Adhabu ya viboko kidato cha tano na sita ifutwe

choza choza

JF-Expert Member
Jan 17, 2019
1,650
2,989
Prof Mkenda unapofanya mabadiliko ya mitaala na mambo mengineyo basi na adhabu ya viboko kwa kidato cha tano na sita ifutwe maana wale ni watu wazima.

Haiwezekani wanamaliza form iv pamoja, mmoja anaenda chuo cha kati (anaachana na mambo ya viboko) mwezake wa umri ule ule anayeenda form five anaenda kukutana na viboko. Viboko ni adhabu ya kizamani sana hasa kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia.

Wanafunzi wa Vi ni watu wanaojitambua na kujua ni nini wanafanya kama ilivyo wanafunzi wa vyuo vya kati ambao hawachapwi viboko.

Na nyie walimu, ingia darasani fundisha achana na kuchapa viboko watu wazima wa form v$vi, fanyeni kama walimu wa vyuo vya kati.
 
Prof Mkenda unapofanya mabadiliko ya mitaala na mambo mengineyo basi na adhabu ya viboko kwa kidato cha tano na sita ifutwe maana wale ni watu wazima.

Haiwezekani wanamaliza form iv pamoja, mmoja anaenda chuo cha kati( anaachana na mambo ya viboko) mwezake wa umri ule ule anayeenda form five anaenda kukutana na viboko.

Viboko ni adhabu ya kizamani sana hasa kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia.

Wanafunzi wa Vi ni watu wanaojitambua na kujua ni nini wanafanya kama ilivyo wanafunzi wa vyuo vya kati ambao hawachapwi viboko.

Na nyie walimu, ingia darasani fundisha achana na kuchapa viboko watu wazima wa form v$vi, fanyeni kama walimu wa vyuo vya kati
Bila viboko Bado wanafunzi wengi ni changamoto
 
Prof Mkenda unapofanya mabadiliko ya mitaala na mambo mengineyo basi na adhabu ya viboko kwa kidato cha tano na sita ifutwe maana wale ni watu wazima.

Haiwezekani wanamaliza form iv pamoja, mmoja anaenda chuo cha kati( anaachana na mambo ya viboko) mwezake wa umri ule ule anayeenda form five anaenda kukutana na viboko.
Watu wazima huwa wanajiheshimu hawahitaji kukimbizwa kama mbuzi
 
Wenzetu hawapigwi ndio wanaongoza kwa uvumbuzi wa kila kitu kuanzia madawa mpaka electronics
Ila sisi unapigwa mwisho unakuwa tapeli, mwizi na muomba rushwa mkubwa au mkorofi kazini hata ukiwa nesi
Viboko vinamfanya mtoto asiwe na confidence
 
Ninachokia ni kwamba walimu wengi wanapenda kutumia adhabu za viboko kwa sababu hazimpotezei mwanafunzi muda wa kusoma ukilinganisha na kung'oa visiki labla
Aah wap 😮 wengi huwa wanamakwazo binafs as anaona pakupoozea no kwa mwanafunz .. makbo zakishambq😒😒
 
Back
Top Bottom