Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Natumai hamjambo na mnajiandaa na w/end, Kuweni makini sana maana w/end ina mengi.
Leo jioni nina ka swali kwenu
Hebu fikiria tu kuwa uko kwenye uhusiano ambao ni serious au uko kwenye ndoa, Unajua kabisa kuwa mupenzi wako akipata ham ya kubanjuka huwa hawezi kabisa kujizuia,yaani hawezi hata kupata ka usingizi usiku.
Ikatokea akapata kazi ambayo itamfanya asiwepo mkoani mlipo kwa miezi kama 10 hivi, akaenda huko kuchapa kazi na baada ya miezi mitano anakuambia amezidiwa na hamu kiasi kwamba zimepita siku nne hapati hata lepe la usingizi.
Je,utamshauri nini?
Zingatia hali yake na udhaifu alionao kwenye suala hilo.
Leo jioni nina ka swali kwenu
Hebu fikiria tu kuwa uko kwenye uhusiano ambao ni serious au uko kwenye ndoa, Unajua kabisa kuwa mupenzi wako akipata ham ya kubanjuka huwa hawezi kabisa kujizuia,yaani hawezi hata kupata ka usingizi usiku.
Ikatokea akapata kazi ambayo itamfanya asiwepo mkoani mlipo kwa miezi kama 10 hivi, akaenda huko kuchapa kazi na baada ya miezi mitano anakuambia amezidiwa na hamu kiasi kwamba zimepita siku nne hapati hata lepe la usingizi.
Je,utamshauri nini?
Zingatia hali yake na udhaifu alionao kwenye suala hilo.