaki hivyo hivyo ili uendelee kufanana na baba yako huku uwezo wenu wa akili ukibadilika kwa kasi kubwa sana .

Only genetic editing can reconstruct the Inheritance pattern and not the enveronment as people tend to claim.

Genetic makeup changes kupitia abnormal reconstruction ya gene ndo italeta mabadiliko ya papo kwa papo na suo vinginevyo..
Fikirishi.
 
Race ambayo ilikuwa more intelligence ilizuiwa kuinterbreed ina kuruhusu intelligence flow Inheritance kwa kizazi au vizazi endelevu..

ukitaka kuamini hilo chunguza rangi na physical morphology ya magenius wa kale yani hawafanani na kizazi cha sasa hivi..

Ukitazama hata Mfumo wa mwili wao au ngozi au nywele ilikuwa ni selected race kabsa mkuu na hawakutakiwa ku Interbreed kabsaa na Lung'wecha wengine,na most of famous genius had'nt married at ol...
look at their morphology kwanza hapa chini..View attachment 937271

Wa kwanza ni Newton huyo.

View attachment 937270
Mtazame Picaso mwenyewe hapo halafu utafute na sura za sasa hivi huko kwao kama wafanana...

View attachment 937272
Just look at their hairs and so on..very different na kizazi cha sasa hivi...
View attachment 937274

Hapo ndo utajua Genetic reconstruction ilifanyika kwa gharama zote kuhakikisha Genetic make up ya IQ kubwa inabaki kuwa restricted na kuzuia flow yake ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea mabadiliko ya kigenetic zaidi au kuwazuia kuinterbreed na wengine....
Wanazuia genetic flow kwa sababu zipi za msingi katika mustakabali wa maendeleo ya dunia?
Kama wakina Newton walileta mapinduzi makubwa ktk ulimwengu wa Sayansi na technology, kwa nini wasiachwe wa-interbreed ili kuruhusu passage of genetic flow to another generation kwa lengo la maintain maendeleo ya kisayansi na technolojia?

kizazi cha sasa hivi ni reconstructed hybrid kabisa kupitia program kabambe ya GENETIC MODIFIED FOOD ambayo imebeba gene control za kutosha za kubadilisha mfumo wa Intelligence wa mwanadamu,
Je, hathari za mbeleni kiafya za watu kuendelea kutumia GMP ni zipi?

kama Gene arrangement ni AGG GGC wao wanainvert inakuwa ni CGG GGA kwenye upande wa Intelligence tu huku mabadiliko mengine yanabaki hivyo hivyo ili uendelee kufanana na baba yako huku uwezo wenu wa akili ukibadilika kwa kasi kubwa sana.
Ni nani huyo mratibu wa masuala ya kubadili DNA coding?
Je, ni kwa faida ya ulimwengu mzima?
Je, ni kwa faida ya nchi chache au nchi moja tu?
Je; ni kwa faida ya kikundi cha watu?
Mwisho:
Kwa nini waamini machine ndizo mbadala wa kazi zote zifanyazwo na mwanadamu?
 
Wanazuia genetic flow kwa sababu zipi za msingi katika mustakabali wa maendeleo ya dunia?
Kama wakina Newton walileta mapinduzi makubwa ktk ulimwengu wa Sayansi na technology, kwa nini wasiachwe wa-interbreed ili kuruhusu passage of genetic flow to another generation kwa lengo la maintain maendeleo ya kisayansi na technolojia?


Je, hathari za mbeleni kiafya za watu kuendelea kutumia GMP ni zipi?


Ni nani huyo mratibu wa masuala ya kubadili DNA coding?
Je, ni kwa faida ya ulimwengu mzima?
Je, ni kwa faida ya nchi chache au nchi moja tu?
Je; ni kwa faida ya kikundi cha watu?
Mwisho:
Kwa nini waamini machine ndizo mbadala wa kazi zote zifanyazwo na mwanadamu?
hapo sasa.. you can find the answers at your own risk
 
yaani kwa my own risk, duh!!!!! something is still myth.
ujue nini mkuu..kuna mambo ukijitowa kumweleza mtu yapo atayapinga tu with no reasons ati inafikia mahali kila mtu arisk maisha kivyake ..au wew unasemaje mkuu..??
 
Yawezekana....
Habari za weekend wana JF, kuna swali nimekua nikijiuliza muda mrefu sana na kuna mada iliwekwa humu JF ambapo wachangiaji wengi kina Wick na Malcom Lumumba waliijadili hii issue ila kwa kugusia tu maana haikuwa kiini cha mada.

Ukweli mchungu: Pasipo anguko la Malaika (Sons of Gods/Watchers/Anunnakis/Aliens), Mwanadamu angeendelea kubaki kilaza. - JamiiForums

Humo ndani kuliibuka debate kama akili za binadamu ni hereditary/genetic au ni mazingira. Baada ya kusoma tafiti /makala kadhaa nikaona nilete mada humu ili tuweze kujadili suala hili kwa upana zaidi na niweze kupata conclusive answer kwa mjadala ule. Na source yangu kubwa ni study hii ya huyu neurosurgeon niliyeambatanisha pdf yake hapo chini.
View attachment 919915

UTANGULIZI
Akili kwa kifupi tu tunaweza kusema ni uwezo wa kufikiri au kuchanganua masuala mbalimbali yanayotuzunguka na kwa mingi wanasayansi wamejaribu kupima hiyo "akili" kati ya mtu na mtu ili kuweza kufahamu sababu halisi za kuwepo utofauti huo yaani mtu kuwa na akili ''ndogo'' au ''kubwa'' kuliko mwenzake.

Mnamo mwaka 1905 serikali ya ufaransa ilitaka kuanzisha mfumo wa "elimu kwa wote" hivyo ikataka kugundua watoto wenye ''akili ndogo'' ili wapewe elimu maalum kuwawezesha kusoma kwa spidi yao kuliko kuwabakisha nyumbani tu au kuitwa "wehu". Mtihani huu uliitwa stanford-simon test ambapo ulikuwa unapima vitu vikuu vitano ambako na sisi ningependa tutumie tunapoendelea na mjadala huu sababu hizi factors ndio zimeweka msingi wa IQ tests na mbinu karibu zote duniani za kupima akili ya mtu.

1.Maarifa (knowledge) ambapo hapa wanapima kama mtoto ana uwezo wa kuelewa mambo yanayomzunguka mfano mtoto aliulizwa kushiba au kuchoka ndio nini?

2. uchanganuzi wa hesabu (Quantitative reasoning) ; Hapa mtoto anaulizwa masuala ya hesabu ili kupima uwezo wa akili yake mfano kujumlisha,kutoa,kugawanya n.k

3. Working memory yaani Kumbukumbu ya muda mfupi ambapo hapa wanapima kama mtoto ana uwezo wa kutunza mambo aliyofundishwa au kuyashuhudia muda mfupi tu uliopita mfano kama unawaonyesha picha basi unawauliza picha ya kwanza kuwaonyesha ilikuwa ya nani.

4. Visual-spatial processing yaani utambuzi wa vitu kwa kuangalia mfano uhusiano baina ya picha na zaidi inayotumika ni puzzle ambapo mtoto alitakiwa kupanga vipande tofauti ili vitengeneze picha moja.
View attachment 919908
5.Ya mwisho ni uwezo wa kuchanganua (fluid reasoning) yaani uwezo wa kufikiri na kupata suluhisho kwa jambo ambalo halitegemei kitu ulichowahi fundishwa au kukutana nacho huko nyuma mfano kuunganisha dots za suala fulani fulani ili upate picha kamili mfano hapa chini ambapo mtoto ataulizwa umbo gani ndio sahihi kuwekwa kwenye alama ya kiulizo??
View attachment 919909
NADHARIA
Baada ya kujua baadhi ya vitu tunavyopima kwenye uwezo wa akili ya mtu.... Basi tuangalie nadharia mbalimbali zilizoletwa juu ya mjadala huu.

1. Akili hurithishwa /Heritability.
Kwenye nadharia hii baadhi ya wanasaikolojia wamejaribu kufanya tafiti mbalimbali kuonyesha kuwa akili ya mtu hurtishishwa kutoka kwa mzazi hivyo uwezo wa akili za wazazi ndio utaamua uwezo wa wanaye kwa kiasi kikubwa. Kwa mujibu wa tafiti nilioambatanisha hapo chini inaonyesha mapacha wakufanana wana wana akili (IQ) zinazofanana kuliko mapacha wasiofanana ikimaanisha jenetiki zina nafasi ya kucheza kwenye kuamua akili ya mtoto. Vilevile utafiti mwingine ukaonyesha ndugu waliokuzwa kwenye nyumba moja wana akili zinazofanana kuliko watoto wasio na undugu waliokuzwa eneo moja ikimaanisha genetics za kifamilia ndio huamua akili ya mtoto na sio makuzi/malezi n.k

Nadhari nyingine inayotumika humu ni wilson effect ambayo inasema mtu anapozidi kukua basi uwezo wa akili yake unakuwa umechangiwa na akili za kurithi kuliko sababu zingine zozote na alihitimisha kwa utafiti unaoonyesha 60% mpaka 80% ya akili ya mtu mzima huwa imerithiwa kutoka kwa kizazi chake na zilizobaki ndio sababu zingine kama elimu,makuzi,mazingira,uzoefu,afya n.k

2. Mazingira/makuzi
Nadharia ya pili inadai mtoto huzaliwa na uwezo wa akili wa kawaida ila mazingira au makuzi atayakayopata ndio yataamua akili yake hapa duniani. Tafiti mbalimbali zimefanyika mfano weinberg (1989) unaonyesha mapacha wanaofanana waliokuzwa mazingira tofauti kabisa uwezo wa akili zao haukufanana ikimaanisha uwezo wa akili huamuliwa na mazingira ambayo mtoto anakulia na sio kurithi akili za mzazi. Mfano mtoto ambaye baba na mama yake wana akili ila amekulia mazingira ya umaskini hivyo kula yake ni ya shida na hapati lishe bora hasa udogoni inaathiri size ya ubongo wake hasa ubongo wa mbele (frontal lobes) hivyo itasababisha uwezo wake wa akili kupungua sana. Ama mtoto mwenye uwezo mdogo wa akili akikulia mazingira ambayo wazazi wanamjengea uwezo wa kufikiri kama kumpa maarifa kadha wa kadha toka akiwa mdogo,kusoma vitabu,mitihani ya kimaisha ya kumfanya afikiri basi mtoto huyu akili yake (IQ) itapanuka muda unavyozidi kusogea.

View attachment 919916

Tabula rasa
Hii ni nadharia iliyoanzishwa na John locke (1690) inayodai mtoto akizaliwa huwa ni MWEUPE kichwani ila uwezo wake wa akili utaamuliwa na mazingira,uzoefu,maarifa atakayopata kwenye makuzi,mazingira au uzoefu anavyozidi kukua. Hivyo kwa kiujumla nadharia hii inasema haijalishi mtoto kazaliwa na akili gani ila makuzi yake ndio yataamuwa kama atakuwa na akili ''kubwa'' au ''ndogo''.

NB: tunapoongelea akili hatumaanishi za darasani na hatumaanishi jinsi mtu anavyozitumia bali tunamaanisha UWEZO wa juu zaidi ambao anaweza kutumia kufikiri hata kama bado hajaamua kuutumia ipasavyo. Kiufupi tunaangalia brain CAPACITY sio PERFORMANCE. Maana kuna wengine wana akili kubwa ila hawajawekewa mazingira ya kuzitumia kwa ukamilifu wake so tunapojadili tuwe nalo hili kichwani.

Naomba kuwasilisha
Cc
Mchawi Mkuu Malcom Lumumba Elungata Da'Vinci Mshana Jr Eiyer Kudo900 Vi rendra N J subi Bujibuji Kipanga boy Kiranga Che mittoga Ip man 3 mitale na midimu Mzee wa Torano Blaki Womani Grahnman za chembe jimmykb197 911sep11 afsa Francis3 mtu chake NJOLO Msolo Shubiri Pori Pendael24 Mr Miller Elli Khalifavinnie Kennedy Son of Gamba Kanungila Karim Mgambilwa ni mntu Mr FCB Mr Q geesten66 Jerry Ekky Mnabuduhe Chrisvern Dabby Jr kibuyu180 IGWE SALA NA KAZI
Wick Dukeson lifecoded Daimler monde arabe mtu watu
 
ujue nini mkuu..kuna mambo ukijitowa kumweleza mtu yapo atayapinga tu with no reasons ati inafikia mahali kila mtu arisk maisha kivyake ..au wew unasemaje mkuu..??
Sawa nimekusoma mkuu.
"I wish one day I could be you" kwa kuwa inaonekana we ni zaidi ya encyclopedia.
 
Hahaha! Unamaaanisha watu km akina Newton na wenzake au? I dont think so...asili yetu ni moja mazingira ndo yanakuwa tofauti.
Nilichokuwa na maanisha ni kwamba, ikiwa intelligence in rithishwa/rithiwa genetically, mbona hatuwaoni kina Newton wa zama hizi?! Au genes zao zilikosa warithi au zilidumaa after some time, Na vipi ilikuwaje tukarithi kisichokuwepo, yani tuliorithi kwao hawakuwa na uwezo kutengeneza computer, iphone, satellite. Ndio maana nikauliza mbona naona hiyo theory inakinzana na hali halisi. Ni kwamba kizazi hiki tunaakili sana, kuliko tuliorithi kwao?! Lakini lifecoded lifecoded kajibu tayari.
Lakini why zama hizi hakuna kina archmedis, Newton, Galileo, na the like, genes zilidumaa au warithi waludumazwa na prevailing knowledge?! Na kwanini vyote visiende hand in hand?!
 
Kitu kingine mkuu kinachotupa utofauti mkubwa na race ya zamani ni geneological construction ambayo imefanyiwa mabadiliko makubwa mno...

Race ambayo ilikuwa more intelligence ilizuiwa kuinterbreed ina kuruhusu intelligence flow Inheritance kwa kizazi au vizazi endelevu..

ukitaka kuamini hilo chunguza rangi na physical morphology ya magenius wa kale yani hawafanani na kizazi cha sasa hivi..

Ukitazama hata Mfumo wa mwili wao au ngozi au nywele ilikuwa ni selected race kabsa mkuu na hawakutakiwa ku Interbreed kabsaa na Lung'wecha wengine,na most of famous genius had'nt married at ol...
look at their morphology kwanza hapa chini..View attachment 937271

Wa kwanza ni Newton huyo.

View attachment 937270
Mtazame Picaso mwenyewe hapo halafu utafute na sura za sasa hivi huko kwao kama wafanana...

View attachment 937272
Just look at their hairs and so on..very different na kizazi cha sasa hivi...
View attachment 937274

Sasa ukitaka kujua kuwa kuna utofauti mkubwa sana tazama group hili hapa chini la mandezi wa kizazi cha leo chenye IQ range ya 100 na kushuka..
View attachment 937276
Hapo ndo utajua Genetic reconstruction ilifanyika kwa gharama zote kuhakikisha Genetic make up ya IQ kubwa inabaki kuwa restricted na kuzuia flow yake ikiwa ni pamoja na kuwatengenezea mabadiliko ya kigenetic zaidi au kuwazuia kuinterbreed na wengine...

angalia kundi jingine la kindezi la leo hili hapa na ni wageruman pamoja na mataifa mengine lakini hawafanana na kundi la Wenye IQ kubwa
View attachment 937282

Njia pekee ya kuzuia Intelligence flow ya geneology husika ni kuzuia interbreed au kufanya genetic reconstruction kwa kupangua gene flow system kwenye DNA strand ya mtu husika kisha kumruhusu afanye interbreed..

kizazi cha sasa hivi ni reconstructed hybrid kabisa kupitia program kabambe ya GENETIC MODIFIED FOOD ambayo imebeba gene control za kutosha za kubadilisha mfumo wa Intelligence wa mwanadamu ,na hivyo vyakula vimejaa gene mbadala ambazo zinaleta mabadiliko kwa haraka zaidi...

Our body are subjected to construct sub-normal Intelligence range kupitia Artificial reconstructed genes kupitia genetic editing ya sasa hivi na ndo hichi kitu kilichobadilisha mfumo mzima mwilini wa Inheritance trend ya kila kitu..

It is genetic modification through gene where we can change the genetic make up also of our Inheretance pattern of any Traits and not the enveronment..

,mabadiliko haya ni ya kidunia ,no one to escape this mpaka tuwe complete replaced na Artificial Intelligence mashine ndo mpango wao unakamilika,.

Hii imeelezewa zaidi kwenye kitabu kipya cha Stephen Hawking cha A brief answe to the biggest Questions kwenye page yake ya Artificial Intelligence na hi halipingiki..

We are going to be totally replaced by the mashine katika kufikili zaidi na hapo ndo utaona msaada wa mwanadamu unashuka zaidi.
Watu wanaenda kuunda uhusiano mpya na new reconstructed beings ambazo zitakuwa na uwezo wa kubadilishana mawazo na wew kwa rate kubwa sana ambayo mwanadamu hatakuwa nayo,and its true ila hapo watu wanasema haitatokea but keep waiting the fantasy of genetic reconstructed ilivyotuharibu akili ..

Hizi IQ tulizonazo ni wazazi wetu waliobesubjected kwenye genetic make up reconstruction za miaka ya nyuma hapo ambayo haikuwa na Mazara makubwa sana kivile ila kadri muda unavyozidi kwenda genetic editing inafanyika kwa haraka sana ili kuua gene morphology original ...

Na ndo mana kwenye human clone jamaa wanaclone watu wa nyuma zaidi ambao Intelligence pattern yao ilikuwa tofauti na ya sasa hivi .

Wanavuruga kama sio kuinvet upya Intelligence gene bases kwenye ubongo kisha kuruhusu tuinterbreed huku matokeo yakiwa tofauti kabsa .

kama Gene arrangement ni AGG GGC wao wanainvert inakuwa ni CGG GGA kwenye upande wa Intelligence tu huku mabadiliko mengine yanabaki hivyo hivyo ili uendelee kufanana na baba yako huku uwezo wenu wa akili ukibadilika kwa kasi kubwa sana .

Only genetic editing can reconstruct the Inheritance pattern and not the enveronment as people tend to claim.

Genetic makeup changes kupitia abnormal reconstruction ya gene ndo italeta mabadiliko ya papo kwa papo na suo vinginevyo..
Hahaha sasa sijui ni mimi au wewe nachanganya/unachanganya.
Huko juu ulisema Gene inayohusika na intelligence haijulikani, na kama ingekuwa inajulikana kuna uwezekano in future wangeweza kubreed kizazi cha intelligent watupu, na hii ulisema haijawezekana, sasa wanawezaje kureconstruct kizazi kama intelligent gene haijulikani, yet!.
Je, unamaanisha hao kina Picaso na kina Newton walitengenezwa kama sample?! If not mbona unasema walizuiwa ku breed na ku interbreed?! Nani aliwazuia kuoa au kuzaa?! Inamaana kuna watu au kikundi/society ilikuwa inawa control wao na ilihakikusha hawaachi mbegu?! Mi ningedhani kizazi hicho ndicho kingeendelezwa badala ya kuwa limited?! Maana kilifanya maajabu na kupelekea kuwepo knowledge iliyopo leo.
Na inawezekanaje hizo GMO ziwe na uwezo kubadili genes za mtu aliyekwisha kuwa coded and wired to a core. Ulisema, ukiisha zaliwa na kuwa ulivyo huwezi kubadirika, maana kila mtu ana DNA zake unique. Maana intelligence genes hazijulikani sasa vipi uweze kubadili usichokijua, na unajuaje kimebadirika?! Maana kama wanafahamu intelligence gene, through IVF tungeona magenius kuliko kina Newton leo, au mimi ndio dish linayumba mkuu?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom