Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,239
- 90,296
Wale wanaosema( hasa masheikh wengi na serikali) kwamba tunaweza kuwa na amani bila haki ni vyema watueleze ni jinsi gani jambo hili linawezekana hapa Tanzania ili tuwaelewe vizuri na sisi tuweze kuishi kwa amani ya kudumu bila haki katika taifa letu.
Watupe na mifano ya mataifa yenye mfanano wa Tanzania ambayo amani imekuwepo bila haki za msingi za raia na uhuru wao kuzingatiwa.
Watupe na mifano ya mataifa yenye mfanano wa Tanzania ambayo amani imekuwepo bila haki za msingi za raia na uhuru wao kuzingatiwa.