Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
ni akili za kipumbavu na ya mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikili na kukatisha tamaa wengine alyekwambia jeshi n kwa ajili ya waliofeli nani? Na aliyekwambia jeshi alihitaji wasomi nani? Na wapi imeandikwa jeshi lina kuandaa kwenda kuwa muuaji? Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini nchi zilizoendelea yaani developed country watoto wa mnaowaita vigogo, maraisi, wafalme na wengine serikalini wengi wao wanafanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi ikiwemo jeshi? Leo hii mtoto wa kibongo kujiunga jeshi eti kafeli au kakosa kazi ndo kaenda uko, dah!! Pleni sana wenye mawazo finyu! Nyie ndo walewale mnaoamini kula chipsi yai eti matawi ya juu na unapesa wakati kwa nchi zilizoendelea mtu anayekula chipsi ni maskini wa kutupwa!!! Na namalizia kwa kusema ukihitaji wataalamu wazuri katika sekta mbalimbali utawapata jeshini na si kwingineko!!!!!!!!!!!!!!!!!! Big p wote mnaokwenda uko
samahani mkuu, ni nchi gani ambayo ukila chips unaonekana maskini wa kutupwa?