tunazisubir kwa hamu na zitangazweee..huku mikoa yetu
pita leo kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya mzigo umetoka
BABA AKO AMEKUDANGANYA.FIKRA ZAKE FUPI SANA.
JESHI NI SPIRIT.KM HUNA SPIRIT HUWEZ HATA KIDOGO KU SURVIVE MAFUNZO YA KIJESHI.
KUHUSU KUFUNZWA KUUA, HAKUNA COARSE,INAYOFUNZA WATU KUUA.
KUHUSU SUALA LA ELIMU,MAISHA YAMEBADILIKA SANA.JESHI LIMEBADILIKA PIA.WATU WANA PHDS,MASTERS,NA BACHELORS KIBAOOOOO WANAFANYA JESHI.
PIA TAMBUA KWAMBA JKT,NI NJIA TU YA KUPITIA,EITHER KUWA POLIS,MAGEREZA,UAMIAJI,JWTZ,AU USALAMA WA TAIFA.
HOJA YA MSINGI: INAWEZEKANA VP MTU AMBAE HAJASOMA(km unavyoita jeshi ni kwa watu wasio soma)KUFANYA UCHUNGUZI FLANI YAKINIFU JUU YA MASWALA YA KITAIFA NA KIMATAIFA?
Mbona usalama wa taifa wana fanya kazi zao kwa ufanisi?wao si jeshi?
Kwann tunawategemea JWTZ kulinda amani ytu nje na ndani ya mipaka ya TZ kwani wana elimu gani ya kutulinda?
Mwambie babaako arudi shule.
baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
But ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa
Asante kwa taarifa kiongozi,lakini kwa nini iwe kwa baadhi ya mikoa na si nchi nzima?
Serikali haina hela
ndo majibu yao daima
Inamana vijana mmeshindwa kabisa kupata kazi sehemu zingine mpaka mkimbilie kwenye majeshi...ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni...Anyway nawatakia kilalakheri
wewe umeptia ofisi ya mkuu wa wilaya gani kwan?
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa
baba yako anaekuchekesha na ww unaechekeshwa na PUMBA zake wote akili moja...
Jamani trh 23 ndo hiyoo inaishia vp kwa aliyeona tangazo ilo la mikoa michache
Kwa ujuzi wangu december posts ni form 4...january posts for form 6..na mid feb ni wale wa degree
mpeleke mzee wako ze.comedy.
Source!?
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa