Ingekua Wewe Ungefanyaje?

Udhaifu is overrated...

Ushauri wangu kwa wanawake, ukiolewa na mwanaume kama huyo jua hiyo ndoa huenda si mpango wa Mungu au mume anateswa kiroho.
Kweli kabisa mkuu huyo atakua mgonjwa si bure. Tena ukiona mtu yuko hivyo yapasa ujiulize ulikutana nae wapi au what went wrong.
 
Swali rahic sn.ki ukweli kama unampenda kwa dhati na hali ya mazingira inaruhusu kwenda lazma uende umpe mchakamchaka kidogo uzito upungue!binafsi siwez kumruhusu kutafiya mwingne maana ctalala!nahic akimaliza tu atapewa taarifa ya MTU kuzirai kwa wivu nilonao!akizidiwa akaaamua kutafuta pa kupumzika kwakwel nicjue hapatatosha!!!
 
expect even twice their mother wanasema mapacha huchangiwa na mama na si baba. ila kwa upendo tu aaah Mkuu Excel ndo umefika

kuuumbe.. so ukioa hii division sifuri mtoto nae anaezaliwa ankuwa kama *****? come on men mi i need ma kid to get a higher learning education.. sasa hapa si ntakuwa nalazimisha punda kunywa maji?
 


hapa sis scola hujapewa option ya kumfuata.. imagine uko mtwara na mpenzio kapangiwa mwanza ama tarime... uwezo wa kufika haupo.
 
Last edited by a moderator:
Daaa kumbe huwez kwenda!!!nitamridhisha kwa njia ya kuongea naye kwa CMU!!yaan atakuwa anaongea na mimi as if tuko pamoja uwanjani...lazma damu nzitoo imwagike kwa kasi!its like punyeto hivi lkn ata enjoy vilivyo.
 
Daaa kumbe huwez kwenda!!!nitamridhisha kwa njia ya kuongea naye kwa CMU!!yaan atakuwa anaongea na mimi as if tuko pamoja uwanjani...lazma damu nzitoo imwagike kwa kasi!its like punyeto hivi lkn ata enjoy vilivyo.
hapo ndo mtihani scola... sex phone si inaongeza tu hamu jamani? hii nayo ni solution?


(halafu pliz reply with quote ili niweze kupata notification kwangu.. sawa eenh?)
 
 
 
mmh
Eiyer,unajaribu kuhalalisha mchepuko?
 
Last edited by a moderator:
 
 
 
mmmh.. sister.. hakika hufai kuwa na mke wangu!!!! hahahaaa!!

bora umshauri atoke tu na mdada mwingine kuliko kucheza na sabuni! hapo ujue siku akija, mshedede utashindwa kusimama!

Kama ni wewe ungemruhusu mkeo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…