Info za ndani ndani kuhusu kujiunga jkt

BABA AKO AMEKUDANGANYA.FIKRA ZAKE FUPI SANA.

JESHI NI SPIRIT.KM HUNA SPIRIT HUWEZ HATA KIDOGO KU SURVIVE MAFUNZO YA KIJESHI.

KUHUSU KUFUNZWA KUUA, HAKUNA COARSE,INAYOFUNZA WATU KUUA.

KUHUSU SUALA LA ELIMU,MAISHA YAMEBADILIKA SANA.JESHI LIMEBADILIKA PIA.WATU WANA PHDS,MASTERS,NA BACHELORS KIBAOOOOO WANAFANYA JESHI.

PIA TAMBUA KWAMBA JKT,NI NJIA TU YA KUPITIA,EITHER KUWA POLIS,MAGEREZA,UAMIAJI,JWTZ,AU USALAMA WA TAIFA.

HOJA YA MSINGI: INAWEZEKANA VP MTU AMBAE HAJASOMA(km unavyoita jeshi ni kwa watu wasio soma)KUFANYA UCHUNGUZI FLANI YAKINIFU JUU YA MASWALA YA KITAIFA NA KIMATAIFA?

Mbona usalama wa taifa wana fanya kazi zao kwa ufanisi?wao si jeshi?
Kwann tunawategemea JWTZ kulinda amani ytu nje na ndani ya mipaka ya TZ kwani wana elimu gani ya kutulinda?

Mwambie babaako arudi shule.

Wakuu, Inaweza kuwa alimnukuu mwanafalsafa maarufu Plato aliyewagawa wanadamu katika makundi matatu yaani: Silver, bronze and Iron. Wanajeshi wa aina zote aliwaweka katika kundi la tatu ambalo kwake yeye aliona wapo Kwa ajili ya kuwalinda Silver na Bronze boys.
 
baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
But ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa

ni akili za kipumbavu na ya mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikili na kukatisha tamaa wengine alyekwambia jeshi n kwa ajili ya waliofeli nani? Na aliyekwambia jeshi alihitaji wasomi nani? Na wapi imeandikwa jeshi lina kuandaa kwenda kuwa muuaji? Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini nchi zilizoendelea yaani developed country watoto wa mnaowaita vigogo, maraisi, wafalme na wengine serikalini wengi wao wanafanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi ikiwemo jeshi? Leo hii mtoto wa kibongo kujiunga jeshi eti kafeli au kakosa kazi ndo kaenda uko, dah!! Pleni sana wenye mawazo finyu! Nyie ndo walewale mnaoamini kula chipsi yai eti matawi ya juu na unapesa wakati kwa nchi zilizoendelea mtu anayekula chipsi ni maskini wa kutupwa!!! Na namalizia kwa kusema ukihitaji wataalamu wazuri katika sekta mbalimbali utawapata jeshini na si kwingineko!!!!!!!!!!!!!!!!!! Big p wote mnaokwenda uko
 
ni akili za kipumbavu na ya mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikili na kukatisha tamaa wengine alyekwambia jeshi n kwa ajili ya waliofeli nani? Na aliyekwambia jeshi alihitaji wasomi nani? Na wapi imeandikwa jeshi lina kuandaa kwenda kuwa muuaji? Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini nchi zilizoendelea yaani developed country watoto wa mnaowaita vigogo, maraisi, wafalme na wengine serikalini wengi wao wanafanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi ikiwemo jeshi? Leo hii mtoto wa kibongo kujiunga jeshi eti kafeli au kakosa kazi ndo kaenda uko, dah!! Pleni sana wenye mawazo finyu! Nyie ndo walewale mnaoamini kula chipsi yai eti matawi ya juu na unapesa wakati kwa nchi zilizoendelea mtu anayekula chipsi ni maskini wa kutupwa!!! Na namalizia kwa kusema ukihitaji wataalamu wazuri katika sekta mbalimbali utawapata jeshini na si kwingineko!!!!!!!!!!!!!!!!!! Big p wote mnaokwenda uko
 
Inamana vijana mmeshindwa kabisa kupata kazi sehemu zingine mpaka mkimbilie kwenye majeshi...ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni...Anyway nawatakia kilalakheri

nasikia huko siku hz kuna maisha kinoma hasa kwa professional graduates,maslahi mazuri sana,sa vijana watake nini sasa mkuu?
 
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa

mpeleke mzee wako ze.comedy.
 
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa

baba yako anaekuchekesha na ww unaechekeshwa na PUMBA zake wote akili moja...
 
Kwa ujuzi wangu december posts ni form 4...january posts for form 6..na mid feb ni wale wa degree
 
Jamani trh 23 ndo hiyoo inaishia vp kwa aliyeona tangazo ilo la mikoa michache
 
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa

Tatizo lako hujafika hiyo level,na nawasiwasi na baba yako nahisi ndo walewale,soma kwanza
 
Jeshi la leo sio la miaka 47, siku hizi wasomi ndo wanamata zaidi kuliko vilaza butu wa miaka ile, wale wa saini ya dole gumba..
 
Back
Top Bottom