Info za ndani ndani kuhusu kujiunga jkt

ni akili za kipumbavu na ya mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikili na kukatisha tamaa wengine alyekwambia jeshi n kwa ajili ya waliofeli nani? Na aliyekwambia jeshi alihitaji wasomi nani? Na wapi imeandikwa jeshi lina kuandaa kwenda kuwa muuaji? Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini nchi zilizoendelea yaani developed country watoto wa mnaowaita vigogo, maraisi, wafalme na wengine serikalini wengi wao wanafanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi ikiwemo jeshi? Leo hii mtoto wa kibongo kujiunga jeshi eti kafeli au kakosa kazi ndo kaenda uko, dah!! Pleni sana wenye mawazo finyu! Nyie ndo walewale mnaoamini kula chipsi yai eti matawi ya juu na unapesa wakati kwa nchi zilizoendelea mtu anayekula chipsi ni maskini wa kutupwa!!! Na namalizia kwa kusema ukihitaji wataalamu wazuri katika sekta mbalimbali utawapata jeshini na si kwingineko!!!!!!!!!!!!!!!!!! Big p wote mnaokwenda uko

samahani mkuu, ni nchi gani ambayo ukila chips unaonekana maskini wa kutupwa?
 
ni akili za kipumbavu na ya mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikili na kukatisha tamaa wengine alyekwambia jeshi n kwa ajili ya waliofeli nani? Na aliyekwambia jeshi alihitaji wasomi nani? Na wapi imeandikwa jeshi lina kuandaa kwenda kuwa muuaji? Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini nchi zilizoendelea yaani developed country watoto wa mnaowaita vigogo, maraisi, wafalme na wengine serikalini wengi wao wanafanya kazi kwenye vyombo vya ulinzi ikiwemo jeshi? Leo hii mtoto wa kibongo kujiunga jeshi eti kafeli au kakosa kazi ndo kaenda uko, dah!! Pleni sana wenye mawazo finyu! Nyie ndo walewale mnaoamini kula chipsi yai eti matawi ya juu na unapesa wakati kwa nchi zilizoendelea mtu anayekula chipsi ni maskini wa kutupwa!!! Na namalizia kwa kusema ukihitaji wataalamu wazuri katika sekta mbalimbali utawapata jeshini na si kwingineko!!!!!!!!!!!!!!!!!! Big p wote mnaokwenda uko

Safi sana.
 
Inamana vijana mmeshindwa kabisa kupata kazi sehemu zingine mpaka mkimbilie kwenye majeshi...ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni...Anyway nawatakia kilalakheri

Kama Vijana wasipoilinda nchi yao, nani atawalindia?!

Mtu asiudharau ujana wako...
 
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa

kaka haun taarifa za kutosha kuhusu jeshi
ila ni taasis iliyokamilik na ina taarum zote. sio kil mjeshi ni muuaj or kafundishwa kuua wengine wap kwa jili ya kuokoa maisha mfn madaktar wa jeshini..kwend jeshini ni interest za mtu mwingne anpend hizo mambo tu. kun watu wamekataa ofa ya kazi coz wanataka jeshi.JAMBO AFANDE.WAZI!!!
 
Habari za muda huu wadau wa JF.

Nimepata taarifa za ndani kabisa,za kuhusu kujiunga na JKT kwa wale wanaotaka,

Habari za chini ya Carpet nilizozithibitisha kutoka chanzo cha ndani cha habari, zimebainisha kuwa

Nafasi za Wanaotaka Kujiunga na JKT zitatangazwa Tarehe 23 na 24 kwa baadhi ya Mikoa tu (Sijatajiwa Mikoa husika).
Km tarehe rasmi ya kufungua Maombi kwa wanaotaka Kujiunga.

So wale wenye Interest,ya ku Jiunga na jeshi la kujenga Taifa,
mjiandae mUda ndo huu

Nimeskia interview itafanyika baadhi ya mikoa tarehe 29 January.

Taarifa zaidi unaeza tembelea
website ya JKT kuanzia tarehe 23

ANGALIZO;
Kabla ya kwenda kujiunga na JKT,jitathimini,jikague je kweli una dhamira ya kujiunga na vyombo vya ulinzi vya ndani nchi kama ndio nakushauri nenda lakini usijiunge na vyombo vya ulinzi kwa kumuona fulani ana maisha mazuri au anapata mshahara mnene,utaumia bure mafanikio ndani ya vyombo vya ulinzi huja baada ya msoto mkali hata kama utaanza na nyota,JESHI NI JESHI tu Liwe la police,magereza au la wananchi.Kazi za uzalendo mafanikio yake huja baadae ni vyema ukajipima kwa moyo wa dhati kabisa,nina ushahidi wa wanajeshi walioanza na nyota na walipelekwa kongo wengine walikimbia wengine wamekamatwa wanatumikia vifungo vya jeshi.Jeshi si lele mama,Nenda jeshi kama una dhamira ya kuwa mwanajeshi na mzalendo ila usiende jeshi kwa imani ya kuwa na maisha bora.

JESHINI KUNA RAHA NA KARAHA,
 
ANGALIZO;
Kabla ya kwenda kujiunga na JKT,jitathimini,jikague je kweli una dhamira ya kujiunga na vyombo vya ulinzi vya ndani nchi kama ndio nakushauri nenda lakini usijiunge na vyombo vya ulinzi kwa kumuona fulani ana maisha mazuri au anapata mshahara mnene,utaumia bure mafanikio ndani ya vyombo vya ulinzi huja baada ya msoto mkali hata kama utaanza na nyota,JESHI NI JESHI tu Liwe la police,magereza au la wananchi.Kazi za uzalendo mafanikio yake huja baadae ni vyema ukajipima kwa moyo wa dhati kabisa,nina ushahidi wa wanajeshi walioanza na nyota na walipelekwa kongo wengine walikimbia wengine wamekamatwa wanatumikia vifungo vya jeshi.Jeshi si lele mama,Nenda jeshi kama una dhamira ya kuwa mwanajeshi na mzalendo ila usiende jeshi kwa imani ya kuwa na maisha bora.

JESHINI KUNA RAHA NA KARAHA,

sasa zubedayo vipi vyanzo vyako ww vinasemaje... ni kweli nafasi zinakarbia kutoka
 
Baba angu huwa ananichekeshaga sana anavyo niambiaga jeshi ni yawalio feli ndo wanakimbiliaga uko huwez maliza degree alafu uendeteswa na mijizoezi ya ajabu jeshii?
but ki tz tz wanaokimbilia jeshi ni kwa ajili ya njaa .jesi ile sio kazi aiseh kujifunza ku uwa mtuu mpaka afee mmmmh apanaa

We Na faza ako wote ni Wala urojo,
 
Habari za muda huu wadau wa JF.

Nimepata taarifa za ndani kabisa,za kuhusu kujiunga na JKT kwa wale wanaotaka,

Habari za chini ya Carpet nilizozithibitisha kutoka chanzo cha ndani cha habari, zimebainisha kuwa

Nafasi za Wanaotaka Kujiunga na JKT zitatangazwa Tarehe 23 na 24 kwa baadhi ya Mikoa tu (Sijatajiwa Mikoa husika).
Km tarehe rasmi ya kufungua Maombi kwa wanaotaka Kujiunga.

So wale wenye Interest,ya ku Jiunga na jeshi la kujenga Taifa,
mjiandae mUda ndo huu

Nimeskia interview itafanyika baadhi ya mikoa tarehe 29 January.

Taarifa zaidi unaeza tembelea
website ya JKT kuanzia tarehe 23

Tangazo Lipo katika Web ya JKT, mpango mzima mwezi wa januari 2014, Fuata Link hii:-
vijana kujitolea
 
Inamana vijana mmeshindwa kabisa kupata kazi sehemu zingine mpaka mkimbilie kwenye majeshi...ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya filauni...Anyway nawatakia kilalakheri

kijana usiwe na fikra mbovu juu ya jeshi.. hivi unadhani jeshi likiendeshwa na watu ambao ni uneducated kwa zama hizi hali itakuwaje?

hivi tatizo lako hasa ni lipi?

hivi unajua kwanini adolph hitler alisababisha vita kuu ya pili ya dunia?
 
Back
Top Bottom