mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 811
- 393
Niko kwenye uhusiano mdada flani,shida ni kwamba alikuwa na boy wake lkn waliachana kwa sasa anavyodai ni rafiki yake wa kawaida ila muda mwngi anakuwa naye pamoja na hata Idd walitoka wote cuz me sikuwepo!!! ni urafiki tu au mali yangu yaliwa!?