Like like...ni kweli kabisa kuna kitu hakitakua sawa katika ulimwengu wa kiroho. ..
Unakikumbuka nilichokuuliza?
Unadhani huo ni msaada?
Ntamshauri apige nyeto...asinipe strec mimNatumai hamjambo na mnajiandaa na w/end
Kuweni makini sana maana w/end ina mengi
Leo jioni nina ka swali kwenu
Hebu fikiria tu kuwa uko kwenye uhusiano ambao ni serious au uko kwenye ndoa
Unajua kabisa kuwa mupenzi wako akipata ham ya kubanjuka huwa hawezi kabisa kujizuia,yaani hawezi hata kupata ka usingizi usiku
Ikatokea akapata kazi ambayo itamfanya asiwepo mkoani mlipo kwa miezi kama 10 hivi,akaenda huko kuchapa kazi na baada ya miezi mitano anakuambia amezidiwa na ham kiasi kwamba zimepita siku nne hapati hata lepe la usingizi
Je,utamshauri nini?
Zingatia hali yake na udhaifu alionao kwenye suala hilo!
Hujajibu nilichokuuliza!!
Kubanjuliwa na jamaa mwingine?
Natumai hamjambo na mnajiandaa na w/end
Kuweni makini sana maana w/end ina mengi
Leo jioni nina ka swali kwenu
Hebu fikiria tu kuwa uko kwenye uhusiano ambao ni serious au uko kwenye ndoa
Unajua kabisa kuwa mupenzi wako akipata ham ya kubanjuka huwa hawezi kabisa kujizuia,yaani hawezi hata kupata ka usingizi usiku
Ikatokea akapata kazi ambayo itamfanya asiwepo mkoani mlipo kwa miezi kama 10 hivi,akaenda huko kuchapa kazi na baada ya miezi mitano anakuambia amezidiwa na ham kiasi kwamba zimepita siku nne hapati hata lepe la usingizi
Je,utamshauri nini?
Zingatia hali yake na udhaifu alionao kwenye suala hilo!
hiyo ni kumwambia tu ukizidiwa tumia kinga, pia utaratibu wa kupima utamjengea hofu ya mechi za nje, ujue watu wanaojijua health status zao ndio mara nyingi huwa makini.itasaidia kwa namna moja au nyingine.
Kwanini wewe unataka ushauriwe ubanjue nje?
Eiyer siwezi kumruhusu lakini ni vizuri tu kumkumbushia swala zima la kujilinda. kama huo udhaifu wake hawezi kujizuia ni vizuri tu nikusanyie hata maboksi mawili ila swala la kucheki afya mara kwa mara litahusu sana especially kama unadate na mwanaume wa hivo.Una hakika utamruhusu kudungua nje na kumhimiza atumie kondom au unaongea tu?
Eiyer siwezi kumruhusu lakini ni vizuri tu kumkumbushia swala zima la kujilinda. kama huo udhaifu wake hawezi kujizuia ni vizuri tu nikusanyie hata maboksi mawili ila swala la kucheki afya mara kwa mara litahusu sana especially kama unadate na mwanaume wa hivo.