mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 811
- 393
- Thread starter
- #21
mali yako wapi? yako si unatembea nayo na wala haipo siku utaiacha. yeye naye anatumia vyake, shida iko wapi?
Sawa mkuu
mali yako wapi? yako si unatembea nayo na wala haipo siku utaiacha. yeye naye anatumia vyake, shida iko wapi?
Ikiwa wewe umeweza kuwa na uhusiano nae kwanini wengine washindwe? oeni wacheni uzinifu.
Nahisi jamaa bado anakula cuz kila akiniona anajistukia
Niko kwenye uhusiano mdada flani,shida ni kwamba alikuwa na boy wake lkn waliachana kwa sasa anavyodai ni rafiki yake wa kawaida ila muda mwngi anakuwa naye pamoja na hata Idd walitoka wote cuz me sikuwepo!!! ni urafiki tu au mali yangu yaliwa!?
Niko kwenye uhusiano mdada flani,shida ni kwamba alikuwa na boy wake lkn waliachana kwa sasa anavyodai ni rafiki yake wa kawaida ila muda mwngi anakuwa naye pamoja na hata Idd walitoka wote cuz me sikuwepo!!! ni urafiki tu au mali yangu yaliwa!?
usimkatishe tamaa mwenzio kias hicho. nenda nae kwa step lol!
mmh! mapenzi ya kiulaya zaid haya
kwangu mimi mbantu NO-
Shituka... Huyo Mdada anacheza kote kote....
Nahisi jamaa bado anakula cuz kila akiniona anajistukia